LGE2024 Kuwashirikisha Watoto Wizi, CCM mnaharibu Taifa lijalo

LGE2024 Kuwashirikisha Watoto Wizi, CCM mnaharibu Taifa lijalo

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Chakaza

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2007
Posts
40,455
Reaction score
73,145
Mnawachukua watoto wanafunzi na kuwaandikisha kupiga kura wenye miaka 14-17 kisha mtu mzima kama Makalla anatoka hadharani kujisifu kuvuka malengo ni picha kuwa taifa linapotea njia.
Watoto wetu wanahusishwa na tabia za wizi huo mnadhani wakikua tabia hiyo wataacha?
Jee hii CCM inayofanya mambo haya ya hovyo bila aibu imezeeka kiasi cha kutotambua jema au baya? Au imechizika na kupoteza ufahamu.
Jambo hili hata Katibu mkuu wa TEC Dr. Kitine amelihoji na kuwalaumu wazi CCM kuhusu ushirikishwaji watoto katika uhalifu huo ambao hauna tofauti na matendo ya panyarodi.
 

Attachments

  • VID-20241027-WA0002.mp4
    7.3 MB
Mnawachukua watoto wanafunzi na kuwaandikisha kupiga kura wenye miaka 14-17 kisha mtu mzima kama Makalla anatoka hadharani kujisifu kuvuka malengo ni picha kuwa taifa linapotea njia.
Watoto wetu wanahusishwa na tabia za wizi huo mnadhani wakikua tabia hiyo wataacha?
Jee hii CCM inayofanya mambo haya ya hovyo bila aibu imezeeka kiasi cha kutotambua jema au baya? Au imechizika na kupoteza ufahamu.
Jambo hili hata Katibu mkuu wa TEC Dr. Kitine amelihoji na kuwalaumu wazi CCM kuhusu ushirikishwaji watoto katika uhalifu huo ambao hauna tofauti na matendo ya panyarodi.
Walisha poteza ufahamu ndiyo maana huwa wanaenda maporini
 
Sawa na chadema ilivyozalisha kizazi cha vijana wenye matusi mazito, sasa hivi chama kinaishia kuchangishana kuwatoa magereza
 
madaraka matamu....ndio maana elimu wanaoitoa haiwafunzi watu kujitambua na kutambua haki zao.............haki zimebakia kuwa chawa ndio upendelewe au uapate hio haki..uzalendo ni kuwa mwanasisiem
 
Mnawachukua watoto wanafunzi na kuwaandikisha kupiga kura wenye miaka 14-17 kisha mtu mzima kama Makalla anatoka hadharani kujisifu kuvuka malengo ni picha kuwa taifa linapotea njia.
Watoto wetu wanahusishwa na tabia za wizi huo mnadhani wakikua tabia hiyo wataacha?
Jee hii CCM inayofanya mambo haya ya hovyo bila aibu imezeeka kiasi cha kutotambua jema au baya? Au imechizika na kupoteza ufahamu.
Jambo hili hata Katibu mkuu wa TEC Dr. Kitine amelihoji na kuwalaumu wazi CCM kuhusu ushirikishwaji watoto katika uhalifu huo ambao hauna tofauti na matendo ya panyarodi.
Wote walioshiriki huo upuuzi ni wapuuzi na wapumbavu kabisa
 
Mnyororo wa kushusha thamani taifa na watu wake.
Noted with thanks, though unworking government machineries, kwakutumia mifumo iliyo lala, ukitaka kutoboa ni kwa juhudi zako mwenyewe na siyo kwa msaada wa mifumo iliyopo
 
Mnawachukua watoto wanafunzi na kuwaandikisha kupiga kura wenye miaka 14-17 kisha mtu mzima kama Makalla anatoka hadharani kujisifu kuvuka malengo ni picha kuwa taifa linapotea njia.
Watoto wetu wanahusishwa na tabia za wizi huo mnadhani wakikua tabia hiyo wataacha?
Jee hii CCM inayofanya mambo haya ya hovyo bila aibu imezeeka kiasi cha kutotambua jema au baya? Au imechizika na kupoteza ufahamu.
Jambo hili hata Katibu mkuu wa TEC Dr. Kitine amelihoji na kuwalaumu wazi CCM kuhusu ushirikishwaji watoto katika uhalifu huo ambao hauna tofauti na matendo ya panyarodi.
CCM ni Chama Cha Mashetani.
 
Mnawachukua watoto wanafunzi na kuwaandikisha kupiga kura wenye miaka 14-17 kisha mtu mzima kama Makalla anatoka hadharani kujisifu kuvuka malengo ni picha kuwa taifa linapotea njia.
Watoto wetu wanahusishwa na tabia za wizi huo mnadhani wakikua tabia hiyo wataacha?
Jee hii CCM inayofanya mambo haya ya hovyo bila aibu imezeeka kiasi cha kutotambua jema au baya? Au imechizika na kupoteza ufahamu.
Jambo hili hata Katibu mkuu wa TEC Dr. Kitine amelihoji na kuwalaumu wazi CCM kuhusu ushirikishwaji watoto katika uhalifu huo ambao hauna tofauti na matendo ya panyarodi.
Wako tayari kuandikisha hata wakimbizi
 
Haya ni matukeo ya kuzoea uovu, utaona ni kawaida hadi hapo utakapoona madhara.Hakuna uovu mzuri hata kama unakupa faida
 
Back
Top Bottom