MKANDAHARI
JF-Expert Member
- Apr 7, 2011
- 5,727
- 6,615
Tumemuagiza sisi, jibu hoja kama huna hoja lala mbwa weweUsituletee hasira zako na akili yako mgando hapa, kwani wewe Nani amekwambia tuna tatizo na uongozi huu shupavu na wenye kuleta matumaini? Sisi tunamuunga mkono mh Rais wetu mpendwa kwa namna anavyo tutumikia kwa upendo na weledi mkubwa Sana, Tunaona juhudi za mh Rais wetu katika kutukwamua kimaisha , tunaona namna anavyopambana na changamoto mbalimbali hapa nchini,
Tuondolee nuksi zako hapa na Hakuna aliye kuagiza kutusemea sisi, huo utoto peleka pale ufipa ndio mkawe mnapotoshana Kama watoto wadogo
Hawa ndo ninaowazungumzia. Eti unarisk maisha yako kutetea watu kama hawa?Usituletee hasira zako na akili yako mgando hapa, kwani wewe Nani amekwambia tuna tatizo na uongozi huu shupavu na wenye kuleta matumaini? Sisi tunamuunga mkono mh Rais wetu mpendwa kwa namna anavyo tutumikia kwa upendo na weledi mkubwa Sana, Tunaona juhudi za mh Rais wetu katika kutukwamua kimaisha , tunaona namna anavyopambana na changamoto mbalimbali hapa nchini,
Tuondolee nuksi zako hapa na Hakuna aliye kuagiza kutusemea sisi, huo utoto peleka pale ufipa ndio mkawe mnapotoshana Kama watoto wadogo
Si mlikataa ubwabwa kuleni tozoWatanzania ni washenzi, nianze kwa kusema hivyo. Tumekabidhi hii nchi mikononi mwa CCM na tumeacha itupeleke kama inavyotaka na hatutaki kuhoji.
Wakati wa uchafuzi mkuu wa 2020 mzee wangu alikuwa anashangilia kwamba wameshinda majimbo yote. Mimi nilimsikiliza tu nikaishia kumsikitikia. Mzee yuko kijijini anashangilia Mbowe kukosa ubunge.
Hivi leo hii Mbowe akiugua ataenda kutibiwa kwenye hospitali ya halmashauri ambayo haina hata gloves? Mtoto wa Mbowe anasoma kwenye shule ya kata ambayo haina walimu wala vifaa vya kujifunzia?
Je, kuna namna yoyote Mbowe anaathirika na hizi tozo tunazolalamikia? Unakuta mtu anasema wapinzani mbona mko kimya kuhusu tozo. Huwa natamani kumtukana huyu mtu, basi tu. Kwenye uchaguzi wawachague kina Mwigulu na Zungu, halafu linapokuja suala la kuwatetea wananchi iwe kazi ya wapinzani, kwa misingi ipi?
Mimi naona wote wanaofanya harakati za kuwatetea watu wanapoteza muda, unless kama kuna malipo kwa ajili ya hiyo kazi. Unamtetea mtu ambaye ukikamatwa anasema una kiherehere. Tundu Lissu alijitoa kusema ukweli tangu mwanzo ambapo mikataba ya kilaghai inasainiwa na kupitishwa na wabunge wa CCM.
Juzi Magufuli anajifanya kusema tunaibiwa ilhali alikuwa bungeni wakati mikataba inapitishwa. Lissu hakuchoka kusema ukweli, leo hii wamekuja kuthibitisha kuwa zile reports za kin prof Osoro zilikuwa professorial rubbish. Cha ajabu Lissu anaitwa msaliti na kuna watu walitamani afe.
Watanzania hawa leo wanaona wabunge wa CCM wanachofanya kule bungeni. Badala ya kuisimamia serikali wao wanasimama na serikali kuwakandamiza wananchi, lakini cha ajabu uchaguzi ukija watawachagua tena.
Watanzania hatujielewi, wacha serikali ya CCM itunyooshe vizuri huenda akili zikatujia. wanaopaza sauti watulie tuli dawa iingie. Dawa ikikolea vizuri wananchi wenyewe watasimama kudai haki zao bila kushawishiwa na mtu. Kama haufadiki directly na harakati bora utulie ufanye mambo yako ya msingi.
Nawasilisha.
Walikutuma uwatetee?Watanzania ni washenzi, nianze kwa kusema hivyo. Tumekabidhi hii nchi mikononi mwa CCM na tumeacha itupeleke kama inavyotaka na hatutaki kuhoji.
Wakati wa uchafuzi mkuu wa 2020 mzee wangu alikuwa anashangilia kwamba wameshinda majimbo yote. Mimi nilimsikiliza tu nikaishia kumsikitikia. Mzee yuko kijijini anashangilia Mbowe kukosa ubunge.
Hivi leo hii Mbowe akiugua ataenda kutibiwa kwenye hospitali ya halmashauri ambayo haina hata gloves? Mtoto wa Mbowe anasoma kwenye shule ya kata ambayo haina walimu wala vifaa vya kujifunzia?
Je, kuna namna yoyote Mbowe anaathirika na hizi tozo tunazolalamikia? Unakuta mtu anasema wapinzani mbona mko kimya kuhusu tozo. Huwa natamani kumtukana huyu mtu, basi tu. Kwenye uchaguzi wawachague kina Mwigulu na Zungu, halafu linapokuja suala la kuwatetea wananchi iwe kazi ya wapinzani, kwa misingi ipi?
Mimi naona wote wanaofanya harakati za kuwatetea watu wanapoteza muda, unless kama kuna malipo kwa ajili ya hiyo kazi. Unamtetea mtu ambaye ukikamatwa anasema una kiherehere. Tundu Lissu alijitoa kusema ukweli tangu mwanzo ambapo mikataba ya kilaghai inasainiwa na kupitishwa na wabunge wa CCM.
Juzi Magufuli anajifanya kusema tunaibiwa ilhali alikuwa bungeni wakati mikataba inapitishwa. Lissu hakuchoka kusema ukweli, leo hii wamekuja kuthibitisha kuwa zile reports za kin prof Osoro zilikuwa professorial rubbish. Cha ajabu Lissu anaitwa msaliti na kuna watu walitamani afe.
Watanzania hawa leo wanaona wabunge wa CCM wanachofanya kule bungeni. Badala ya kuisimamia serikali wao wanasimama na serikali kuwakandamiza wananchi, lakini cha ajabu uchaguzi ukija watawachagua tena.
Watanzania hatujielewi, wacha serikali ya CCM itunyooshe vizuri huenda akili zikatujia. wanaopaza sauti watulie tuli dawa iingie. Dawa ikikolea vizuri wananchi wenyewe watasimama kudai haki zao bila kushawishiwa na mtu. Kama haufadiki directly na harakati bora utulie ufanye mambo yako ya msingi.
Nawasilisha.
Watanzania ni washenzi, nianze kwa kusema hivyo. Tumekabidhi hii nchi mikononi mwa CCM na tumeacha itupeleke kama inavyotaka na hatutaki kuhoji.
Wakati wa uchafuzi mkuu wa 2020 mzee wangu alikuwa anashangilia kwamba wameshinda majimbo yote. Mimi nilimsikiliza tu nikaishia kumsikitikia. Mzee yuko kijijini anashangilia Mbowe kukosa ubunge.
Hivi leo hii Mbowe akiugua ataenda kutibiwa kwenye hospitali ya halmashauri ambayo haina hata gloves? Mtoto wa Mbowe anasoma kwenye shule ya kata ambayo haina walimu wala vifaa vya kujifunzia?
Je, kuna namna yoyote Mbowe anaathirika na hizi tozo tunazolalamikia? Unakuta mtu anasema wapinzani mbona mko kimya kuhusu tozo. Huwa natamani kumtukana huyu mtu, basi tu. Kwenye uchaguzi wawachague kina Mwigulu na Zungu, halafu linapokuja suala la kuwatetea wananchi iwe kazi ya wapinzani, kwa misingi ipi?
Mimi naona wote wanaofanya harakati za kuwatetea watu wanapoteza muda, unless kama kuna malipo kwa ajili ya hiyo kazi. Unamtetea mtu ambaye ukikamatwa anasema una kiherehere. Tundu Lissu alijitoa kusema ukweli tangu mwanzo ambapo mikataba ya kilaghai inasainiwa na kupitishwa na wabunge wa CCM.
Juzi Magufuli anajifanya kusema tunaibiwa ilhali alikuwa bungeni wakati mikataba inapitishwa. Lissu hakuchoka kusema ukweli, leo hii wamekuja kuthibitisha kuwa zile reports za kin prof Osoro zilikuwa professorial rubbish. Cha ajabu Lissu anaitwa msaliti na kuna watu walitamani afe.
Watanzania hawa leo wanaona wabunge wa CCM wanachofanya kule bungeni. Badala ya kuisimamia serikali wao wanasimama na serikali kuwakandamiza wananchi, lakini cha ajabu uchaguzi ukija watawachagua tena.
Watanzania hatujielewi, wacha serikali ya CCM itunyooshe vizuri huenda akili zikatujia. wanaopaza sauti watulie tuli dawa iingie. Dawa ikikolea vizuri wananchi wenyewe watasimama kudai haki zao bila kushawishiwa na mtu. Kama haufadiki directly na harakati bora utulie ufanye mambo yako ya msingi.
Nawasilisha.
Umemuagiza wewe na Nani mvivu weweTumemuagiza sisi, jibu hoja kama huna hoja lala mbwa wewe
Nani alikutuma ututetee mvivu wewe, au njaa zako ndizo zinakuchanganyaHawa ndo ninaowazungumzia. Eti unarisk maisha yako kutetea watu kama hawa?
Watu kama wewe ndio anaowasema mleta hoja.Usituletee hasira zako na akili yako mgando hapa, kwani wewe Nani amekwambia tuna tatizo na uongozi huu shupavu na wenye kuleta matumaini? Sisi tunamuunga mkono mh Rais wetu mpendwa kwa namna anavyo tutumikia kwa upendo na weledi mkubwa Sana, Tunaona juhudi za mh Rais wetu katika kutukwamua kimaisha , tunaona namna anavyopambana na changamoto mbalimbali hapa nchini,
Tuondolee nuksi zako hapa na Hakuna aliye kuagiza kutusemea sisi, huo utoto peleka pale ufipa ndio mkawe mnapotoshana Kama watoto wadogo
Nani kamtuma atutetee wakati sisi tumeridhishwa na utendaji kazi uliotukuka wa mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani? Atetee tumbo lakeWatu kama wewe ndio anaowasema mleta hoja.
Wapi alipokutetea, kasema kutetea watanzania kama wewe ni kupoteza muda.Nani kamtuma atutetee wakati sisi tumeridhishwa na utendaji kazi uliotukuka wa mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani? Atetee tumbo lake
Kwani analalamika Nini hapo? Atetee tumbo lake tu asituletee mahasira yake hapaWapi alipokutetea.
Wewe unapojitumaga kuongelea wengine nani anakutumaga.kama sio uchawa wako wakujipendekeza.Nani kamtuma atutetee wakati sisi tumeridhishwa na utendaji kazi uliotukuka wa mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani? Atetee tumbo lake
Amekuambia ana njaa? Kakupa mfano wa watoto wa Mbowe wana shida gani wewe unawazidi nini kapuku tu.Kwani analalamika Nini hapo? Atetee tumbo lake tu asituletee mahasira yake hapa