Satoh Hirosh
JF-Expert Member
- Mar 30, 2021
- 6,432
- 25,646
Wewe mbn huweki au unaweka kwa kujisikia dada smart?Ila kiukweli wasioweka weka status mara kwa mara wanajiona/ tunawaona maturity sana π€£
Depal umelisoma hili jibuπ πItakua anajiunga MB moja
ππ sina cha kuwaonyesha/ kuwa motivateWewe mbn huweki au unaweka kwa kujisikia dada smart?
This is too low for her..
Umepinda na kubinuka kwa nyuma...Nimepinda kwa wapi mpaka uninyooshe π
Nakubali mkuu maana imefikia hatua ata anunue chochot kwa hela yake ataweka status na kunishukur me mume kama ndo nimemnunulia vile utasikia "Asante mume wng kwa zawadi hii" [emoji23] mawifi wakiona inakua jau coz uku unakuta nishaombwa hela na kwa mda uwo inakua sinayo bc inakua kama naonekan stak tu kutoa iyo hela [emoji23]
Tatiz nahic kama ni kujichoresha tu siwez me π kwanz nina no za watu wakubwa weng halaf wana heshima zao so kuanza kupost ten habar za cjui baby utoto utoto mwng nahic ni kujichoresha saaana tu[emoji23][emoji23][emoji23] nawe kwanin hutaki kumpost su umpost mara moja moja
SawaNaomba kuona status yako.
Mara moja moja kuna ubaya ganiTatiz nahic kama ni kujichoresha tu siwez me π kwanz nina no za watu wakubwa weng halaf wana heshima zao so kuanza kupost ten habar za cjui baby utoto utoto mwng nahic ni kujichoresha saaana tu
Hao wakubwa wenyewe wanapost ujue. Kama hutaki waone unawamute unaishi life lakoTatiz nahic kama ni kujichoresha tu siwez me [emoji23] kwanz nina no za watu wakubwa weng halaf wana heshima zao so kuanza kupost ten habar za cjui baby utoto utoto mwng nahic ni kujichoresha saaana tu
Aisee weweeee jamaa unafanana na Mimi kabisaa!!! Nimekuja kujua hizi status miezi 3 imepita hata disappearing message nimeijua mwezi huu wa tisaMwezi mmoja au miwili iliyopita ndio nimejua status Nini, Nilikua najua ndio profile pic.
Na watsup nimeanza kuitumia tangu enzi hizo za Nokia E72(Symbian).
ππ Tunaonekana Ni old skuli mkuuAisee weweeee jamaa unafanana na Mimi kabisaa!!! Nimekuja kujua hizi status miezi 3 imepita hata disappearing message nimeijua mwezi huu wa tisa
Gentlemen tupo hivyo mkuu kuna haja gani ya hizi mambo...Kwani lengo la kuweka hizo status hua ni nini?
Mimi binafsi naweza sema sipo interested na hizo issue za status,ni maamuzi yangu binafsi wala haimaanishi chochote.
Nipo msibani huku mwanza ukerewe mama mkwe amekufa lkn wife wangu ameshatupia picha za marehemu mama yake zaidi ya 20 Hadi nashangaa hii ni nini anafanya? Haya mambo ni Bora tuwaachie wenyewe wanawake wafanye ujinga waoππ Tunaonekana Ni old skuli mkuu
Kwani na wewe unawekaga?Ila kiukweli wasioweka weka status mara kwa mara wanajiona/ tunawaona maturity sana π€£