Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,092
- 53,496
Hapo unatafuta murder case. ....
Utakuwa umeua kwa kukusudia. ...
Kwanini? Si umenilazimisha??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo unatafuta murder case. ....
Utakuwa umeua kwa kukusudia. ...
Kama huyu niliye nae
Kwanini? Si umenilazimisha??
Habari wana MMU.
Naheshimu sana mawazo yenu bila kujali yana maudhui ya aina gani kwani kila mtu amejaliwa karama yake na uwezo binafsi wa kutafakari mambo na kuyatolea maamuzi.
Back to the Topic,..
Kuna hili jambo, unakuta mtu kaweka picha ya mtu wa Jinsia tofauti na yeye, yaani kama ni mwanamke anaweka picha ya mwanaume, na kama ni mwanaume anaweka picha ya mwanamke huku akiambatanisha na maneno fulani fulani ya kimapenzi, kama ''I luv u hubby, sweetie'' e.t.c
Hawa watu wanaofanya hivi huwa wana malengo gani hasa? Au wanatangazia wengine kwamba tayari wanao wapenzi wao?
Kuna sababu gani za msingi za mtu kuweka picha ya mpenzi wake kama Profile picture yake kwenye WhatsApp, inasaidia nini?
Nawasilisha,..
Dah...alafu mwenyewe unakuta umemtupia kwenye ma whatsapp, Fesibuku, Instagram kumbe watu wanakutafunia kiulaiiini......teh teh teh.
Ila anyway wacha watu wafurahishe nafsi zao bana.
mkuu inaonekana jaman ako ni poligon knoma hahah,just a joke
Mimi siku nikiamua namuweka ingawa haoni ila namuweka tu
Kama analiwa ni analiwa tuuu haijalishiiii
upo whatsapp?sikuoni au ulinipata namba ya gari
Hao wanawake wapo
Mimi siku nikiamua namuweka ingawa haoni ila namuweka tu
unaokuta wenawekana profile picture alafu baada ya miezi miwili wana achana. ila ndio Tanzania yetu