Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"Kama huwezi kuishi hapo Magomeni, hamia Vingunguti" Mnene wa Dar kalisema hilo.Kwann usipange huku uswazi ili kuepuka haya
Aisee noma kweliTatizo exposure
Hujaishi ulaya na marekani wewe
Hizo smart lock kule kiboko .Ukipanga nyumba kodi unayolipa imeunganishwa na maji,umeme na gesi na milango yenyewe
Ikifika muda wa kulipa kodi hujalipa milangi inajifunga yote,umeme,maji na gesi vyote vinakatika uwe ndani ya nyumba au nje na ripoti zinapelekwa kwenye database ya wenye nyumba za kupangisha kuwa wewe ni mpangaji mkorofi na taarifa zingine zinaenda kwa madalali wa kuja kukutoa kwa nguvu.Na toka hapo jiandae kuwa Homeless hakuna mwenye nyumba yeyote atakayekuja kukupangisha wewe chumba au nyumba
Ndio maana waweza kuta homeless wengine wanalala kwenye magari au viambaza wengine sababu ni hiyo
Nchi za wenzetu kodi ya nyumba ni kitu cha kwanza ambacho hawezi cheza nacho
Watanzania tubadilike Uswahili swahili una mwisho wake
Tunaingia ulimwengu wa kidigitali ambapo sio kila wakati mwenye nyumba anakuja kupiga hodi kwako kikudai kodi .Unafungiwa huko .
Vipato vyenyewe viko wapi majobless tumejaa kila kona. We hv no purchasing power. Sisi ni watu wa kuunga ungaWabongo hatuwezi kuendana na teknolojia hata kidogo , hapo awali kulikuwa na huduma za maji kwa kuweka sarafu tu unapata maji kulingana na pesa yako ...Sijui ilikuwaje mkaondoa ule mfumo ili mkope .
Hizo mita nilisikia zipo Iringa kwa sasa ..Lazima uapte utakacho kila siku zile mashine za ATM mnaharibu pia .
Nimecheka mno! always there is a wayukiwa ndani unaweza toka ila huwezi kuingia, nadhani ndo mechanism yake ilivo, sasa cha kufanya mmoja asitoke awe anawafungulia wanaotoka wakirudi mpaka mtakapopata kodi.
always boss, ufanye tu ubongo wako huru kufikiri utakupa jawabu kwa muda ufaao.Nimecheka mno! always there is a way
Kàkae kwa wazazi au ndugu achana na Maghorofa ya Magomeni kotaVipato vyenyewe viko wapi majobless tumejaa kila kona. We hv no purchasing power. Sisi ni watu wa kuunga unga