Shehullohi
JF-Expert Member
- Jul 21, 2020
- 3,753
- 3,685
Urusi haijawekwa vikwazo kwenye mafuta na gesi, hata Ulaya bado inanua mafuta na gesi kutoka Urusi. Hujui unachosema, akili yako imedumazwa na kufungwa na mawazo ya kijamaa yaliyopitwa na wakati na ambayo hayajawa na tija kwa nchi yetu kwa muda mrefu sana tangu kuwepo kwake.
Urusi imewekewa vikwazo miamala.