Pilot_In_Command
JF-Expert Member
- Nov 10, 2013
- 2,507
- 3,442
Kuna makundi mengi sana ya Binaadamu.
Kundi moja ni lile linalojiona (SPECIAL) huwa na kitu kinaitwa EGO.
ubaya wa Ego ni kwamba kuna uhusiano mkubwa sana na ROHO mbaya + Wivu.
Niende kwenye Mada.
Binafsi ni muwekaji mzuri wa Status (Napostigi Memes) hii hali imenifanya hata siku nisipoposti huwa naulizwa leo kulikoni?!.
Napenda Maisha ya kiujamii ndio maana ikaitwa mitandao ya KIJAMII.
kuna kundi la wenye Sonona.. mfadhaiko.. na Mateso ya kiroho (ROHO MBAYA) hawa watu.. huwa hata Profile Picture hawaweki.. hili kundi linajificha katika kivuli cha PRIVACY and MATURITY.
mtu mwenye Privacy hatumii Whatsapp kabisa.. hilo liko wazi
Mwisho wa siku nikikuona una hizo Element's huwa nafutaga Namba tu ukawafanyie Umaturity ndugu zako huko sio mie.. napenda watu low key na wapo real.
NB: nina contacts 120 nilioruhusu waview status ni watu 30.
Kundi moja ni lile linalojiona (SPECIAL) huwa na kitu kinaitwa EGO.
ubaya wa Ego ni kwamba kuna uhusiano mkubwa sana na ROHO mbaya + Wivu.
Niende kwenye Mada.
Binafsi ni muwekaji mzuri wa Status (Napostigi Memes) hii hali imenifanya hata siku nisipoposti huwa naulizwa leo kulikoni?!.
Napenda Maisha ya kiujamii ndio maana ikaitwa mitandao ya KIJAMII.
kuna kundi la wenye Sonona.. mfadhaiko.. na Mateso ya kiroho (ROHO MBAYA) hawa watu.. huwa hata Profile Picture hawaweki.. hili kundi linajificha katika kivuli cha PRIVACY and MATURITY.
mtu mwenye Privacy hatumii Whatsapp kabisa.. hilo liko wazi
Mwisho wa siku nikikuona una hizo Element's huwa nafutaga Namba tu ukawafanyie Umaturity ndugu zako huko sio mie.. napenda watu low key na wapo real.
NB: nina contacts 120 nilioruhusu waview status ni watu 30.