Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Nimeogopa kiwango Cha mwisho mpendwa, ila kwaninj ufikie huko?? Sema mapenzi bwana ni kitu Cha 50-50Eee nakukata tuu ukinisaliti 😆 😆
We huna nia nzuri na mtoa madaWazinzi wote mpite huku
Usiogope bwana hata kuchinja kuku tuu siwezi...nimeongea tuuu...ila bwana mapenzi yanaumiza sana so kuna watu wanaweza kuua kabisaNimeogopa kiwango Cha mwisho mpendwa, ila kwaninj ufikie huko?? Sema mapenzi bwana ni kitu Cha 50-50
Niliwahi kumuona jamaa analia Kama mtoto kisa dem, nilillvyomuambia move on, aliniambua siku nikikua nitaelewaUsiogope bwana hata kuchinja kuku tuu siwezi...nimeongea tuuu...ila bwana mapenzi yanaumiza sana so kuna watu wanaweza kuua kabisa
Ni kama umechapiwa na boya mwingine huko ila uliposoma uzi wa huyu mwamba ikawa kama umemeza ile kloritii wa maasai..umeamua kumvaa jamaa jumla jumlaSubiri wakati nakufilimba ndo utaelewa vizuri mseng.e wewe. Na utamuita huyo luckyline mwenye akili akusaidie kuhimili mabolo.
Nitakudaka tu, na nakuhakikishia nitakachokufanyia, utaomba ardhi ipasuke ikumeze. Nitakushughulikia huku nakuonyesha huu uzi.
Kwa heri.
🤣🤣🤣🤣🤣 maajabu hayaDada Bora ulivyogundua
Too bad...Kuna mmoja ataumia au ataumizwa
Subiri wakati nakufilimba ndo utaelewa vizuri mseng.e wewe. Na utamuita huyo luckyline mwenye akili akusaidie kuhimili mabolo.
Nitakudaka tu, na nakuhakikishia nitakachokufanyia, utaomba ardhi ipasuke ikumeze. Nitakushughulikia huku nakuonyesha huu uzi.
Kwa heri.
Yah aliniambia ajiwezi kwenye bed
Nitakapokufilimba hivi karibuni utajua ukweli kuhusu uwezo wangu mseng.e wewe, na uje kutoa majibu humu.
Nitakutanua haswa mshenzi wewe.
Kapeace jazia nyama tafadhali!Wote nyie ni mafala
Kaka jiandae kutembea na pampas kishanukaJamaa kaamua aende na upepo kwa kutumia hiko kipengele lakini uhalisia story yangu na yake ni tofauti kabisa nimeoma uzi mpaka nimecheka kingine ni kwamba huyo manzi sio mpole kama alivyosema yeye nature ya huyo manzi ni mchangamfu hapo tu kashaingia chaka hapa anachofanya ni kuwafurahisha tu Mshana Jr Rumaiya
Sipotezagi muda wangu kuandikia wapuuzi km hawa, sasa humu wanaleta maisha yao ili iweje!! Hasa huyo mgoni wake ni kutafuta attention na kutusimulia maisha yao nk,, ajabu wanaofanya hivi ni wanaume😅 inatia kinyaa yani mtu haoni aibu kutusimulia anamla mke wa mtu,, haya sasa anatafutwa afanywe kitu mbaya na mimi nasema AFANYWEEEEEEEEEKapeace jazia nyama tafadhali!
Huyu anayelalamika kuchapiwa unamuwekaje fungu moja na mgoni wake?
Muulize yule muuza mihogo wa kawe yuko wapi,Lazima nimfilimbe huyu mbwa. Hawezi kunit*ombea mke wangu na kula pesa zangu halafu nimuache tu.
Nitakachomfanya, atahadithia hadi vitukuu.
Aombe makazi O bay tu hamna namnaNa Kama jamaa yuko sahihi, amua Cha kufanya ambacho kitakuweka salama
Dah! MafalaWote nyie ni mafala