KERO Kuweka Smart Lock kwenye Magorofa ya TBA Magomeni Kota ili kufunga milango kodi inapoisha ni ukatili kwa wapangaji

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Nawapongeza TBA. Wabongo usipokaza hawalipi hasa ikiwa mradi ni wa serikali. Kama mtu hana hela ahame hapo awapishe wanaoweza kulipa.
 
Aisee noma kweli
 
Vipato vyenyewe viko wapi majobless tumejaa kila kona. We hv no purchasing power. Sisi ni watu wa kuunga unga
 
ukiwa ndani unaweza toka ila huwezi kuingia, nadhani ndo mechanism yake ilivo, sasa cha kufanya mmoja asitoke awe anawafungulia wanaotoka wakirudi mpaka mtakapopata kodi.
Nimecheka mno! always there is a way
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…