much know
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 11,461
- 17,183
Hivi unajua matumizi Umeme na maji au unaishi na wanyama mikumi?Kumbe hili joto na vipele anasababisha huyu bibi??
Huyu ana uwezo wa kimungu twende tukampigie magoti aondoe joto nà vipele.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi unajua matumizi Umeme na maji au unaishi na wanyama mikumi?Kumbe hili joto na vipele anasababisha huyu bibi??
Huyu ana uwezo wa kimungu twende tukampigie magoti aondoe joto nà vipele.
Naunga mkono hoja. Ila na mbu wa msimu huu Duh! Kama wote.Mna uhakika maji ya bomba mnayokunywa ni salama?
Wengi wenu ni vipofu nyie, mtaanza kusema kuna VIRUS yuko angani anawabutua watoto na kuwatumbua mapele. 🤣
Angalieni maji ya bomba hayo kama hayajatiwa madawa fulani. Au chakula wanachokula.
Hakuna cha jotro wala nini. Jotro lipo miaka yote.
Mungu huyo hayupoTaifa likilaaniwa wote tunaipata
Bumunda jingine hili.Mna uhakika maji ya bomba mnayokunywa ni salama?
Wengi wenu ni vipofu nyie, mtaanza kusema kuna VIRUS yuko angani anawabutua watoto na kuwatumbua mapele. 🤣
Angalieni maji ya bomba hayo kama hayajatiwa madawa fulani. Au chakula wanachokula.
Hakuna cha jotro wala nini. Jotro lipo miaka yote.
Maji wanatoa wapi!??Ogeni mara kwa mara, tatizo hamuogi
Hii ilikuwa ni kazi na Benefiti ya wanaojiita wanasayansi wa Bongo ila hata kupima Content ya maji hawawezi, yaani hawawezi kutatua tatizo ama mkwamo wowote ktk jamii. Ndio mana wabongo wengi hukimbilia kwa waganga, manabii au Mitishamba. Maana tangu sayansi imetiliwa mkazo enzi za mkapa wanaojiitaa wanasayansi wapo tuu wanallmika pamoja na wananchi wa vijijini.Mna uhakika maji ya bomba mnayokunywa ni salama?
Wengi wenu ni vipofu nyie, mtaanza kusema kuna VIRUS yuko angani anawabutua watoto na kuwatumbua mapele. [emoji1787]
Angalieni maji ya bomba hayo kama hayajatiwa madawa fulani. Au chakula wanachokula.
Hakuna cha jotro wala nini. Jotro lipo miaka yote.
Unasababishwa na Nini mkuu na vipi tiba takeNi ugonjwa Dr aliniambia tena unaambukiza
Sasa Ina uhusiano gan uchaguzi mkuuJoto Kali na ukosefu wa maji ni janga kwa Dar es salaam kama huyu akigombea 2025 na akashinda tuna miaka mitano Tena ya kutaabika kwa kuwashwa miili
Mmmh... Huo msemo wa jitro mademu wengi nakutana nao wanautumia. Akitamka namwangalia anavounda mdomo.... Nasema mashallah.... Mnapendea nini hilo neno? Au ndo swaga zenu masister du?Mna uhakika maji ya bomba mnayokunywa ni salama?
Wengi wenu ni vipofu nyie, mtaanza kusema kuna VIRUS yuko angani anawabutua watoto na kuwatumbua mapele. 🤣
Angalieni maji ya bomba hayo kama hayajatiwa madawa fulani. Au chakula wanachokula.
Hakuna cha jotro wala nini. Jotro lipo miaka yote.
Siasa ni maisha ya watuSasa Ina uhusiano gan uchaguzi mkuu
VisimaniMaji wanatoa wapi!??
Nimefikiwa mkuu niliuchukulia poa nakoma mm nawashwa mwili najikuna vibaya mno kucha hazitoshi natumia nyenzo vyingine kama still wire zile za nguo kujikuna aisee usiombe yakukuteHili tatizo linaenea kwa kasi nchini japo mamlaka za magonjwa hazijui na hazina taarifa kuwepo kwa tatizo hilo. Mwili huwasha na kutoka vipele, hivo vipele vikikauka ngozi hubanduka tabaka la juu kama nyoka ajivuaye gamba. Haijulikani ni ugonjwa gani na unasababishwa na nini