Mtu ukiwa unampendaa huwezi ona kama ni poligon hata kama ni poligon,nadhan umenipata
Mi hua nawekaa picha coz ni mwanaume nnaempendaa, sifichi na kuogopa mtu yeyote ni mwanaume wangu ,mpenzi wangu ,baba yangu najiaminiii pia na status huweka nayotaka mieee
unaokuta wenawekana profile picture alafu baada ya miezi miwili wana achana. ila ndio Tanzania yetu
kama wolper na gmodel.waliweka mipicha insta baada ya mda mfupi wameachana kila mtu kafuta ni majanga
Yaani mpenzi wako unamwita baba yako??????????
Hiyo nayo kali maana najua mpenzi wako unafanye naye matusi sasa huyo huyo tena anaitwa Baba duuuh we kiboko...........