Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana huyu ni ernest chahali my dearNadhani anamzungumzia spy wa jf
Hapana,Kigogo siyo kitengo,yupo kitengoni kweli ila yupo upande wa kundi la wananchi wanyonge, Kigogo ni really actvist ndo maana hajulikani hata kwa Sura,lile boya lipo wazi Sura yake halafu linajiita "Spy"Tangu lini Spy akaji expose Publicly?Ukute hata kigogo ni kitengo.[emoji1787]
Chahali hafai yule mtuHapana,Kigogo siyo kitengo,yupo kitengoni kweli ila yupo upande wa kundi la wananchi wanyonge, Kigogo ni really actvist ndo maana hajulikani hata kwa Sura,lile boya lipo wazi Sura yake halafu linajiita "Spy"Tangu lini Spy akaji expose Publicly?
Yupo kwenye mtandao flani hivi maarufu Duniani,anajiita"Spy" Eti alikimbilia Ughaibuni lest he would be safe ,Eti akiwa Bongo atadhurika.
Huyo mtu ni HATARI zaidi ya nyoka,kazi yake kubwa ni kujifanya yupo Upinzani na mkosoaji wa Serikali,kumbe ni Traitor,na Bado yupo kitengoni, amekamatisha wengi mno waliodhani ni mwenzao kumbe ni Traitor.
Huko Ughaibuni pia yupo kikazi, na anajifanya Eti hajawahi kuja Bongo Tangu aondoke,kumbe mara kibao tu anakuja kwao na kula kambare Kama Kawa yaani.
Mambo anayoandika huko mtandaoni utaamini kabisa kuwa he's not part of the government's body kumbe yupo kazini.
Kazi kwenu.
Hapana,Kigogo siyo kitengo,yupo kitengoni kweli ila yupo upande wa kundi la wananchi wanyonge, Kigogo ni really actvist ndo maana hajulikani hata kwa Sura,lile boya lipo wazi Sura yake halafu linajiita "Spy"Tangu lini Spy akaji expose Publicly?
ndiyo nani tena jamaniChahaaaaaaali!😂😂😂
Hayupo kitengo ----yupo kitengo.Hapana,Kigogo siyo kitengo,yupo kitengoni kweli ila yupo upande wa kundi la wananchi wanyonge, Kigogo ni really actvist ndo maana hajulikani hata kwa Sura,lile boya lipo wazi Sura yake halafu linajiita "Spy"Tangu lini Spy akaji expose Publicly?
Yule ni mpuuziHapana,Kigogo siyo kitengo,yupo kitengoni kweli ila yupo upande wa kundi la wananchi wanyonge, Kigogo ni really actvist ndo maana hajulikani hata kwa Sura,lile boya lipo wazi Sura yake halafu linajiita "Spy"Tangu lini Spy akaji expose Publicly?
Kigogo alimuua nani? Kigogo alimfunga nani? Kigogo alimpoteza nani?Ila duniani ishi utaona makubwa. So ule ujinga na kukosa ubinadamu kabisa ndo kuwa upande wa wananchi. Wananchi wa wapi. Danguroni au wavutaji. Mana Hakuna mtu mstaarabu anakuwa hivyo. Unapopambana kwanza hukimbii na kujificha na kuanza kuimba taarabu. Afu activist gani anakuwa na Chama cha Siasa. Maslahi yake yatawezaje kujigawa.
Sio cha lilahacha kweli?
Kigogo alimuua nani? Kigogo alimfunga nani? Kigogo alimpoteza nani?
Wewe kila mkosoaji wa Serikali ni mtu mbaya kwako,sasa mnataka Kigogo ajulikane ili mumuue Kama Ben Saanane.
Kigogo analindwa na Mungu ili awafumbue watu upu
Nani kauliwa au kudhuriwa na hii serikali?mbavu wa CCM
Oh my fvcking god. This SOAB talk sh!tNani kauliwa au kudhuriwa na hii serikali?
Ben Sa nane Sijui tisa huko aliko anajua,toka siku anajitangaza kuwa member hapa JF alikua na kesi toka kwa bibi mmoja kkoo.
Ni kibwamdogo kimoja barobaro sijui kimesoma India kikawa na speed sana.
Tulikiambia piga poo,kikaendelea ndo mpk kupotea,na kilipotezwa na wenzie huko huko Chandema.
Weka picha. Mie simjuiHapana,Kigogo siyo kitengo,yupo kitengoni kweli ila yupo upande wa kundi la wananchi wanyonge, Kigogo ni really actvist ndo maana hajulikani hata kwa Sura,lile boya lipo wazi Sura yake halafu linajiita "Spy"Tangu lini Spy akaji expose Publicly?
Ndio yupoje huyo?Chahali hafai yule mtu
Dah! sio kwa back, reverse ,back, kinyume language mkuuyohu yohu, amaja ni ngemse