AiseešKinachowekwa katikati ni kitanda cha mochwari ujue ama kile cha upasuaji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AiseešKinachowekwa katikati ni kitanda cha mochwari ujue ama kile cha upasuaji
Kinachowekwa katikati ni kitanda cha mochwari ujueHabari za leo naomba ushauri kuweka kitanda katikati ya chumba au ukutani ni kipi bora
Atavutia nguvu hasi kila upandeš¤£Anataka aweke katikati
Chumbani ni kinatakiwa kitanda tuAnza kuweka kabati /dressing table..then fuatisha kitanda...hio nzuri...sana
Chumba kinaonekana fuleshiii
kwahiyo nguo unavalia chooni nduguChumbani ni kinatakiwa kitanda tu
Marufuku mtu kuingia na simu au laptop ni sehemu takatifu ya agenda moja tu ya kitanda
Kabati na dressing table chumbani sio mahali pake
Dressing weka huko bathroom huko acha kujaza mivitu chumba cha kulala
Watu wajinome kitandani
Chumba cha kulala ni kulala ndio maana kinaitwa cha kulala sio cha kujipodolea kajipodolee huko kwingine sio chumba cha kulala
Chumba cha kulala ni kulala na agenda ni moja tu hadi kieleweke
Huwa hamuendi kitchen party kufunzwa nyie
Ndio maana sasa hivi ndoa nyingi zinavunjika unageuza chumba cha kulala saluni ya kujipodoa na dressing table yako looks ukome
Bafu iwe na sehemu ya kuoga kujisadia na chumba kingine mbele ya bafu huko ndani ndiko ujaze hayo makorokoro sijui mataulo ,nguo nkkwahiyo nguo unavalia chooni ndugu
Yaan JF ni Ngonoo tuuuš¤£Hii ndio jf ninayoijua mimi..!š
Uzi ufungweee!!Zingatia ukubwa wa chumba chako mkuu
Kinachowekwa katikati ni kitanda cha mochwari ujueHabari za leo naomba ushauri kuweka kitanda katikati ya chumba au ukutani ni kipi bora
Sasa mjukuu hatujacomenti itakuwajeUzi ufungweee!!
Ukutani ni Bora kwa sababu ukuta Kuna muda ugeuka kama support ya mchezo.Habari za leo naomba ushauri kuweka kitanda katikati ya chumba au ukutani ni kipi bora
Unamaanisha .......eeenhKinachowekwa katikati ni kitanda cha mochwari ujue ama kile cha upasuaji
Egamio la kitanda(upande unapoweka kichwa) liwe ukutani ila kulia na kushoto mwa kitanda kuwa na nafasi sawa(katikati)Habari za leo naomba ushauri kuweka kitanda katikati ya chumba au ukutani ni kipi bora
Bafu iwe na sehemu ya kuoga kujisadia na chumba kingine mbele ya bafu huko ndani ndiko ujaze hayo makorokoro sijui mataulo ,nguo nk
Chumba cha kulala kinatakiwa kuwa na hewa ya kutosha
Kifupi jenga chumba ,choo ns bafu halafu mbele ya bafu kuna mlango mwingine ndani huko huko ambako huko ndiko ni godown la la kabati la nguo zote ziwe za ndani au nje ,masanduku nk mazagazaga yote yawekwe hicho chumba huko huko ndani kwa ndani
Kinaanza chumba cha kulala kinafuata bafu na choo halafu kinafuata hicho chumba cha nguo makabati masanduku nk huko huko ndani
Chumba kisigeuzwe godown kiachwe kitanda tu kitambe
Chumba cha kulal kiwe free