Kuna vitu vingine sio lazima viwe muhimu ila vinafanyika tu kwa hisia na kwa kujickia.
true dat....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna vitu vingine sio lazima viwe muhimu ila vinafanyika tu kwa hisia na kwa kujickia.
Habari wana MMU.
Naheshimu sana mawazo yenu bila kujali yana maudhui ya aina gani kwani kila mtu amejaliwa karama yake na uwezo binafsi wa kutafakari mambo na kuyatolea maamuzi.
Back to the Topic,..
Kuna hili jambo, unakuta mtu kaweka picha ya mtu wa Jinsia tofauti na yeye, yaani kama ni mwanamke anaweka picha ya mwanaume, na kama ni mwanaume anaweka picha ya mwanamke huku akiambatanisha na maneno fulani fulani ya kimapenzi, kama ''I luv u hubby, sweetie'' e.t.c
Hawa watu wanaofanya hivi huwa wana malengo gani hasa? Au wanatangazia wengine kwamba tayari wanao wapenzi wao?
Kuna sababu gani za msingi za mtu kuweka picha ya mpenzi wake kama Profile picture yake kwenye WhatsApp, inasaidia nini?
Nawasilisha,..
Wengine wana sura ngumu ukiweka utaulizwa mmmh... Huyo naye umemtoa wapi wakati wewe hapo ndio umekufa mpaka ukazikwa!!
ungempuuza usingei quote post yake...
btw sijui kwanini wanaweka may be kuonesha mapenzi, maybe attention maybe....
Hana majibu, anasema anapenda tu kufanya hivyo ndiyo maana nikatua kwa wadau hapa MMU nipate kujua black and white ya hili Jambo.
Bora umekunya wewe Kuku ingekuwa bata wangesema umeharisha
Shida inakuja pale unaponilazimisha kuweka picha yako
Sent from my RM-846_im_mea3_286 using Tapatalk
Sijaingilia Uhuru wa mtu mkuu,.
Kwa raha zao.........
kama bado unawapanga kazi kwako.
Shida inakuja pale unaponilazimisha kuweka picha yako
Sent from my RM-846_im_mea3_286 using Tapatalk
Kama Insta ndio balaa... Kila dakika "with my hubby" wakat hata hajakutolea shilingi.. Mkibwagana unafuta. Ukimpata mwingine tena unaanza.
Dah wana shughuli pevu!
hayo mambo ya kujizibia rizki ..........aku sifanyi