Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwahiyo mkimpata tajiri mnaweka picha ya BANK?me kwakwel sijawah kuweka ya kwangu wala huyo jinsia tofauti.
ila wanaofanya hivyo nikama kuonesha mapenz kwa yule alie muweka pia wengine huweka kwa malengo hasa sisi wadada. kuwaonesha wa2 kama nae ana handsome.
Ni uamuzi binafsi...
Simu yake kanunua kwa hela yake....
Bundle zake amenunua kwa hela yake...
Whatsapp yake kadownload kwa hela zake iwe ni bundle au (kulipia kwa wenye iphone)
Hata wakiweka vifanyio vyao ni sawa tu...
Uhuru wa simu zao
mmh mi uniweke sawa usiniweke sawa.
Mbona kwenye lD za JF hamuweki hzo picha za wapenzi wenu?
Mbona kwenye lD za JF hamuweki hzo picha za wapenzi wenu?
Ukiona hivyo ujue kuna kamchepuko unakaogopa kasije kuona mambo yako, kama unajiamini, mbona kuweka picha ya mtu wako ni kawaida sana. Ila kama kuna machepuko ni mtihani kidogo.Hapana mkuu, mimi sina historia kuachwa bali nimewaacha wengi, kuna mpenzi wangu anapenda sana kuweka picha yangu kwenye Profile yake,.. Sijapata kujua umuhimu wa yeye kufanya hivyo huku akinilazimisha na mimi niweke ya kwake kwenye Profile yangu,. Bado sijamkubalia pamoja na yeye tayari ameshaweka ya kwangu kwake,.
Ukiona hivyo ujue kuna kamchepuko unakaogopa kasije kuona mambo yako, kama unajiamini, mbona kuweka picha ya mtu wako ni kawaida sana. Ila kama kuna machepuko ni mtihani kidogo.
Sent from my iPhone using JamiiForums app
Hapana mkuu, mimi sina historia kuachwa bali nimewaacha wengi, kuna mpenzi wangu anapenda sana kuweka picha yangu kwenye Profile yake,.. Sijapata kujua umuhimu wa yeye kufanya hivyo huku akinilazimisha na mimi niweke ya kwake kwenye Profile yangu,. Bado sijamkubalia pamoja na yeye tayari ameshaweka ya kwangu kwake,.