Toxic Concotion
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 5,760
- 20,837
kuna wale wa whatsapp GB wanaweza wakawa wanakuchora tu, halafu kuna wale wakuzima read receipt hawa nao wanaweza wakaview na usijue.Kuna mtu humu nina namba zake huu mwaka unaenda wa pili, ila hata siku moja sijawahi muona akiweka status ama akiview zangu.
Siku nyingine naweka naset aone yeye mwenyewe lakini zitamaliza masaa 24 sioni akiview
Watu wa hivyo wana shida gani? Ni utu uzima au ndio wako busy hawana muda na status??
Bado nawashangaaa aisee
Kwa hiyo Mark Zuckerberg ndo role Modal wako basi sawa mkuu kazi iendelee [emoji1787][emoji1787]Nikumbushe tu aliyeidhinisha kuwepo kwa status ni miongoni mwa matajiri katika 10 bora. Sasa ww ambae hujawahi hata kutengeneza chochote cha kuitingisha dunia unasema kuweka status ni kutokuwa smart?? Why Africans are like this??
yule sina hakika kama ni mtumiaji wa hizo un official wasapβ¦kuna wale wa whatsapp GB wanaweza wakawa wanakuchora tu, halafu kuna wale wakuzima read receipt hawa nao wanaweza wakaview na usijue.
Ndo wakina sisi hao.Kwanza sijui hata namna ya kuweka.Me hata profile picture huko WhatsApp sijawahi weka picha yangu wala ya nani.Ila kiukweli wasioweka weka status mara kwa mara wanajiona/ tunawaona maturity sana [emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]duhWatu wapo gerezani na wanaweka status sembuse sisi wa uraiani
Kaweka private huyo akiview huoni ila kuna wengine hawana muda kuangalia na kuna wengine wanaangalia za watu fulan maalumKuna mtu humu nina namba zake huu mwaka unaenda wa pili, ila hata siku moja sijawahi muona akiweka status ama akiview zangu.
Siku nyingine naweka naset aone yeye mwenyewe lakini zitamaliza masaa 24 sioni akiview
Watu wa hivyo wana shida gani? Ni utu uzima au ndio wako busy hawana muda na status??
Bado nawashangaaa aisee
π€πΏπ€πΏBinafsi nawekaga status mbalimbali,,,,lkn mambo ya personal life na family siwezi nimeshindwaga.
Cha muhimu Kila mtu na akipendacho na kufurahia
π€£π€£ kuna mmoja aliendaga Magoroto Forest, yule dada zile picha alipost mwezi mzima..Kingine naona ni kama show off wabongo tunapenda kuvimbiana. [emoji1787][emoji1787]
Mnajishaua sana machuriti pipoKupitia Whatsapp utajua watu smart na Hawa wenzangu na Mimi
1. Mtu smart huwezi mkuta kaweka DP ya picha yake Whatsapp
2. Mtu smart huwezi kuta anaweka mastatus mara kwa mara na akiweka basi ujue ni jambo muhimu sana ambalo anataka kufikisha ujumbe kwa njia hiyo
3. Mtu smart hana muda wa ku view status za watu, ila hapa Kuna wa aina 2 Kuna ambao Hawa view kabisa na Kuna wale ambao wana view lakini wakiona unapost pumba au unajipost sana wanakukataa Hawa view tena
Wale wenzangu na Mimi wanaenda kinyume chake