Kuweka Records Sawa: Utaratibu alioupendekeza Shabiby ndio uliokuwepo kabla, Haufai


Urusi imewekewa vikwazo miamala.
 

Wewe hujui kununua makampuni mawili kwa mpigo sokoni na kushusha bei ilikuwa mkakati wa kuua ushindani ilibadae wa monopolize soko? Washukuriwe TOTAL kwa kuistua serikali vilaza hawakuliona hilo.
 
Mama anaupiga mwingi, tena miguu yote…
 
Mkuu,
Ndio maana nikasema Serikali ijiridhishe ubora na usalama wake, me and uhalali wake kwanza
 
Muhindi anapata wapi mafuta ya bei nafuu ilhali source ya mafuta ni moja na bei zinajulikana?
Muhindi wa JAMNAGAR anaongoza dunia kwa uwezo wa ku refine mafuta.

Kama alivyosema Shabiby bungeni.





Mafuta ghafi duniani yanauzwa bei ya kutupa, sasa hivi ni shilingi laki mbili kwa pipa, yalishuka mpaka elfu 40 kwa pipa mwaka jana... Kinachokinza upatikanani wa mafuta duniani ni uwezo wa kuyachakata...

Nigeria inachimba mafuta lakini wana import mafuta kwa sababu hawana uwezo wa refinery... wanayauza nje machafu (crude) kama yalivyo...

Mhindi aliyekuja Tanzania kabla ya mfumo wa Bulk Procument alishusha bei ya mafuta kwa sababu yuko vizuri kupita mtu yeyote duniani kwenye refinery

Ahmed Shabiby was spot on, he should be listened to
 
Kwanini Shabiby asipewe rungu bei zianguke 50%. Kwanini kukaa kubishana badala ya kumpa mtu nafasi akafanya mambo?
Kila nchi duniani hadi Ulaya wanalalamika bei ya mafuta, unadhani wao hawaja assess hizo hoja za Shabuby?

Hapo hakuna cha maana ingekuwa ni nafuu basi nchi nyingi zingefanya hivyo lakini hakuna anayetekeleza hayo sababu wanajua
 
we na huyo magufuli wako, kamfufueni aisee, kwani wakati wake mafuta hayajawai kupanda?? Au alikuwa na visima vya mafuta huyo mungu wenu, wenzio wanaongelea mambo ya msingi, we na huyo kiumbe wenu
tuliza wenge mtoto, nadhani umeelewa hoja unajaribu kujitoa ufahamu
 
Crude oil kwa bei ya leo ni karibu dola 98, ni zaidi ya laki mbili! Labda nikuulize huyu muhindi nchi zote za Africa hazimjui ? Kwa nini hawanunui mafuta kutoka kwake?,;mombasa leo mafuta ni zaidi ya ksh 150, Kenya hawamjui mhindi?
 
Naona wangeweka import quotas kwenye bidhaa kama mafuta na katika swala la ubora kuna quality assurance na watu wa bureau of standards wataenda kukagua kabla hayajaingia sokoni
 
Crude oil kwa bei ya leo ni karibu dola 98, ni zaidi ya laki mbili! Labda nikuulize huyu muhindi nchi zote za Africa hazimjui ? Kwa nini hawanunui mafuta kutoka kwake?,;mombasa leo mafuta ni zaidi ya ksh 150, Kenya hawamjui mhindi?
dola 98, ndio hiyo laki mbili na ushee hiyo niliyosema, tunabishana nini sasa?

na hiyo dola 98 ni leo, lakini mwaka jana kulikuwa na oil glut, mafuta yalishuka mpaka dola 20 kwenye soko la dunia la Brent Crude na soko la West Texas Intermediate... yani shilingi 40,000 kwa pipa...

Waafrika ndio waliwao, ndio wazembe na mazoba kwenye biashara za dunia kama mafuta. Nigeria ina import mafuta japo inachimba mafuta. Haina refineries. Mganda nae anaenda kuuza mafuta machafu kama yalivyo, hana refinery capacity. Julius Nyerere, alikuwa kidume, alianzisha refinery Tanzania, japo hatuchimbi mafuta, hakupenda kusikilizia upepo wa wazungu kwa kila kitu.

Sisi Waafrika ni mazoba, no wonder hatununui mafuta rahisi ya Mhindi wa JAMNAGAR, mwenye refinery capacity kubwa kuliko mwarabu, mrusi na mmarekani.
 
Naona wangeweka import quotas kwenye bidhaa kama mafuta na katika swala la ubora kuna quality assurance na watu wa bureau of standards wataenda kukagua kabla hayajaingia sokoni
Rushwa itasababisha Tbs asikague chochote na mafuta mabovu yataingia sokoni
 
Rushwa itasababisha Tbs asikague chochote na mafuta mabovu yataingia sokoni
Nachoona hapa mchawi ni hiyo kamati ya BPS, kama tunaweza au tunawaza kudhibiti TBS, TRA, TPA basi twende mbele/mbali zaidi tuidhibiti na hii kamati pia. Huko Deep Sea yanakopatikana mafuta ya bei rahisi kamati haiwezi kuagiza huko?
 
Kinadharia uko sahihi kabisa.
Sasa, jaribu kuthibitisha kwa kulinganisha takwimu za wakati huo na sasa hivi ili kupata uhakika.
Inawezekana uhalisia ukawa tofauti kutokana na urasimu, rushwa n.k.
 
sababu za msingi wapi mkuu, hapo zaidi nachoona ni kutokuwajibika kwa taasisi na wahusika wao.
TBS
EWURA
TRA

hizi taasisi zikiwajibika mambo yataenda vizur .
Kiasili taasisi za uma zipo kukusanya mapato zaidi na siyo vinginevyo.
Ukifanyika utafiti rasmi, yawezekana hata weledi hautakuwepo, ni nadharia tu.
 
Nachoona hapa mchawi ni hiyo kamati ya BPS, kama tunaweza au tunawaza kudhibiti TBS, TRA, TPA basi twende mbele/mbali zaidi tuidhibiti na hii kamati pia. Huko Deep Sea yanakopatikana mafuta ya bei rahisi kamati haiwezi kuagiza huko?
Biashara ifanywe na watu binafsi, sio kamati kama tuko Korea Kaskazini.
 
Bei zishuke lakini kwa kufuata sheria na taratibu.

Hatutaki serikali ikose chanzo cha mapato, matokeo yake deni la taifa lina skyrocket.

Tanzania itajengwa na Watanzania, serikali ikusanye kodi na kuzuia ama kupunguza ukwepaji.
Watu wasiojua uchumi utawafahamu.... Hivi hata serikali ikifuta ushuru kabisa ama tuseme magendo yote yakiingizwa obviously bei itashuka na multiplier effect inaonyesha kwamba hta inflation hushuka bei ya mafuta ikishuka. Pia uzalishaji utapanda na mapato ya serikali yatapaa zaidi so usiangalie direct revenue kuna indirect kupitia kuchochea uchumi.

Then kukwepa Kodi sio mpaka waagize watu binafsi hata sasa flow meter imechezewa sana tu so ufisadi upo kwenye process zote tu isitumike kujustify. Maana kama kuna crisis huwezi force kitu kile kile but unaruhusu njia hata tatu au nne wakati Bado unaangalia namna bora ya kufanya.

Huwezi ukang'ang'ania kitu kile kile wakati unaona crisis, eti kuepusha ufisadi as if sahivi huo ufisadi haufanyiki bandarini.
 
Wewe si unajua uchumi kuliko Serikali zote duniani bhana! 👏 👏 👏
 
Wewe si unajua uchumi kuliko Serikali zote duniani bhana! 👏 👏 👏
Mbona kuna nchi zinaitwa tax havens yaani Kodi kibao zilishafutwa mpaka Corporate tax ishafutwa!!! Serikali ilikosa mapato direct ila kupitia kujaa kwa makampuni ajira zikaongezeka so wamegain pesa kupitia Income tax za waajiriwa na mzunguko wa pesa ulioongezeka nchini mwao.

Economics ni long-term strategy sio unaangalia eti ushuru wa mwaka mmoja bila kuangalia picha kubwa ya benefits za mafuta kwa uchumi kwa miaka 5 ijayo!!!
 
Very right. Bahati mbaya awamu iliyopita iliturudisha kwenye dhana ya awamu ya kwanza ya “command economy” na kuaminisha watanzania wengi kuwa hiyo ndiyo njia sahihi ya kudhibiti ufisadi na kukuza mapato ya serikali na uchumi kwa ujumla.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…