Kuwashwa mwili ni tatizo jipya Dar es Salaam?

Kuwashwa mwili ni tatizo jipya Dar es Salaam?

Mna uhakika maji ya bomba mnayokunywa ni salama?

Wengi wenu ni vipofu nyie, mtaanza kusema kuna VIRUS yuko angani anawabutua watoto na kuwatumbua mapele. 🤣

Angalieni maji ya bomba hayo kama hayajatiwa madawa fulani. Au chakula wanachokula.

Hakuna cha jotro wala nini. Jotro lipo miaka yote.
Naunga mkono hoja. Ila na mbu wa msimu huu Duh! Kama wote.
 
Mna uhakika maji ya bomba mnayokunywa ni salama?

Wengi wenu ni vipofu nyie, mtaanza kusema kuna VIRUS yuko angani anawabutua watoto na kuwatumbua mapele. 🤣

Angalieni maji ya bomba hayo kama hayajatiwa madawa fulani. Au chakula wanachokula.

Hakuna cha jotro wala nini. Jotro lipo miaka yote.
Bumunda jingine hili.
Civics ulipata grade gani?
 
kijana wangu wa kazi alikua na ivyo vipele juzi jana usiku nimelala naona mwili unanichoma kujipapasa vipele mwili mzima
 
Mna uhakika maji ya bomba mnayokunywa ni salama?

Wengi wenu ni vipofu nyie, mtaanza kusema kuna VIRUS yuko angani anawabutua watoto na kuwatumbua mapele. [emoji1787]

Angalieni maji ya bomba hayo kama hayajatiwa madawa fulani. Au chakula wanachokula.

Hakuna cha jotro wala nini. Jotro lipo miaka yote.
Hii ilikuwa ni kazi na Benefiti ya wanaojiita wanasayansi wa Bongo ila hata kupima Content ya maji hawawezi, yaani hawawezi kutatua tatizo ama mkwamo wowote ktk jamii. Ndio mana wabongo wengi hukimbilia kwa waganga, manabii au Mitishamba. Maana tangu sayansi imetiliwa mkazo enzi za mkapa wanaojiitaa wanasayansi wapo tuu wanallmika pamoja na wananchi wa vijijini.

Tatizo.
 
Joto Kali na ukosefu wa maji ni janga kwa Dar es salaam kama huyu akigombea 2025 na akashinda tuna miaka mitano Tena ya kutaabika kwa kuwashwa miili
Sasa Ina uhusiano gan uchaguzi mkuu
 
Mna uhakika maji ya bomba mnayokunywa ni salama?

Wengi wenu ni vipofu nyie, mtaanza kusema kuna VIRUS yuko angani anawabutua watoto na kuwatumbua mapele. 🤣

Angalieni maji ya bomba hayo kama hayajatiwa madawa fulani. Au chakula wanachokula.

Hakuna cha jotro wala nini. Jotro lipo miaka yote.
Mmmh... Huo msemo wa jitro mademu wengi nakutana nao wanautumia. Akitamka namwangalia anavounda mdomo.... Nasema mashallah.... Mnapendea nini hilo neno? Au ndo swaga zenu masister du?
 
Hili tatizo linaenea kwa kasi nchini japo mamlaka za magonjwa hazijui na hazina taarifa kuwepo kwa tatizo hilo. Mwili huwasha na kutoka vipele, hivo vipele vikikauka ngozi hubanduka tabaka la juu kama nyoka ajivuaye gamba. Haijulikani ni ugonjwa gani na unasababishwa na nini
Nimefikiwa mkuu niliuchukulia poa nakoma mm nawashwa mwili najikuna vibaya mno kucha hazitoshi natumia nyenzo vyingine kama still wire zile za nguo kujikuna aisee usiombe yakukute
 
Back
Top Bottom