Kuweni makini na huyu mtu

Kuweni makini na huyu mtu

Ukute hata kigogo ni kitengo.[emoji1787]
Hapana,Kigogo siyo kitengo,yupo kitengoni kweli ila yupo upande wa kundi la wananchi wanyonge, Kigogo ni really actvist ndo maana hajulikani hata kwa Sura,lile boya lipo wazi Sura yake halafu linajiita "Spy"Tangu lini Spy akaji expose Publicly?
 
Yupo kwenye mtandao flani hivi maarufu Duniani,anajiita"Spy" Eti alikimbilia Ughaibuni lest he would be safe ,Eti akiwa Bongo atadhurika.
Huyo mtu ni HATARI zaidi ya nyoka,kazi yake kubwa ni kujifanya yupo Upinzani na mkosoaji wa Serikali,kumbe ni Traitor,na Bado yupo kitengoni, amekamatisha wengi mno waliodhani ni mwenzao kumbe ni Traitor.
Huko Ughaibuni pia yupo kikazi, na anajifanya Eti hajawahi kuja Bongo Tangu aondoke,kumbe mara kibao tu anakuja kwao na kula kambare Kama Kawa yaani.
Mambo anayoandika huko mtandaoni utaamini kabisa kuwa he's not part of the government's body kumbe yupo kazini.
Kazi kwenu.

Usitupangie marafiki sw
 
Hapana,Kigogo siyo kitengo,yupo kitengoni kweli ila yupo upande wa kundi la wananchi wanyonge, Kigogo ni really actvist ndo maana hajulikani hata kwa Sura,lile boya lipo wazi Sura yake halafu linajiita "Spy"Tangu lini Spy akaji expose Publicly?

Ila duniani ishi utaona makubwa. So ule ujinga na kukosa ubinadamu kabisa ndo kuwa upande wa wananchi. Wananchi wa wapi. Danguroni au wavutaji. Mana Hakuna mtu mstaarabu anakuwa hivyo. Unapopambana kwanza hukimbii na kujificha na kuanza kuimba taarabu. Afu activist gani anakuwa na Chama cha Siasa. Maslahi yake yatawezaje kujigawa.
 
Ila duniani ishi utaona makubwa. So ule ujinga na kukosa ubinadamu kabisa ndo kuwa upande wa wananchi. Wananchi wa wapi. Danguroni au wavutaji. Mana Hakuna mtu mstaarabu anakuwa hivyo. Unapopambana kwanza hukimbii na kujificha na kuanza kuimba taarabu. Afu activist gani anakuwa na Chama cha Siasa. Maslahi yake yatawezaje kujigawa.
Kigogo alimuua nani? Kigogo alimfunga nani? Kigogo alimpoteza nani?
Wewe kila mkosoaji wa Serikali ni mtu mbaya kwako,sasa mnataka Kigogo ajulikane ili mumuue Kama Ben Saanane.
Kigogo analindwa na Mungu ili awafumbue watu upumbavu wa CCM
 
Kigogo alimuua nani? Kigogo alimfunga nani? Kigogo alimpoteza nani?
Wewe kila mkosoaji wa Serikali ni mtu mbaya kwako,sasa mnataka Kigogo ajulikane ili mumuue Kama Ben Saanane.
Kigogo analindwa na Mungu ili awafumbue watu upu

mbavu wa CCM
Nani kauliwa au kudhuriwa na hii serikali?
Ben Sa nane Sijui tisa huko aliko anajua,toka siku anajitangaza kuwa member hapa JF alikua na kesi toka kwa bibi mmoja kkoo.
Ni kibwamdogo kimoja barobaro sijui kimesoma India kikawa na speed sana.
Tulikiambia piga poo,kikaendelea ndo mpk kupotea,na kilipotezwa na wenzie huko huko Chandema.
 
Nani kauliwa au kudhuriwa na hii serikali?
Ben Sa nane Sijui tisa huko aliko anajua,toka siku anajitangaza kuwa member hapa JF alikua na kesi toka kwa bibi mmoja kkoo.
Ni kibwamdogo kimoja barobaro sijui kimesoma India kikawa na speed sana.
Tulikiambia piga poo,kikaendelea ndo mpk kupotea,na kilipotezwa na wenzie huko huko Chandema.
Oh my fvcking god. This SOAB talk sh!t
 
Hapana,Kigogo siyo kitengo,yupo kitengoni kweli ila yupo upande wa kundi la wananchi wanyonge, Kigogo ni really actvist ndo maana hajulikani hata kwa Sura,lile boya lipo wazi Sura yake halafu linajiita "Spy"Tangu lini Spy akaji expose Publicly?
Weka picha. Mie simjui
 
Back
Top Bottom