Kuwatetea Watanzania ni kupoteza muda

Kuwatetea Watanzania ni kupoteza muda

Usituletee hasira zako na akili yako mgando hapa, kwani wewe Nani amekwambia tuna tatizo na uongozi huu shupavu na wenye kuleta matumaini? Sisi tunamuunga mkono mh Rais wetu mpendwa kwa namna anavyo tutumikia kwa upendo na weledi mkubwa Sana, Tunaona juhudi za mh Rais wetu katika kutukwamua kimaisha , tunaona namna anavyopambana na changamoto mbalimbali hapa nchini,

Tuondolee nuksi zako hapa na Hakuna aliye kuagiza kutusemea sisi, huo utoto peleka pale ufipa ndio mkawe mnapotoshana Kama watoto wadogo
Tumemuagiza sisi, jibu hoja kama huna hoja lala mbwa wewe
 
Usituletee hasira zako na akili yako mgando hapa, kwani wewe Nani amekwambia tuna tatizo na uongozi huu shupavu na wenye kuleta matumaini? Sisi tunamuunga mkono mh Rais wetu mpendwa kwa namna anavyo tutumikia kwa upendo na weledi mkubwa Sana, Tunaona juhudi za mh Rais wetu katika kutukwamua kimaisha , tunaona namna anavyopambana na changamoto mbalimbali hapa nchini,

Tuondolee nuksi zako hapa na Hakuna aliye kuagiza kutusemea sisi, huo utoto peleka pale ufipa ndio mkawe mnapotoshana Kama watoto wadogo
Hawa ndo ninaowazungumzia. Eti unarisk maisha yako kutetea watu kama hawa?
 
Watanzania ni washenzi, nianze kwa kusema hivyo. Tumekabidhi hii nchi mikononi mwa CCM na tumeacha itupeleke kama inavyotaka na hatutaki kuhoji.

Wakati wa uchafuzi mkuu wa 2020 mzee wangu alikuwa anashangilia kwamba wameshinda majimbo yote. Mimi nilimsikiliza tu nikaishia kumsikitikia. Mzee yuko kijijini anashangilia Mbowe kukosa ubunge.

Hivi leo hii Mbowe akiugua ataenda kutibiwa kwenye hospitali ya halmashauri ambayo haina hata gloves? Mtoto wa Mbowe anasoma kwenye shule ya kata ambayo haina walimu wala vifaa vya kujifunzia?

Je, kuna namna yoyote Mbowe anaathirika na hizi tozo tunazolalamikia? Unakuta mtu anasema wapinzani mbona mko kimya kuhusu tozo. Huwa natamani kumtukana huyu mtu, basi tu. Kwenye uchaguzi wawachague kina Mwigulu na Zungu, halafu linapokuja suala la kuwatetea wananchi iwe kazi ya wapinzani, kwa misingi ipi?

Mimi naona wote wanaofanya harakati za kuwatetea watu wanapoteza muda, unless kama kuna malipo kwa ajili ya hiyo kazi. Unamtetea mtu ambaye ukikamatwa anasema una kiherehere. Tundu Lissu alijitoa kusema ukweli tangu mwanzo ambapo mikataba ya kilaghai inasainiwa na kupitishwa na wabunge wa CCM.

Juzi Magufuli anajifanya kusema tunaibiwa ilhali alikuwa bungeni wakati mikataba inapitishwa. Lissu hakuchoka kusema ukweli, leo hii wamekuja kuthibitisha kuwa zile reports za kin prof Osoro zilikuwa professorial rubbish. Cha ajabu Lissu anaitwa msaliti na kuna watu walitamani afe.

Watanzania hawa leo wanaona wabunge wa CCM wanachofanya kule bungeni. Badala ya kuisimamia serikali wao wanasimama na serikali kuwakandamiza wananchi, lakini cha ajabu uchaguzi ukija watawachagua tena.

Watanzania hatujielewi, wacha serikali ya CCM itunyooshe vizuri huenda akili zikatujia. wanaopaza sauti watulie tuli dawa iingie. Dawa ikikolea vizuri wananchi wenyewe watasimama kudai haki zao bila kushawishiwa na mtu. Kama haufadiki directly na harakati bora utulie ufanye mambo yako ya msingi.

Nawasilisha.
Si mlikataa ubwabwa kuleni tozo
 
Watanzania ni washenzi, nianze kwa kusema hivyo. Tumekabidhi hii nchi mikononi mwa CCM na tumeacha itupeleke kama inavyotaka na hatutaki kuhoji.

Wakati wa uchafuzi mkuu wa 2020 mzee wangu alikuwa anashangilia kwamba wameshinda majimbo yote. Mimi nilimsikiliza tu nikaishia kumsikitikia. Mzee yuko kijijini anashangilia Mbowe kukosa ubunge.

Hivi leo hii Mbowe akiugua ataenda kutibiwa kwenye hospitali ya halmashauri ambayo haina hata gloves? Mtoto wa Mbowe anasoma kwenye shule ya kata ambayo haina walimu wala vifaa vya kujifunzia?

Je, kuna namna yoyote Mbowe anaathirika na hizi tozo tunazolalamikia? Unakuta mtu anasema wapinzani mbona mko kimya kuhusu tozo. Huwa natamani kumtukana huyu mtu, basi tu. Kwenye uchaguzi wawachague kina Mwigulu na Zungu, halafu linapokuja suala la kuwatetea wananchi iwe kazi ya wapinzani, kwa misingi ipi?

Mimi naona wote wanaofanya harakati za kuwatetea watu wanapoteza muda, unless kama kuna malipo kwa ajili ya hiyo kazi. Unamtetea mtu ambaye ukikamatwa anasema una kiherehere. Tundu Lissu alijitoa kusema ukweli tangu mwanzo ambapo mikataba ya kilaghai inasainiwa na kupitishwa na wabunge wa CCM.

Juzi Magufuli anajifanya kusema tunaibiwa ilhali alikuwa bungeni wakati mikataba inapitishwa. Lissu hakuchoka kusema ukweli, leo hii wamekuja kuthibitisha kuwa zile reports za kin prof Osoro zilikuwa professorial rubbish. Cha ajabu Lissu anaitwa msaliti na kuna watu walitamani afe.

Watanzania hawa leo wanaona wabunge wa CCM wanachofanya kule bungeni. Badala ya kuisimamia serikali wao wanasimama na serikali kuwakandamiza wananchi, lakini cha ajabu uchaguzi ukija watawachagua tena.

Watanzania hatujielewi, wacha serikali ya CCM itunyooshe vizuri huenda akili zikatujia. wanaopaza sauti watulie tuli dawa iingie. Dawa ikikolea vizuri wananchi wenyewe watasimama kudai haki zao bila kushawishiwa na mtu. Kama haufadiki directly na harakati bora utulie ufanye mambo yako ya msingi.

Nawasilisha.
Walikutuma uwatetee?
 
WaTanzania wengi ni mbwa we achana nao
Watanzania ni washenzi, nianze kwa kusema hivyo. Tumekabidhi hii nchi mikononi mwa CCM na tumeacha itupeleke kama inavyotaka na hatutaki kuhoji.

Wakati wa uchafuzi mkuu wa 2020 mzee wangu alikuwa anashangilia kwamba wameshinda majimbo yote. Mimi nilimsikiliza tu nikaishia kumsikitikia. Mzee yuko kijijini anashangilia Mbowe kukosa ubunge.

Hivi leo hii Mbowe akiugua ataenda kutibiwa kwenye hospitali ya halmashauri ambayo haina hata gloves? Mtoto wa Mbowe anasoma kwenye shule ya kata ambayo haina walimu wala vifaa vya kujifunzia?

Je, kuna namna yoyote Mbowe anaathirika na hizi tozo tunazolalamikia? Unakuta mtu anasema wapinzani mbona mko kimya kuhusu tozo. Huwa natamani kumtukana huyu mtu, basi tu. Kwenye uchaguzi wawachague kina Mwigulu na Zungu, halafu linapokuja suala la kuwatetea wananchi iwe kazi ya wapinzani, kwa misingi ipi?

Mimi naona wote wanaofanya harakati za kuwatetea watu wanapoteza muda, unless kama kuna malipo kwa ajili ya hiyo kazi. Unamtetea mtu ambaye ukikamatwa anasema una kiherehere. Tundu Lissu alijitoa kusema ukweli tangu mwanzo ambapo mikataba ya kilaghai inasainiwa na kupitishwa na wabunge wa CCM.

Juzi Magufuli anajifanya kusema tunaibiwa ilhali alikuwa bungeni wakati mikataba inapitishwa. Lissu hakuchoka kusema ukweli, leo hii wamekuja kuthibitisha kuwa zile reports za kin prof Osoro zilikuwa professorial rubbish. Cha ajabu Lissu anaitwa msaliti na kuna watu walitamani afe.

Watanzania hawa leo wanaona wabunge wa CCM wanachofanya kule bungeni. Badala ya kuisimamia serikali wao wanasimama na serikali kuwakandamiza wananchi, lakini cha ajabu uchaguzi ukija watawachagua tena.

Watanzania hatujielewi, wacha serikali ya CCM itunyooshe vizuri huenda akili zikatujia. wanaopaza sauti watulie tuli dawa iingie. Dawa ikikolea vizuri wananchi wenyewe watasimama kudai haki zao bila kushawishiwa na mtu. Kama haufadiki directly na harakati bora utulie ufanye mambo yako ya msingi.

Nawasilisha.
 
Usituletee hasira zako na akili yako mgando hapa, kwani wewe Nani amekwambia tuna tatizo na uongozi huu shupavu na wenye kuleta matumaini? Sisi tunamuunga mkono mh Rais wetu mpendwa kwa namna anavyo tutumikia kwa upendo na weledi mkubwa Sana, Tunaona juhudi za mh Rais wetu katika kutukwamua kimaisha , tunaona namna anavyopambana na changamoto mbalimbali hapa nchini,

Tuondolee nuksi zako hapa na Hakuna aliye kuagiza kutusemea sisi, huo utoto peleka pale ufipa ndio mkawe mnapotoshana Kama watoto wadogo
Watu kama wewe ndio anaowasema mleta hoja.
 
Nani kamtuma atutetee wakati sisi tumeridhishwa na utendaji kazi uliotukuka wa mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani? Atetee tumbo lake
Wapi alipokutetea, kasema kutetea watanzania kama wewe ni kupoteza muda.
 
Mi hata sikumoja hua siamini kama kuna mtu alie serikalini/mwanasiasa ambaye atayafanya maisha yangu yawe mepesi ivo ivo kwa chama chochote, Me always hua natembea na upepo, nikiona serikalini ya saivi ni watu wa dealdeal bas namimi naendesha biashara zangu kidealdeal na magendo na nikiona serikali ipo serious na mimi nakua serious vilevile sifanyi janja janja yeyote mwisho wa siku maisha yanaenda ila sisubiri mwokozi atayekuja kuniokoa ila ikitokea namshukuru mungu.
 
Back
Top Bottom