kuwaonesha wa2 kama nae ana handsome.
Nakubaliana na wewe wengi hutafuta Attention tu na ukikuta mtu mwenyewe ni mzuri mzuri kidogo basi mtakoma huko instagram na wasap
Nawe si unaweka ya wa kwako ili wakomee umenichekeshaaa etii mzuri mzuriii
Habari wana MMU.
Naheshimu sana mawazo yenu bila kujali yana maudhui ya aina gani kwani kila mtu amejaliwa karama yake na uwezo binafsi wa kutafakari mambo na kuyatolea maamuzi.
Back to the Topic,..
Kuna hili jambo, unakuta mtu kaweka picha ya mtu wa Jinsia tofauti na yeye, yaani kama ni mwanamke anaweka picha ya mwanaume, na kama ni mwanaume anaweka picha ya mwanamke huku akiambatanisha na maneno fulani fulani ya kimapenzi, kama ''I luv u hubby, sweetie'' e.t.c
Hawa watu wanaofanya hivi huwa wana malengo gani hasa? Au wanatangazia wengine kwamba tayari wanao wapenzi wao?
Kuna sababu gani za msingi za mtu kuweka picha ya mpenzi wake kama Profile picture yake kwenye WhatsApp, inasaidia nini?
Nawasilisha,..
Mapenzi ya kuchorana mimi hapana
Duu we huna wa kumuweka au unamichepuka???
Mapenzi ya maigizo hayo.....kuweka picha yako wala sio assurance kuwa upo peke yako coz huo mchepuko wake yaweza akawa na cm ambayo haina uwezo wa kuwa na whatsapp
Tatizo relationship za siku hizi hazidumu...Utawaweka wangapi?
mume sawa...boyfriend am sory ila mi napenda kuwaweka wanangu!
Mi hata kama ni mbayaa naweka tu si ni wa kwanguuu sijali uhandsome wala ubayaaa mi najali navyompendaa basiiii hata kwa wengine awe anatishaaa mi kwangu mzuri tu ndio naridhikaaaa
basi mie sijawahi weka watoto, naona kama acha wakue waamue wenyewe kama wanataka kuwekwa in public.
Sie vizee poa tu.