Kuweka Picha ya Mpenzi wako kwenye Profile ya WhatsApp!!

Kuweka Picha ya Mpenzi wako kwenye Profile ya WhatsApp!!

Ni utoto. Pia kuwa makini manake anaweza kuwa anakuchoresha tu. Kakuweka dp halafu anaomba dickpics kutoka kwa jamaa. Haina maana.
 
Binafsi namuwekaga ikiwa namuwish either b'day or anything else. Apart from that naweza nkakaa miaka nisimuweke au nkakaa miezi bila kubadilisha Dp.

Mapenzi yangu kwake na picha havina uhusiano.
 
Hapana mkuu, mimi sina historia kuachwa bali nimewaacha wengi, kuna mpenzi wangu anapenda sana kuweka picha yangu kwenye Profile yake,.. Sijapata kujua umuhimu wa yeye kufanya hivyo huku akinilazimisha na mimi niweke ya kwake kwenye Profile yangu,. Bado sijamkubalia pamoja na yeye tayari ameshaweka ya kwangu kwake,.
Unaogopa watalaka wako wataiona? Bango hilo ataukimuacha washajua mwenyewe nani
 
kama bado unawapanga kazi kwako.

Issue sio kuwapanga hapa, Unaweza kuwa na mmoja for a certain reason mahusiano yakavunjika. Ukapata mwingine likatokea la kutokea, na picha ulishazipamba kwenye profile.

Tumeshuhudia style kama za kina Wema, Lulu na wengineo tunaowajua kwenye jamii. (It's a different case kwa wenye ndoa, shida ni kwa wanaotaka kuingia kwenye ndoa )
 
Kwanza Ungesema wewe ukiona hivo huwa unajickiaje??Acha kuwa na akili kama za popo ucku unaona mchana huoni.
 
Hii ni kuonyesha kumjali,upendo kwa muhusika ni sawa na kumuweka mama,dada,baba au hata swahiba wako wa karibu anaweza hata kuwa jinsia yako mfano rafiki yako wa karibu hii inaonyesha thamani kwa muhusika.
 
Habari wana MMU.

Naheshimu sana mawazo yenu bila kujali yana maudhui ya aina gani kwani kila mtu amejaliwa karama yake na uwezo binafsi wa kutafakari mambo na kuyatolea maamuzi.

Back to the Topic,..

Kuna hili jambo, unakuta mtu kaweka picha ya mtu wa Jinsia tofauti na yeye, yaani kama ni mwanamke anaweka picha ya mwanaume, na kama ni mwanaume anaweka picha ya mwanamke huku akiambatanisha na maneno fulani fulani ya kimapenzi, kama ''I luv u hubby, sweetie'' e.t.c

Hawa watu wanaofanya hivi huwa wana malengo gani hasa? Au wanatangazia wengine kwamba tayari wanao wapenzi wao?

Kuna sababu gani za msingi za mtu kuweka picha ya mpenzi wake kama Profile picture yake kwenye WhatsApp, inasaidia nini?

Nawasilisha,..
Kibaya zaidi unamuweka Kwa profile halafu ndani ya muda mfupi anakubwaga chini!!!!
 
Hata uweke ya siku ya ndoa hatujalii maana ni wkt ulee wkt huu asingetakiwa. Hatushtukii zaidi tunaongeza kisses na kumsifia kwa kututambulisha mme/mke mwenzetu.
 
Habari wana MMU.

Naheshimu sana mawazo yenu bila kujali yana maudhui ya aina gani kwani kila mtu amejaliwa karama yake na uwezo binafsi wa kutafakari mambo na kuyatolea maamuzi.

Back to the Topic,..

Kuna hili jambo, unakuta mtu kaweka picha ya mtu wa Jinsia tofauti na yeye, yaani kama ni mwanamke anaweka picha ya mwanaume, na kama ni mwanaume anaweka picha ya mwanamke huku akiambatanisha na maneno fulani fulani ya kimapenzi, kama ''I luv u hubby, sweetie'' e.t.c

Hawa watu wanaofanya hivi huwa wana malengo gani hasa? Au wanatangazia wengine kwamba tayari wanao wapenzi wao?

Kuna sababu gani za msingi za mtu kuweka picha ya mpenzi wake kama Profile picture yake kwenye WhatsApp, inasaidia nini?

Nawasilisha,..
Hahaha na wewe hiyo avatar umeweka ili kuashiria nini?
 
Nilikuta picha ya wife kwenye profile ya fb nikabaki nimeganda macho
 
Back
Top Bottom