Kuweka kumbukumbu sawa kuhusu kutokumjali mke wangu na kumsababishia kuchepuka

Basi hamjastaarabika mna mambo ya kiswazi. Hakuna mke anaye jitambua anakaribisha mtu hata ndugu sembuse mashoga kwenye chumba chake na mume wake. Hayupo nakwambia.
Kiufupi ni kwamba una mke wa hovyo kuwahi kutokea.
dada kuna waswahili mpaka mashoga zake wanajua chumbani kwake
 
dada kuna waswahili mpaka mashoga zake wanajua chumbani kwake
Anaebisha hana exposure. Yaani kuna vituko vingine vya huyu mwanamke nikivisema hapa ndo kabisa hamtaamini, kama hilo dogo tu hamuamini.
Kamdanganya huyo malaya mwenzake mshamba wa K anakuja kunidhalilisha humu.
Atajuta kuzaliwa.
 
Acha mwamba nae ale mali yako. Mafunzo ni mbele ya safari ila kwa sasa acha mwamba ale maisha.
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mwanaume mzima unamchamba mwanaume mwenzako Hadharani, Uanaume ni kumalizana silini
 
Duuh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…