Scrum Master
JF-Expert Member
- Apr 28, 2021
- 243
- 424
- Thread starter
- #41
ha haa haaMkuu weka wa mbao weka alarm alafu fata AK47 magazini mbili weka ndani mbaka hapa usalama ni 100%
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ha haa haaMkuu weka wa mbao weka alarm alafu fata AK47 magazini mbili weka ndani mbaka hapa usalama ni 100%
Wezi wapo kila mahali.Wezi wapo mtandaoni, ujambazi uliobaki ni wa kuua tu.!
Sema design nzuri ya grill inapendeza but it all comes to what you love.
Mimi nimeweka grill kwanza design ninayoipenda then ndo nije niweke wa mbao kwa ndani naona kama inapendeza na inakuwa na usalama zaidi.View attachment 2332404View attachment 2332405
Hongera ... Hata huo mzuri [emoji3590]Nilikuja kuamua kuweka hiiView attachment 2399288
Ata kwangu Nimeweka square pipe hii ndio habari ya mjini sasahivi Mambo ya flat bar yamepitwa na wakatiNilikuja kuamua kuweka hiiView attachment 2399288
Apo ndani unaweka wa mbao?Nilikuja kuamua kuweka hiiView attachment 2399288
Usiogope, ukisha kuwa na bodyguard, walinzi wawili nje na wote mna silaha kwishaNaona inapendeza sana mlango wa mbao wa mbele bila grill. Kwa ambao mna uzoefu wa aina hiyo ya mlango mnanishauri nini. Kiusalama ikoje?
View attachment 2313105
mkuu mganga wako ni yupi maana sio kwa kujihakikishia usalama kiasi hiko.........Kuweka magril ni ushamba tu wez wenyewe siku hizi wanajua majumbani amna hela sanasana wanaoiba majumbani ni vibaka
Mimi kwangu sijaweka gril huu mwaka wa 7
Ile milango ni steel kabisa. Inauzwa mpaka laki tisa ukifitisha vizuri labda waje na bomuAisee hii milango bei yake ikoje?