Kuweka mlango wa mbao wa mbele bila kuweka mlango wa grill ikoje kiusalama?

Kuweka magril ni ushamba tu wez wenyewe siku hizi wanajua majumbani amna hela sanasana wanaoiba majumbani ni vibaka
Mimi kwangu sijaweka gril huu mwaka wa 7
mkuu mganga wako ni yupi maana sio kwa kujihakikishia usalama kiasi hiko.........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…