Winnie Winnie
Senior Member
- Aug 23, 2024
- 132
- 293
- Thread starter
- #61
Kwanini ebu fafanuaUsiweke Kitanda kati kati kama huna nguvu za Kiroho.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini ebu fafanuaUsiweke Kitanda kati kati kama huna nguvu za Kiroho.
Kwani kitanda ndiyo kinaleta watoto na ni tajiri gani huyo ana mtoto mmoja ndoa miaka 10 acha wivu utakuwa mchawi uzeeni pia kuzaa watoto huwa ni kupenda wanandoa kama wamependa wawe na mtoto mmoja tu au wamependa watoto waachane miaka kumi,kuwa na akili hata siku moja moja ndo maana huwa tunasema elimu ni ujuzi sio kwenda shule sasa na wewe umeenda shule kufanya nini!Kama ndoa bado ni changa na unahitaji watoto wengi nakushauri weka kitanda ukutani,,
Huko mke hawezi kukukimbia na ukimbana hatoki.
Wazee wetu walitumia hekma kama hyo .,,
lakini kuweka kitanda Kati kati ni rahisi mke kukuchoropoka na inapunguza hamasa ya tendo..
Matajiri _ kitanda kipo Kati kati ana mtoto 1 ndoa miaka 10.
Masikini _ kitanda kipo ukutani ana watoto 4 ndoa miaka 7.
Tajiri na mali zake masikini na watoto.Kwani kitanda ndiyo kinaleta watoto na ni tajiri gani huyo ana mtoto mmoja ndoa miaka 10 acha wivu utakuwa mchawi uzeeni pia kuzaa watoto huwa ni kupenda wanandoa kama wamependa wawe na mtoto mmoja tu au wamependa watoto waachane miaka kumi,kuwa na akili hata siku moja moja ndo maana huwa tunasema elimu ni ujuzi sio kwenda shule sasa na wewe umeenda shule kufanya nini!
Kubwa jinga halafu una wivu kwa matajiri tunaongelea kitanda wewe unaongelea tajiri jitaidi uwe unakula mara tatu kila siku uache wivuTajiri na mali zake masikini na watoto.
Ukielewa hili huwezi kushupaza shingo kwa ubishi.
Kwahyo wewe ndy tajiri?Kubwa jinga halafu una wivu kwa matajiri tunaongelea kitanda wewe unaongelea tajiri jitaidi uwe unakula mara tatu kila siku uache wivu
Mwendawazimu wewe🤣Minashauri ukiweke mlangoni kabisa...🤗
Kiweke karibu na ukuta. Sometimes mmeo akiwa anakupelekea moto atahitaji balance so anakanyaga ukuta ili ashindilie vizuri.
Wengi wanaoweka ukutani wana makorokoro yasiyo ya lazima chumba cha kulalia. Watu wa dar mnisamehe ila unakuta mtungi wa gesi, madumj, ndoo, na mengine kibao na geto moja unadhani ataweka kitanda katikatiHabari za leo naomba ushauri kuweka kitanda katikati ya chumba au ukutani ni kipi bora
ZimeishaZile 10m vp! Nikatie fungu😐
Seriously?😧😧Zimeisha
Ndiyo uweke mfano wa watoto wewe rudi facebook toka hapaKwahyo wewe ndy tajiri?
Mimi nimeongelea fact wewe unaleta makasiriko.
Huwezi kukuta kitanda kipo pembeni nyumba ya tajiri.
Na huwezi kukuta kitanda kipo kati kati chumbani kwa lofa.
Mimi naongea kwa fact na sio mihemko
Uko sahihi kabisaKwahyo wewe ndy tajiri?
Mimi nimeongelea fact wewe unalata makasiriko.
Huwezi kukuta kitanda kipo pembeni nyumba ya tajiri.
Na huwezi kukuta kitanda kipo kati kati chumbani kwa lofa.
Mimi naongea kwa fact na sio mihemko
Kwa hela gani alizo nazo awe na chumba kikubwakama chumba ni kikubwa weka kitanda katikati
SafiiKatikati: na bedsides. Inakupa uhuru wa kutandika vizuri, kufanya usafi vizuri pande zote pia. na kuleta muonekano wenye balance.
Unajua matumizi mangapi ya kitanda?Habari za leo naomba ushauri kuweka kitanda katikati ya chumba au ukutani ni kipi bora
🤣Kinachowekwa katikati ni kitanda cha mochwari ujue ama kile cha upasuaji