Kuweka Picha ya Mpenzi wako kwenye Profile ya WhatsApp!!

Kuweka Picha ya Mpenzi wako kwenye Profile ya WhatsApp!!

Nakubaliana na wewe wengi hutafuta Attention tu na ukikuta mtu mwenyewe ni mzuri mzuri kidogo basi mtakoma huko instagram na wasap

Nawe si unaweka ya wa kwako ili wakomee umenichekeshaaa etii mzuri mzuriii
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Mie sioni tatizo lolote lile, mwanaume/mwanamke badala ya kuweka picha yake anaamua kuweka picha ya mpenzi wake kwangu mimi sioni ubaya wa hili.
 
Habari wana MMU.

Naheshimu sana mawazo yenu bila kujali yana maudhui ya aina gani kwani kila mtu amejaliwa karama yake na uwezo binafsi wa kutafakari mambo na kuyatolea maamuzi.

Back to the Topic,..

Kuna hili jambo, unakuta mtu kaweka picha ya mtu wa Jinsia tofauti na yeye, yaani kama ni mwanamke anaweka picha ya mwanaume, na kama ni mwanaume anaweka picha ya mwanamke huku akiambatanisha na maneno fulani fulani ya kimapenzi, kama ''I luv u hubby, sweetie'' e.t.c

Hawa watu wanaofanya hivi huwa wana malengo gani hasa? Au wanatangazia wengine kwamba tayari wanao wapenzi wao?

Kuna sababu gani za msingi za mtu kuweka picha ya mpenzi wake kama Profile picture yake kwenye WhatsApp, inasaidia nini?

Nawasilisha,..

Duu we huna wa kumuweka au unamichepuka???
 
Wenye michepuko utawajuaa unaogopa kuulizwaaa lakin ukiwa nae mmoja wala hata huwazi ni mapenz tuu sio kuchoranaa

Hahaha umejuaje!!!? ImageUploadedByJamiiForums1404586911.721795.jpg
 
Mapenzi ya maigizo hayo.....kuweka picha yako wala sio assurance kuwa upo peke yako coz huo mchepuko wake yaweza akawa na cm ambayo haina uwezo wa kuwa na whatsapp
 
mume sawa...boyfriend am sory ila mi napenda kuwaweka wanangu!
 
Hakuna shida yoyote relax ,ni vile tu mtu apendavyo wengine huweka watoto,wazazi,marafiki,masupeer star,wanyama,ndege,maua n.k
 
basi mie sijawahi weka watoto, naona kama acha wakue waamue wenyewe kama wanataka kuwekwa in public.

Sie vizee poa tu.

mume sawa...boyfriend am sory ila mi napenda kuwaweka wanangu!
 
Unaweka afu mkishabwagana status za vijembe juu..
 
Kati ya vitu ambavyo sijali ni hili jambo. Usichukulie life serious kiasi hicho mkuu
 
Mi hata kama ni mbayaa naweka tu si ni wa kwanguuu sijali uhandsome wala ubayaaa mi najali navyompendaa basiiii hata kwa wengine awe anatishaaa mi kwangu mzuri tu ndio naridhikaaaa

mkuu inaonekana jaman ako ni poligon knoma hahah,just a joke
 
Back
Top Bottom