Kuweni makini na mchanga wa kaburini

Kuweni makini na mchanga wa kaburini

Kuna watu walienda kuhiji Uganda wakaleta udongo wa kaburi la bibi mmoja huko. Watu wanadai wakiogea maji na huo udongo basi hupona magonjwa na manuksi yote. Nikapatiwa na mimi udongo nikauacha nje hivi kama mwezi

Mwezi ule vitu vilikuwa havienda. Mdogo wangu alikuja kulala home kwangu asubuhi ananiambia yani haelewi elewi mambo hayaendi. Nikawaza kitu gani cha tofauti nikahisi ni ule udongo tu. Lilivyopita gari la taka tu nikatupa nikaona mambo yanaend. .
Duuh
 
Nimekumbuka miaka ya nyuma mama ilienda kwenye sherehe ya rafiki yake.Wakati anakaribia alimuona ndugu wa rafiki yake akichota udongo nje ya geti la rafiki yake kisha akaondoka nao.Kwa rafiki yake matatizo hayaishagi watoto wake wote wamezalia nyumbani,wakiolewa hawadumu wanaeudi nyumbani kijana wake mkubwa pia alifukuzwa kazi sijui ikiwa kwa sasa kashapata kazi
Wewe nawe unaleta hadithi za kale tena. Shule muhimu sana.
 
Hatuwazi mambo ya kurogana tunazungumzia mambo yanayofanywa na sisi Waafrika tabia na mwenendu wetu wa kila siku katika maisha. Ninawastuwa watu wapate kuamka.Ukiona mtu anabisha ujuwe huyo mtu ni mchawi .Nimetoa siri zake na hapendi watu wajuwe ndio maana anakasirika. Katika hapa Jamii Forums kuna Wachawi Waganga wa kienyeji ,Ma-Daktari, Wezi, Majambazi, Mashoga ,Mabasha Mafisadi,Mashetani, Majini kwa hiyo ukizungumzia maada fulani inayo mhusu mtu ikimuingia na yakimgusa anaweza kuipinga hata kama hayo maneno unayoyasema ni ya ukweli lakini lazima atayapinga kwani anahisi kama yeye umemueleza mambo anayoyafanya.Tuwe makini na mchanga wa Makaburi na Wachawi na Uchawi wenyewe.
Hakuna wachawi au uchawi. Acha utapeli
 
HII KITU ILITOKEA KTK FAMILIA YETU MZEE ALIJENGA NYUMBA MIAKA YA 2000's, SASA ILE NYUMBA ILIKUWA INACHANGAMOTO YA DADA ZANGU KUUMWA UMWA OVYO OVYO, MARA MAPEPO, MNALALA MNASIKIA VITU VIZITO VINATEMBE NDANI YA GYPSUM BOARD, NDOTO MBAYA MBAYA TUPU ILA TUKISAFIRI KWENDA KUWATEMBELEA NDUGU ILIKUWA SHWARI, KIMBEMBE KINAKUWA PALE TUWAPO NDANI YA ILE NYUMBA.

ilipofika miaka ya 2015 tukaona labda ili eneo kuna jambo lisilo la kawaida na nyumba aliijenga mzee mwaka 2000. mim binafsi nikaanza kufuatilia historia ya ile plot na mmiliki aliyetutangulia kabla yetu.

laah haulaa kumbe kile kingongwe bado kilikuwa hai alihamia wilaya ingine few miles away,. nikampeleleza kiasi na vihongo vya sukari na mchele mwishowe akanambia ukwel wa ile plot na kile kilichopo pale chini kumbe ndio ilikuwa chanzo cha taabu yote pale.

mzee akanunua plot ingine akajenga akahama nowdays hakuna matatizo tena tu shwari kabisa, ile nyumba bado ipo hatujaweka mtu wasije wakasema tulikuwa wachawi tumeacha tunguli ndani.
 
Hi ngozi nyeusi Inashida sana wenzetu Wazungu wanaendelea kurusha drones na kugundua 5G sisi bado tunahangaika na mchanga wa makaburini na njiapanda dume na jike
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
HII KITU ILITOKEA KTK FAMILIA YETU MZEE ALIJENGA NYUMBA MIAKA YA 2000's, SASA ILE NYUMBA ILIKUWA INACHANGAMOTO YA DADA ZANGU KUUMWA UMWA OVYO OVYO, MARA MAPEPO, MNALALA MNASIKIA VITU VIZITO VINATEMBE NDANI YA GYPSUM BOARD, NDOTO MBAYA MBAYA TUPU ILA TUKISAFIRI KWENDA KUWATEMBELEA NDUGU ILIKUWA SHWARI, KIMBEMBE KINAKUWA PALE TUWAPO NDANI YA ILE NYUMBA.

ilipofika miaka ya 2015 tukaona labda ili eneo kuna jambo lisilo la kawaida na nyumba aliijenga mzee mwaka 2000. mim binafsi nikaanza kufuatilia historia ya ile plot na mmiliki aliyetutangulia kabla yetu.

laah haulaa kumbe kile kingongwe bado kilikuwa hai alihamia wilaya ingine few miles away,. nikampeleleza kiasi na vihongo vya sukari na mchele mwishowe akanambia ukwel wa ile plot na kile kilichopo pale chini kumbe ndio ilikuwa chanzo cha taabu yote pale.

mzee akanunua plot ingine akajenga akahama nowdays hakuna matatizo tena tu shwari kabisa, ile nyumba bado ipo hatujaweka mtu wasije wakasema tulikuwa wachawi tumeacha tunguli ndani.
Nitafuteni mimi kwa wakati wenu ili nipate kuondoa hivyo vitu vibaya katika hiyo nyumba muliyo hama.
 
KUWENI MAKINI NA MCHANGA WA KABURINI:

Kuna watu wamepata nuksi, mikosi na mabalaa makubwa katika maisha yao kwa sababu ya matumizi ya mchanga wa makurini bila kuzingatia au kufuata maelekezo.

Unapokuwa unafanya kitu chochote kile kinacho husiana ama kuyahusisha makaburi kwa namna moja au nyingine iwe ni kutumia mchanga , kuzika vitu, kuoga, kuchoma ama kutambika, unatakiwa kuwa makini sana na kufuata na kuzingatia kanuni na taratibu zake kwa sababu usipo zingatia hayo yatakupata makubwa.

Kwa bahati mbaya sana watu wengi wamekuwa wakitumia mchanga wa makaburini bila kufuata taratibu na matokeo yake wamevaa nuksi,mikosi na mabalaa makubwa ya maisha.

Sio makaburini tu, bali hata katika maeneo mengine ambako mchanga umekuwa ukitumika katika shughuli za uganga na utabibu watu wamekuwa wakitumia ndivyo sivyo na matokeo yake wamekuwa wahanga na nuksi, mikosi na mabalaa.

Mfano mzuri na rahisi wa sehemu hizo ni NJIA PANDA. Watu wengi huwa wana enda kutupa, kuzika, kufukia, kuchoma vitu au kuoga njia panda bila kuzingatia taratibu sahihi.

Huwa nasikitika sana ninapokutana na vitu vimetupwa au kuchomwa NJIA PANDA DUME wakati vilitakiwa vifanyike NJIA PANDA JIKE.

Kwa wasio fahamu , njia panda huwa zipo za aina kuu mbili ; Njia panda inayo unganisha njia tatu na nyingine ni njia panda inayo unganisha njia nne. Kati ya aina hizo mbili za njia panda, moja huwa ni njia panda dume na nyingine ni njia panda jike. Kwa sababu za msingi sitaweka wazi ipi ni njia panda jike na ipi ni njia dume. Aina hizi kuu mbili za njia panda nazo zimegawanyika katika aina mbalimbali.

Njia panda hizo kila moja ina matumizi yake ambayo yapo tofauti na aina nyingine. Kufanya kitu ulicho takiwa kukifanya kwenye njia panda dume wewe ukaenda kukifanya kwenye njia panda jike ni makosa makubwa sana na madhara yake yaweza kuwa nuksi, mikosi,mabalaa na hata kifo cha ghafla.

Nirudi kwenye mchanga wa kaburini. Toka enzi za mabibi na mababu vitu vinavyo tokana na kuhusiana na maeneo ya kaburini vimekuwa vikitumika katika uganga na uchawi yaani wachawi wamekuwa wakivitumia kwa ajili ya kuwatengenezea watu matatizo ilihali waganga wamekuwa wakivitumia kuwakinga na kuwaondolea watu matatizo.

Moja kati ya vitu vinavyo tumika sana katika uganga na uchawi ni mchanga wa kaburini.

Watu wengi wamekuwa wakitumia mchanga wa kaburini ndivyo sivyo na badala yake wameishia kupata nuksi, mikosi na mabalaa makubwa katika maisha yao.

Mchanga wa kaburini una matumizi mengine sana kuanzia kuwatia watu nuksi, mikosi na mabalaa hadi kuwafungua watu kutoka kwenye vifungo vibaya na kuwaletea bahati.

Mchanga wa kaburini una matumizi mengi mazuri kwa mabaya lakini mazuri ni mengi kuliko mabaya.

Wachawi wanau tumia kuwafisadi watu na waganga wanautumia kuwakinga watu dhidi ya shari za wachawi na majini wabaya.

Kama nilivyo dokeza hapo juu mchanga wa kaburini unatofautiana matumizi. Aina ya matumizi ya mchanga wa kaburini hutegemeana na mchanga huo umechukuliwa kutoka kwenye kaburi la aina gani na lenye asili gani.

Katika ulimwengu usio onekana zipo aina za makaburi zaidi ya sabini na kila aina ina matumizi yake. Sitazitaja aina hizo za makaburi na matumizi ya kila aina kwa sababu najua wapo wachawi watatumia maarifa hayo kuwafanyia ubaya watu wengine.

Matumizi ya mchanga wa kwenye kaburi la kale ambalo limeshasahaulika hayawezi kuwa sawa sawa na matumizi ya mchanga wa kaburi la mtoto alie zaliwa akiwa amekufa.

Matumizi ya mchanga wa kaburi lililozama na kutitia hayawezi kuwa sawa sawa na matumizi ya mchanga ulio chukuliwa kutoka kwenye kichuguu kilicho mea kwenye kaburi. Hivi ni vichuguu vidogo ambavyo humea kwenye makaburi na husababishwa na wadudu fulani wa porini wanao fanana sana na panya.

Mchanga kutoka kwenye kaburi la aina fulani unaweza kuwa na matumizi zaidi ya kumi, yote yanaweza kuwa mabaya au mazuri au mchanganyiko wa mabaya kwa mazuri. Kinacho takiwa kuzingatiwa hapo ni elimu na maarifa aliyo nayo muhusika kuhusu mchanga wa kaburini. Kwa sababu sio rahisi kwa mtu asie na maarifa haya kujua ni mchanga upi wa kaburi unatumika katika mambo yepi.

Mchanga ulio patikana kwa kufagia makaburi hauwezi kuwa na matumizi sawa na mchanga ulio chukuliwa kutoka kwenye kaburi lililo lala wazi, au kaburi ambalo lilichimbwa tu halafu hakuzikwamo mtu au kaburi ambalo mchanga ulichukuliwa wakati maiti inazikwa au kabla maiti haijshushwa kaburini.

Wakati mwingine mchanga wa kaburini unaweza kuwa umechukuliwa kwenye kaburi moja na ukawa na matumizi tofauti kabisa tena yanayo kinzana.

Kwa mfano kuna aina fulani ya kaburi, ukichukua mchanga kwenye sehemu ya moyo ya kaburi hilo matumizi yake huwa tofauti na kinyume kabisa na mchanga ulio chukuliwa kwenye sehemu ya kichwa cha kaburi hilo.

Wakati mchanga ulio chukuliwa kutoka kwenye sehemu ya moyo ya aina ya kaburi nililo litaja hapo juu ukitumiwa na baadhi ya watu kuoshea vyombo kwa ajili ya kuvuta wateja kwenye biashara ya chakula au kuwatuliza wafanyakazi wasiondoke , wachawi wanatumia mchanga ulio chotwa kutoka kwenye miguu ya kwenye kaburi hilo hilo kupima nguvu ya kinga kwenye nyumba ambayo wanataka kwenda kuiwangia.

Wachawi wanapoenda kuroga kwenye nyumba wasio ifahamu vizuri ili kujua nguvu ya kinga iliyopo katika nyumba hiyo huwa wanatumia mchanga huo wa kaburini . Wanacho kifanya husubiri hadi giza lizame majira ya saa moja za usiku, mchanga utarushwa kwenye paa la nyumba. Ukisikia paa lenu la nyumba limetupiwa mchanga mida ya saa moja za usiku basi jua wanga walikuwa wanapima nguvu ya kinga ya nyumba yenu na kama wakijiridhisha ninyi ni wepesi basi usiku wa siku hiyo watakuja kuwanga na kuroga .

Katika kupima nguvu ya kinga ya mji, kuna vitu huwa wanavitazama baada ya kutupa mchanga huo. Wakitupa mchanga halafu zikatokea cheche za moto juu ya bati basi siku hiyo hawatokuja, watarudi kujipanga na kuja na nguvu zaidi, na zisipo tokea cheche za moto basi wanajua mji huo ni mwepesi, usiku wa siku hiyo watakuja kuwanga.

Katika uganga na uchawi, mchanga wa kaburini huangaliwa na kutazamwa katika uwanja wake mpana. Haungaliwi tu mchanga ambao umechotwa, umechukuliwa, au umeombwa kutoka kaburini, bali hata mchanga uliokuja ( ulio lazimisha ) wenyewe nyumbani kutoka kaburini

Ngoja nifafanue kidogo hapo, ninaposema mchanga uliokuja wenyewe nyumbani kutoka kaburini ninamaanisha mchanga ulio fika kwenye mji wako kutoka kaburini bila wewe mwenyewe kujua wala kupenda.Hapa ni pale unapokuwa umeenda kaburini eidha kushiriki katika uchimbaji wa kaburi au kusafisha kaburi halafu mchanga ukabaki kwenye viatu vyako na wewe bila kujua ukarejea nao nyumbani kwako na hatimaye mchanga ukabaki kwenye viatu vyako. Katika uganga na uchawi hicho ni kizimba cha hatari sana. Mtu akichukua mchanga huo anaweza kufanya kitu kibaya sana dhidi yako. Ndio maana mnashauriwa unapoenda makaburini nenda na ndala na ukitoka unawe vizuri. Kikubwa usitengeneze mazingira yatakayo kufanya uingia nyumbani kwenu/kwako na mchanga wa kaburini.

Vile vile ipo aina moja ya mchanga wa kaburini ambayo nayo ina matumizi mengi sana makubwa kwa madogo mazuri kwa mabaya . Huu ni mchanga uliopo katika eneo linalo tumiwa na wafu na watu walio hai kwa wakati mmoja. Kama hujaelewa nazungumzia kitu gani, nazungumzia Mchanga uliopo kwenye daraja linalo tumika kuwavusha wafu na walio hai kwa pamoja. Hapa nazungumzia madaraja yaliyo karibu na makaburi ambayo watu wakiwa wanawapeleka marehemu wao kuwazika lazima wayavuke. Huu ndio aina ya mchanga ninao uzungumzia. Katika kuonyesha kuwa mchanga wa aina hii una nguvu sana, hata yale maji yanayo patikana chini ya daraja hili, nayo huwa na nguvu ileile ya mchanga na huwa na matumizi mengi mabaya kwa mazuri.

Kwa ufupi mchanga wa kaburini una matumizi mengi sana kuanzia kuvuta heri na bahati, kuongeza mvuto wa mapenzi, kufungua vifungo vibaya hadi kuwatia watu nuksi, mikosi na mabalaa.

MAMBO YA KUZINGATIA KABLA YA KUTUMIA MCHANGA WA KABURI AU KUFANYA TAMBIKO LOLOTE KABURINI.

1. Kwanza lazima ujue aina ya kaburi ambalo mchanga wake unaendana na tatizo lako au jambo unalo litaka.

2. Pili lazima ulijue lango kuu la kiroho la kuingia kwenye eneo la makaburi husika. Lango kuu la kiroho la kuingia kwenye makaburi husika huwa lipo katikati ya makaburi. ( Usichanganye na mlango unao onekana kwa macho hususani kwenye makaburi yaliyo jengewa uzio na kuwekewa mageti )

3. Pili unapoingia kaburini lazima uanze kwa kumlipa mlinzi wa lango kuu la kaburi. Ninaposema mlinzi wa lango kuu la kaburi simaanishi mtu anaelinda geti kwenye eneo la makaburi hususani yale makaburi yaliyo jengwa kisasa .HAPANA simaaninishi hivyo. Nina maanisha “mlinzi wa kiroho “ wa makaburi. Kwa wasio fahamu ni kwamba katika kila eneo la makaburi huwa kuna jinni /malaika mwenye dhamana ya kulinda makaburi hayo. Ili uweze kuchukua au kufanya chochote chenye manufaa kutoka ndani ya eneo hilo la makaburi ni lazima kwanza upate ridhaa yake. Unapata ridhaa yake kwa kumlipa. Walinzi wa makaburi huwa wanalipwa kwa sadaka maalumu ambayo hulingana na siku na muda ulioenda lakini katika vitu vyote hivyo lazima kuwepo na mvinyo.

4. Unapoenda kuchota mchanga wa kaburi husika kwenye eneo husika hakikisha kwanza unamuomba alie lala kwenye hilo kaburi na KUMLIPA! Hawa huwa wanalipwa kama wanavyo lipwa walinzi wa makaburi. KAMWE USICHUKUE MCHANGA BILA KUWEKA SADAKA KWENYE KABURI HILO KWA SABABU HUO MZIMU UNAO ENDA KUUTUMIA KWENYE MAMBO YAKO HAU UTEKI NA KUULAZIMISHA KUFANYA UNACHOKITAKA WEWE BALI UNAUOMBA NA KUUPA ZAWADI MAALUMU. MIZIMU NI TOFAUTI SANA NA MAJINI.USIPOWEKA SADAKA MZIMU HUO UTAKURUDIA WEWE NA KUKUDHURU AU UTAFANYA KINYUME CHA KILE ULICHO KUSUDIA UKUFANYIE.

5. Hakikisha unachota mchanga wako katika eneo husika unalo takiwa kuchota. Kamwe usichote katika eneo ambalo halihusiani.

6. Kitu kingine lazima uzingatie muda wa kwenda kuchukua mchanga wa kaburi. Kila aina ya mchanga wa kaburi una muda na wakati wake maalumu wa kwenda kuuchukua. Hivyo unatakiwa kuzingatia hilo pia kabla ya kwenda kuchukua mchanga wa kaburi.

KITU CHA MSINGI UNATAKIWA KUWA NA HESHIMA YA HALI YA JUU MNO, KUWA MSAFI WA MWILI NA KULIPA SADAKA STAHIKI PINDI UNAPOENDA KUCHUKUA MCHANGA WA KABURI
KUWENI MAKINI NA MCHANGA WA KABURINI
IMESIMULIWA NA WANAZUONI





View attachment 2541290
Wakati KONOIKE wanahamisha makaburi ya Sabasaba Mbagala tulichukuwa kifusi cha makaburi tukajengea makwetu na tuko salama usalmin.

Kule Tarime tunalima juu ya makaburi (tena bangi nk) na kuvuna na tuko salama usalmin.

Tulihamisha udongo wa kaburi la marehemu toka Mombasa kuja kumzika upya Tz na tuko salama usalmin.

Wachagga wanaongoza kwa kuhamisha madongo ya makaburi na ndiyo matajiri wakubwa badala yake Wakwere ndiyo wanaongoza kwa vichaa JMT, Wachagga wako salama usalmin.

Shule ya Msingi Muhimbili na Msikiti wa Ijumaa wa kumbukumbu ya Sheikh Jumbe Muhammad Tambaza vimejengwa kwenye sehemu za makaburi ya Muhimbili na wanafunzi na waumin wa Msikiti wako salama usalmin.

Clock Tower Dsm kwy mitaa ya Samora, India na Mosque kuna kaburi la karne 3 la Sharif Abdul Shakhul Salim Latas aliyekufa kabla ya Said Majid wa Oman; limefanyika mkeka wa watu kupumzikia na wafagizi wa Jiji la Ilala wanafagia dongo lake na Watunza bustani ile wanalima dongo lake na kubeba kwenye matoroli na kuondoka nayo lakini wako salama usalmin.

Mission-town wa Samora ndiko wanakonywea kahawa, kusoma magazeti na mijadala ya Dar Derby lakini wako salama usalmin.

Waliosoma Archaeology au Archeology wamefukua makaburi ya binadamu na viumbe vingine na wako vizuri tu hadi kesho. Wanachimba kukusanya Artifacts, Biofacts, Ecofacts nk.

Kwenye Makumbusho ya Taifa watu wanaishi na mafuvu ya akina Kabaka, Mangi Meli, Mangi Meza, Mkwawa, Zinjanthropus, Dryopithecus, Ramapithecus, Australopithecus, Homo Erectus, Homo Sapien (Neanderthalensis), Homo Sapien Sapien na wako vizuri tu hadi kesho.

Waliogundua mafuta waliyatoa kwenye mabaki ya viumbe hai vilivyozama chini ya ardhi mamilioni ya miaka na vizazi vyao viko vizuri tu hadi kesho. Bila kufukua mabaki hayo leo magari yangekuwepo? Nishati ya kuendeshea magari, meli, ndege, treni, mitambo ingetoka wapi?

Waliogundua madini walifukua makaburi. Wanaojenga maghorofa wanafukua mabaki ya viumbe, wanaosoma udaktari wanacheza na maiti, wanaokusanya forensic evidence kugundua wahalifu wanafukua makaburi.

Dodoma kuna Maabara ya Wizara za Ardhi na Kilimo iliyobeba sampuli za dongo zote za JMT kwa ajili ya kutambua maeneo mazuri ya kilimo. Nao watafiti wa sayansi ya udongo walifukua ardhi.

Israel walifukua makaburi ya Manabii na Mitume na waliofanya hivyo vizazi vyao havijapata laana wala uzezeta. Mafuvu hayo yanaiingizia nchi fedha za kigeni kuchangia bajeti.

Watu walikuwa wanavamia usiku kuchukuwa dongo kwy kaburi la Maalim Seif Sharif Hamad hadi lilipofanywa lindo maalum la FFU na hatujasikia wamekufa au kuwa mazezeta.

MziziMkavu kajipange upya namna ya kutapeli watu.

Mhu.9:5
kwa sababu walio hai wanajua ya kwamba watakufa; lakini wafu hawajui neno lo lote, wala hawana ijara tena; maana kumbukumbu lao limesahauliwa.

MziziMkavu unataka kuwapiga ela wajinga ambao ndiyo wengi duniani.

Kama uganga ni ukweli kwanini waganga msiende kuiba ela ($ na €) Benki Kuu mkawa matajiri kama Dangote?

Kama uganga ni ukweli kwanini msiwafufue Nyerere na watakatifu Mitume na Manabii waje kuisahihisha dunia? Hususan Afrika?

Kama uganga ni ukweli kwanini msijenge misonge ya nyasi ya kuagulia pembeni mwa mahospitali (kama famasi zilivyo) ili wagonjwa wakishuka kwenye magari wachague pa kwenda kama ni hospitali au kwenye misonge? Kwanini mnaagua mafichoni?

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
OHHHH AFRICA.
UMASIKINI HUU............

HAKUNA UMASIKINI MBAYA ZAIDI KAMA UMASIKINI WA FIKRA.

UMASIKINI WA FIKRA NI MBAYA MNO.
NI MBAYA ZAIDI YA BIASHARA YA UTUMWA.

MZIZI MKAVU FICHA UJINGA
 
Wakati KONOIKE wanahamisha makaburi ya Sabasaba Mbagala tulichukuwa kifusi cha makaburi tukajengea makwetu na tuko salama usalmin.

Kule Tarime tunalima juu ya makaburi (tena bangi nk) na kuvuna na tuko salama usalmin.

Tulihamisha udongo wa kaburi la marehemu toka Mombasa kuja kumzika upya Tz na tuko salama usalmin.

Wachagga wanaongoza kwa kuhamisha madongo ya makaburi na ndiyo matajiri wakubwa badala yake Wakwere ndiyo wanaongoza kwa vichaa JMT, Wachagga wako salama usalmin.

Shule ya Msingi Muhimbili na Msikiti wa Ijumaa wa kumbukumbu ya Sheikh Jumbe Muhammad Tambaza vimejengwa kwenye sehemu za makaburi ya Muhimbili na wanafunzi na waumin wa Msikiti wako salama usalmin.

Clock Tower Dsm kwy mitaa ya Samora, India na Mosque kuna kaburi la karne 3 la Sharif Abdul Shakhul Salim Latas aliyekufa kabla ya Said Majid wa Oman; limefanyika mkeka wa watu kupumzikia na wafagizi wa Jiji la Ilala wanafagia dongo lake na Watunza bustani ile wanalima dongo lake na kubeba kwenye matoroli na kuondoka nayo lakini wako salama usalmin.

Mission-town wa Samora ndiko wanakonywea kahawa, kusoma magazeti na mijadala ya Dar Derby lakini wako salama usalmin.

Mhu 9:5
kwa sababu walio hai wanajua ya kwamba watakufa; lakini wafu hawajui neno lo lote, wala hawana ijara tena; maana kumbukumbu lao limesahauliwa.

MziziMkavu unataka kuwapiga ela wajinga ambao ndiyo wengi duniani.

Kama uganga ni ukweli kwanini waganga msiende kuiba ela ($ na €) Benki Kuu mkawa matajiri kama Dangote?

Kama uganga ni ukweli kwanini msiwafufue Nyerere na watakatifu Mitume na Manabii waje kuisahihisha dunia? Hususan Afrika?

Kama uganga ni ukweli kwanini msijenge misonge ya nyasi ya kuagulia pembeni mwa mahospitali (kama famasi zilivyo) ili wagonjwa wakishuka kwenye magari wachague pa kwenda kama ni hospitali au kwenye misonge? Kwanini mnaagua mafichoni?

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app


Nimegundua ni Biashara.

WAJINGA NDIO WALIWAO.

ANALETA BIASHARA KAMA HIZI MBELE YA WEREVU ANAHARIBU KABISA BIASHARA ZAKE.


WAFU HAWAJUI MENO LOLOTE.
 
Hi ngozi nyeusi Inashida sana wenzetu Wazungu wanaendelea kurusha drones na kugundua 5G sisi bado tunahangaika na mchanga wa makaburini na njiapanda dume na jike
Wazungu wanajua yote hayo tena na mengine mengi ambayo wew huyajui kwa sababu wao hawaweki mipaka ya elimu kama unavyotaka wew ila wanatuwekea mipaka sisi ili tusijue Siri za dunia hii

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
KUWENI MAKINI NA MCHANGA WA KABURINI:

Kuna watu wamepata nuksi, mikosi na mabalaa makubwa katika maisha yao kwa sababu ya matumizi ya mchanga wa makurini bila kuzingatia au kufuata maelekezo.

Unapokuwa unafanya kitu chochote kile kinacho husiana ama kuyahusisha makaburi kwa namna moja au nyingine iwe ni kutumia mchanga , kuzika vitu, kuoga, kuchoma ama kutambika, unatakiwa kuwa makini sana na kufuata na kuzingatia kanuni na taratibu zake kwa sababu usipo zingatia hayo yatakupata makubwa.

Kwa bahati mbaya sana watu wengi wamekuwa wakitumia mchanga wa makaburini bila kufuata taratibu na matokeo yake wamevaa nuksi,mikosi na mabalaa makubwa ya maisha.

Sio makaburini tu, bali hata katika maeneo mengine ambako mchanga umekuwa ukitumika katika shughuli za uganga na utabibu watu wamekuwa wakitumia ndivyo sivyo na matokeo yake wamekuwa wahanga na nuksi, mikosi na mabalaa.

Mfano mzuri na rahisi wa sehemu hizo ni NJIA PANDA. Watu wengi huwa wana enda kutupa, kuzika, kufukia, kuchoma vitu au kuoga njia panda bila kuzingatia taratibu sahihi.

Huwa nasikitika sana ninapokutana na vitu vimetupwa au kuchomwa NJIA PANDA DUME wakati vilitakiwa vifanyike NJIA PANDA JIKE.

Kwa wasio fahamu , njia panda huwa zipo za aina kuu mbili ; Njia panda inayo unganisha njia tatu na nyingine ni njia panda inayo unganisha njia nne. Kati ya aina hizo mbili za njia panda, moja huwa ni njia panda dume na nyingine ni njia panda jike. Kwa sababu za msingi sitaweka wazi ipi ni njia panda jike na ipi ni njia dume. Aina hizi kuu mbili za njia panda nazo zimegawanyika katika aina mbalimbali.

Njia panda hizo kila moja ina matumizi yake ambayo yapo tofauti na aina nyingine. Kufanya kitu ulicho takiwa kukifanya kwenye njia panda dume wewe ukaenda kukifanya kwenye njia panda jike ni makosa makubwa sana na madhara yake yaweza kuwa nuksi, mikosi,mabalaa na hata kifo cha ghafla.

Nirudi kwenye mchanga wa kaburini. Toka enzi za mabibi na mababu vitu vinavyo tokana na kuhusiana na maeneo ya kaburini vimekuwa vikitumika katika uganga na uchawi yaani wachawi wamekuwa wakivitumia kwa ajili ya kuwatengenezea watu matatizo ilihali waganga wamekuwa wakivitumia kuwakinga na kuwaondolea watu matatizo.

Moja kati ya vitu vinavyo tumika sana katika uganga na uchawi ni mchanga wa kaburini.

Watu wengi wamekuwa wakitumia mchanga wa kaburini ndivyo sivyo na badala yake wameishia kupata nuksi, mikosi na mabalaa makubwa katika maisha yao.

Mchanga wa kaburini una matumizi mengine sana kuanzia kuwatia watu nuksi, mikosi na mabalaa hadi kuwafungua watu kutoka kwenye vifungo vibaya na kuwaletea bahati.

Mchanga wa kaburini una matumizi mengi mazuri kwa mabaya lakini mazuri ni mengi kuliko mabaya.

Wachawi wanau tumia kuwafisadi watu na waganga wanautumia kuwakinga watu dhidi ya shari za wachawi na majini wabaya.

Kama nilivyo dokeza hapo juu mchanga wa kaburini unatofautiana matumizi. Aina ya matumizi ya mchanga wa kaburini hutegemeana na mchanga huo umechukuliwa kutoka kwenye kaburi la aina gani na lenye asili gani.

Katika ulimwengu usio onekana zipo aina za makaburi zaidi ya sabini na kila aina ina matumizi yake. Sitazitaja aina hizo za makaburi na matumizi ya kila aina kwa sababu najua wapo wachawi watatumia maarifa hayo kuwafanyia ubaya watu wengine.

Matumizi ya mchanga wa kwenye kaburi la kale ambalo limeshasahaulika hayawezi kuwa sawa sawa na matumizi ya mchanga wa kaburi la mtoto alie zaliwa akiwa amekufa.

Matumizi ya mchanga wa kaburi lililozama na kutitia hayawezi kuwa sawa sawa na matumizi ya mchanga ulio chukuliwa kutoka kwenye kichuguu kilicho mea kwenye kaburi. Hivi ni vichuguu vidogo ambavyo humea kwenye makaburi na husababishwa na wadudu fulani wa porini wanao fanana sana na panya.

Mchanga kutoka kwenye kaburi la aina fulani unaweza kuwa na matumizi zaidi ya kumi, yote yanaweza kuwa mabaya au mazuri au mchanganyiko wa mabaya kwa mazuri. Kinacho takiwa kuzingatiwa hapo ni elimu na maarifa aliyo nayo muhusika kuhusu mchanga wa kaburini. Kwa sababu sio rahisi kwa mtu asie na maarifa haya kujua ni mchanga upi wa kaburi unatumika katika mambo yepi.

Mchanga ulio patikana kwa kufagia makaburi hauwezi kuwa na matumizi sawa na mchanga ulio chukuliwa kutoka kwenye kaburi lililo lala wazi, au kaburi ambalo lilichimbwa tu halafu hakuzikwamo mtu au kaburi ambalo mchanga ulichukuliwa wakati maiti inazikwa au kabla maiti haijshushwa kaburini.

Wakati mwingine mchanga wa kaburini unaweza kuwa umechukuliwa kwenye kaburi moja na ukawa na matumizi tofauti kabisa tena yanayo kinzana.

Kwa mfano kuna aina fulani ya kaburi, ukichukua mchanga kwenye sehemu ya moyo ya kaburi hilo matumizi yake huwa tofauti na kinyume kabisa na mchanga ulio chukuliwa kwenye sehemu ya kichwa cha kaburi hilo.

Wakati mchanga ulio chukuliwa kutoka kwenye sehemu ya moyo ya aina ya kaburi nililo litaja hapo juu ukitumiwa na baadhi ya watu kuoshea vyombo kwa ajili ya kuvuta wateja kwenye biashara ya chakula au kuwatuliza wafanyakazi wasiondoke , wachawi wanatumia mchanga ulio chotwa kutoka kwenye miguu ya kwenye kaburi hilo hilo kupima nguvu ya kinga kwenye nyumba ambayo wanataka kwenda kuiwangia.

Wachawi wanapoenda kuroga kwenye nyumba wasio ifahamu vizuri ili kujua nguvu ya kinga iliyopo katika nyumba hiyo huwa wanatumia mchanga huo wa kaburini . Wanacho kifanya husubiri hadi giza lizame majira ya saa moja za usiku, mchanga utarushwa kwenye paa la nyumba. Ukisikia paa lenu la nyumba limetupiwa mchanga mida ya saa moja za usiku basi jua wanga walikuwa wanapima nguvu ya kinga ya nyumba yenu na kama wakijiridhisha ninyi ni wepesi basi usiku wa siku hiyo watakuja kuwanga na kuroga .

Katika kupima nguvu ya kinga ya mji, kuna vitu huwa wanavitazama baada ya kutupa mchanga huo. Wakitupa mchanga halafu zikatokea cheche za moto juu ya bati basi siku hiyo hawatokuja, watarudi kujipanga na kuja na nguvu zaidi, na zisipo tokea cheche za moto basi wanajua mji huo ni mwepesi, usiku wa siku hiyo watakuja kuwanga.

Katika uganga na uchawi, mchanga wa kaburini huangaliwa na kutazamwa katika uwanja wake mpana. Haungaliwi tu mchanga ambao umechotwa, umechukuliwa, au umeombwa kutoka kaburini, bali hata mchanga uliokuja ( ulio lazimisha ) wenyewe nyumbani kutoka kaburini

Ngoja nifafanue kidogo hapo, ninaposema mchanga uliokuja wenyewe nyumbani kutoka kaburini ninamaanisha mchanga ulio fika kwenye mji wako kutoka kaburini bila wewe mwenyewe kujua wala kupenda.Hapa ni pale unapokuwa umeenda kaburini eidha kushiriki katika uchimbaji wa kaburi au kusafisha kaburi halafu mchanga ukabaki kwenye viatu vyako na wewe bila kujua ukarejea nao nyumbani kwako na hatimaye mchanga ukabaki kwenye viatu vyako. Katika uganga na uchawi hicho ni kizimba cha hatari sana. Mtu akichukua mchanga huo anaweza kufanya kitu kibaya sana dhidi yako. Ndio maana mnashauriwa unapoenda makaburini nenda na ndala na ukitoka unawe vizuri. Kikubwa usitengeneze mazingira yatakayo kufanya uingia nyumbani kwenu/kwako na mchanga wa kaburini.

Vile vile ipo aina moja ya mchanga wa kaburini ambayo nayo ina matumizi mengi sana makubwa kwa madogo mazuri kwa mabaya . Huu ni mchanga uliopo katika eneo linalo tumiwa na wafu na watu walio hai kwa wakati mmoja. Kama hujaelewa nazungumzia kitu gani, nazungumzia Mchanga uliopo kwenye daraja linalo tumika kuwavusha wafu na walio hai kwa pamoja. Hapa nazungumzia madaraja yaliyo karibu na makaburi ambayo watu wakiwa wanawapeleka marehemu wao kuwazika lazima wayavuke. Huu ndio aina ya mchanga ninao uzungumzia. Katika kuonyesha kuwa mchanga wa aina hii una nguvu sana, hata yale maji yanayo patikana chini ya daraja hili, nayo huwa na nguvu ileile ya mchanga na huwa na matumizi mengi mabaya kwa mazuri.

Kwa ufupi mchanga wa kaburini una matumizi mengi sana kuanzia kuvuta heri na bahati, kuongeza mvuto wa mapenzi, kufungua vifungo vibaya hadi kuwatia watu nuksi, mikosi na mabalaa.

MAMBO YA KUZINGATIA KABLA YA KUTUMIA MCHANGA WA KABURI AU KUFANYA TAMBIKO LOLOTE KABURINI.

1. Kwanza lazima ujue aina ya kaburi ambalo mchanga wake unaendana na tatizo lako au jambo unalo litaka.

2. Pili lazima ulijue lango kuu la kiroho la kuingia kwenye eneo la makaburi husika. Lango kuu la kiroho la kuingia kwenye makaburi husika huwa lipo katikati ya makaburi. ( Usichanganye na mlango unao onekana kwa macho hususani kwenye makaburi yaliyo jengewa uzio na kuwekewa mageti )

3. Pili unapoingia kaburini lazima uanze kwa kumlipa mlinzi wa lango kuu la kaburi. Ninaposema mlinzi wa lango kuu la kaburi simaanishi mtu anaelinda geti kwenye eneo la makaburi hususani yale makaburi yaliyo jengwa kisasa .HAPANA simaaninishi hivyo. Nina maanisha “mlinzi wa kiroho “ wa makaburi. Kwa wasio fahamu ni kwamba katika kila eneo la makaburi huwa kuna jinni /malaika mwenye dhamana ya kulinda makaburi hayo. Ili uweze kuchukua au kufanya chochote chenye manufaa kutoka ndani ya eneo hilo la makaburi ni lazima kwanza upate ridhaa yake. Unapata ridhaa yake kwa kumlipa. Walinzi wa makaburi huwa wanalipwa kwa sadaka maalumu ambayo hulingana na siku na muda ulioenda lakini katika vitu vyote hivyo lazima kuwepo na mvinyo.

4. Unapoenda kuchota mchanga wa kaburi husika kwenye eneo husika hakikisha kwanza unamuomba alie lala kwenye hilo kaburi na KUMLIPA! Hawa huwa wanalipwa kama wanavyo lipwa walinzi wa makaburi. KAMWE USICHUKUE MCHANGA BILA KUWEKA SADAKA KWENYE KABURI HILO KWA SABABU HUO MZIMU UNAO ENDA KUUTUMIA KWENYE MAMBO YAKO HAU UTEKI NA KUULAZIMISHA KUFANYA UNACHOKITAKA WEWE BALI UNAUOMBA NA KUUPA ZAWADI MAALUMU. MIZIMU NI TOFAUTI SANA NA MAJINI.USIPOWEKA SADAKA MZIMU HUO UTAKURUDIA WEWE NA KUKUDHURU AU UTAFANYA KINYUME CHA KILE ULICHO KUSUDIA UKUFANYIE.

5. Hakikisha unachota mchanga wako katika eneo husika unalo takiwa kuchota. Kamwe usichote katika eneo ambalo halihusiani.

6. Kitu kingine lazima uzingatie muda wa kwenda kuchukua mchanga wa kaburi. Kila aina ya mchanga wa kaburi una muda na wakati wake maalumu wa kwenda kuuchukua. Hivyo unatakiwa kuzingatia hilo pia kabla ya kwenda kuchukua mchanga wa kaburi.

KITU CHA MSINGI UNATAKIWA KUWA NA HESHIMA YA HALI YA JUU MNO, KUWA MSAFI WA MWILI NA KULIPA SADAKA STAHIKI PINDI UNAPOENDA KUCHUKUA MCHANGA WA KABURI
KUWENI MAKINI NA MCHANGA WA KABURINI
IMESIMULIWA NA WANAZUONI





View attachment 2541290
Unajaribu kusema nini? Maana Tanzania ilikua ni eneo la Makaburi ndiyo maana mabaki ya mtu wa kale yaligundulika huku.
 
KUWENI MAKINI NA MCHANGA WA KABURINI:

Kuna watu wamepata nuksi, mikosi na mabalaa makubwa katika maisha yao kwa sababu ya matumizi ya mchanga wa makurini bila kuzingatia au kufuata maelekezo.

Unapokuwa unafanya kitu chochote kile kinacho husiana ama kuyahusisha makaburi kwa namna moja au nyingine iwe ni kutumia mchanga , kuzika vitu, kuoga, kuchoma ama kutambika, unatakiwa kuwa makini sana na kufuata na kuzingatia kanuni na taratibu zake kwa sababu usipo zingatia hayo yatakupata makubwa.

Kwa bahati mbaya sana watu wengi wamekuwa wakitumia mchanga wa makaburini bila kufuata taratibu na matokeo yake wamevaa nuksi,mikosi na mabalaa makubwa ya maisha.

Sio makaburini tu, bali hata katika maeneo mengine ambako mchanga umekuwa ukitumika katika shughuli za uganga na utabibu watu wamekuwa wakitumia ndivyo sivyo na matokeo yake wamekuwa wahanga na nuksi, mikosi na mabalaa.

Mfano mzuri na rahisi wa sehemu hizo ni NJIA PANDA. Watu wengi huwa wana enda kutupa, kuzika, kufukia, kuchoma vitu au kuoga njia panda bila kuzingatia taratibu sahihi.

Huwa nasikitika sana ninapokutana na vitu vimetupwa au kuchomwa NJIA PANDA DUME wakati vilitakiwa vifanyike NJIA PANDA JIKE.

Kwa wasio fahamu , njia panda huwa zipo za aina kuu mbili ; Njia panda inayo unganisha njia tatu na nyingine ni njia panda inayo unganisha njia nne. Kati ya aina hizo mbili za njia panda, moja huwa ni njia panda dume na nyingine ni njia panda jike. Kwa sababu za msingi sitaweka wazi ipi ni njia panda jike na ipi ni njia dume. Aina hizi kuu mbili za njia panda nazo zimegawanyika katika aina mbalimbali.

Njia panda hizo kila moja ina matumizi yake ambayo yapo tofauti na aina nyingine. Kufanya kitu ulicho takiwa kukifanya kwenye njia panda dume wewe ukaenda kukifanya kwenye njia panda jike ni makosa makubwa sana na madhara yake yaweza kuwa nuksi, mikosi,mabalaa na hata kifo cha ghafla.

Nirudi kwenye mchanga wa kaburini. Toka enzi za mabibi na mababu vitu vinavyo tokana na kuhusiana na maeneo ya kaburini vimekuwa vikitumika katika uganga na uchawi yaani wachawi wamekuwa wakivitumia kwa ajili ya kuwatengenezea watu matatizo ilihali waganga wamekuwa wakivitumia kuwakinga na kuwaondolea watu matatizo.

Moja kati ya vitu vinavyo tumika sana katika uganga na uchawi ni mchanga wa kaburini.

Watu wengi wamekuwa wakitumia mchanga wa kaburini ndivyo sivyo na badala yake wameishia kupata nuksi, mikosi na mabalaa makubwa katika maisha yao.

Mchanga wa kaburini una matumizi mengine sana kuanzia kuwatia watu nuksi, mikosi na mabalaa hadi kuwafungua watu kutoka kwenye vifungo vibaya na kuwaletea bahati.

Mchanga wa kaburini una matumizi mengi mazuri kwa mabaya lakini mazuri ni mengi kuliko mabaya.

Wachawi wanau tumia kuwafisadi watu na waganga wanautumia kuwakinga watu dhidi ya shari za wachawi na majini wabaya.

Kama nilivyo dokeza hapo juu mchanga wa kaburini unatofautiana matumizi. Aina ya matumizi ya mchanga wa kaburini hutegemeana na mchanga huo umechukuliwa kutoka kwenye kaburi la aina gani na lenye asili gani.

Katika ulimwengu usio onekana zipo aina za makaburi zaidi ya sabini na kila aina ina matumizi yake. Sitazitaja aina hizo za makaburi na matumizi ya kila aina kwa sababu najua wapo wachawi watatumia maarifa hayo kuwafanyia ubaya watu wengine.

Matumizi ya mchanga wa kwenye kaburi la kale ambalo limeshasahaulika hayawezi kuwa sawa sawa na matumizi ya mchanga wa kaburi la mtoto alie zaliwa akiwa amekufa.

Matumizi ya mchanga wa kaburi lililozama na kutitia hayawezi kuwa sawa sawa na matumizi ya mchanga ulio chukuliwa kutoka kwenye kichuguu kilicho mea kwenye kaburi. Hivi ni vichuguu vidogo ambavyo humea kwenye makaburi na husababishwa na wadudu fulani wa porini wanao fanana sana na panya.

Mchanga kutoka kwenye kaburi la aina fulani unaweza kuwa na matumizi zaidi ya kumi, yote yanaweza kuwa mabaya au mazuri au mchanganyiko wa mabaya kwa mazuri. Kinacho takiwa kuzingatiwa hapo ni elimu na maarifa aliyo nayo muhusika kuhusu mchanga wa kaburini. Kwa sababu sio rahisi kwa mtu asie na maarifa haya kujua ni mchanga upi wa kaburi unatumika katika mambo yepi.

Mchanga ulio patikana kwa kufagia makaburi hauwezi kuwa na matumizi sawa na mchanga ulio chukuliwa kutoka kwenye kaburi lililo lala wazi, au kaburi ambalo lilichimbwa tu halafu hakuzikwamo mtu au kaburi ambalo mchanga ulichukuliwa wakati maiti inazikwa au kabla maiti haijshushwa kaburini.

Wakati mwingine mchanga wa kaburini unaweza kuwa umechukuliwa kwenye kaburi moja na ukawa na matumizi tofauti kabisa tena yanayo kinzana.

Kwa mfano kuna aina fulani ya kaburi, ukichukua mchanga kwenye sehemu ya moyo ya kaburi hilo matumizi yake huwa tofauti na kinyume kabisa na mchanga ulio chukuliwa kwenye sehemu ya kichwa cha kaburi hilo.

Wakati mchanga ulio chukuliwa kutoka kwenye sehemu ya moyo ya aina ya kaburi nililo litaja hapo juu ukitumiwa na baadhi ya watu kuoshea vyombo kwa ajili ya kuvuta wateja kwenye biashara ya chakula au kuwatuliza wafanyakazi wasiondoke , wachawi wanatumia mchanga ulio chotwa kutoka kwenye miguu ya kwenye kaburi hilo hilo kupima nguvu ya kinga kwenye nyumba ambayo wanataka kwenda kuiwangia.

Wachawi wanapoenda kuroga kwenye nyumba wasio ifahamu vizuri ili kujua nguvu ya kinga iliyopo katika nyumba hiyo huwa wanatumia mchanga huo wa kaburini . Wanacho kifanya husubiri hadi giza lizame majira ya saa moja za usiku, mchanga utarushwa kwenye paa la nyumba. Ukisikia paa lenu la nyumba limetupiwa mchanga mida ya saa moja za usiku basi jua wanga walikuwa wanapima nguvu ya kinga ya nyumba yenu na kama wakijiridhisha ninyi ni wepesi basi usiku wa siku hiyo watakuja kuwanga na kuroga .

Katika kupima nguvu ya kinga ya mji, kuna vitu huwa wanavitazama baada ya kutupa mchanga huo. Wakitupa mchanga halafu zikatokea cheche za moto juu ya bati basi siku hiyo hawatokuja, watarudi kujipanga na kuja na nguvu zaidi, na zisipo tokea cheche za moto basi wanajua mji huo ni mwepesi, usiku wa siku hiyo watakuja kuwanga.

Katika uganga na uchawi, mchanga wa kaburini huangaliwa na kutazamwa katika uwanja wake mpana. Haungaliwi tu mchanga ambao umechotwa, umechukuliwa, au umeombwa kutoka kaburini, bali hata mchanga uliokuja ( ulio lazimisha ) wenyewe nyumbani kutoka kaburini

Ngoja nifafanue kidogo hapo, ninaposema mchanga uliokuja wenyewe nyumbani kutoka kaburini ninamaanisha mchanga ulio fika kwenye mji wako kutoka kaburini bila wewe mwenyewe kujua wala kupenda.Hapa ni pale unapokuwa umeenda kaburini eidha kushiriki katika uchimbaji wa kaburi au kusafisha kaburi halafu mchanga ukabaki kwenye viatu vyako na wewe bila kujua ukarejea nao nyumbani kwako na hatimaye mchanga ukabaki kwenye viatu vyako. Katika uganga na uchawi hicho ni kizimba cha hatari sana. Mtu akichukua mchanga huo anaweza kufanya kitu kibaya sana dhidi yako. Ndio maana mnashauriwa unapoenda makaburini nenda na ndala na ukitoka unawe vizuri. Kikubwa usitengeneze mazingira yatakayo kufanya uingia nyumbani kwenu/kwako na mchanga wa kaburini.

Vile vile ipo aina moja ya mchanga wa kaburini ambayo nayo ina matumizi mengi sana makubwa kwa madogo mazuri kwa mabaya . Huu ni mchanga uliopo katika eneo linalo tumiwa na wafu na watu walio hai kwa wakati mmoja. Kama hujaelewa nazungumzia kitu gani, nazungumzia Mchanga uliopo kwenye daraja linalo tumika kuwavusha wafu na walio hai kwa pamoja. Hapa nazungumzia madaraja yaliyo karibu na makaburi ambayo watu wakiwa wanawapeleka marehemu wao kuwazika lazima wayavuke. Huu ndio aina ya mchanga ninao uzungumzia. Katika kuonyesha kuwa mchanga wa aina hii una nguvu sana, hata yale maji yanayo patikana chini ya daraja hili, nayo huwa na nguvu ileile ya mchanga na huwa na matumizi mengi mabaya kwa mazuri.

Kwa ufupi mchanga wa kaburini una matumizi mengi sana kuanzia kuvuta heri na bahati, kuongeza mvuto wa mapenzi, kufungua vifungo vibaya hadi kuwatia watu nuksi, mikosi na mabalaa.

MAMBO YA KUZINGATIA KABLA YA KUTUMIA MCHANGA WA KABURI AU KUFANYA TAMBIKO LOLOTE KABURINI.

1. Kwanza lazima ujue aina ya kaburi ambalo mchanga wake unaendana na tatizo lako au jambo unalo litaka.

2. Pili lazima ulijue lango kuu la kiroho la kuingia kwenye eneo la makaburi husika. Lango kuu la kiroho la kuingia kwenye makaburi husika huwa lipo katikati ya makaburi. ( Usichanganye na mlango unao onekana kwa macho hususani kwenye makaburi yaliyo jengewa uzio na kuwekewa mageti )

3. Pili unapoingia kaburini lazima uanze kwa kumlipa mlinzi wa lango kuu la kaburi. Ninaposema mlinzi wa lango kuu la kaburi simaanishi mtu anaelinda geti kwenye eneo la makaburi hususani yale makaburi yaliyo jengwa kisasa .HAPANA simaaninishi hivyo. Nina maanisha “mlinzi wa kiroho “ wa makaburi. Kwa wasio fahamu ni kwamba katika kila eneo la makaburi huwa kuna jinni /malaika mwenye dhamana ya kulinda makaburi hayo. Ili uweze kuchukua au kufanya chochote chenye manufaa kutoka ndani ya eneo hilo la makaburi ni lazima kwanza upate ridhaa yake. Unapata ridhaa yake kwa kumlipa. Walinzi wa makaburi huwa wanalipwa kwa sadaka maalumu ambayo hulingana na siku na muda ulioenda lakini katika vitu vyote hivyo lazima kuwepo na mvinyo.

4. Unapoenda kuchota mchanga wa kaburi husika kwenye eneo husika hakikisha kwanza unamuomba alie lala kwenye hilo kaburi na KUMLIPA! Hawa huwa wanalipwa kama wanavyo lipwa walinzi wa makaburi. KAMWE USICHUKUE MCHANGA BILA KUWEKA SADAKA KWENYE KABURI HILO KWA SABABU HUO MZIMU UNAO ENDA KUUTUMIA KWENYE MAMBO YAKO HAU UTEKI NA KUULAZIMISHA KUFANYA UNACHOKITAKA WEWE BALI UNAUOMBA NA KUUPA ZAWADI MAALUMU. MIZIMU NI TOFAUTI SANA NA MAJINI.USIPOWEKA SADAKA MZIMU HUO UTAKURUDIA WEWE NA KUKUDHURU AU UTAFANYA KINYUME CHA KILE ULICHO KUSUDIA UKUFANYIE.

5. Hakikisha unachota mchanga wako katika eneo husika unalo takiwa kuchota. Kamwe usichote katika eneo ambalo halihusiani.

6. Kitu kingine lazima uzingatie muda wa kwenda kuchukua mchanga wa kaburi. Kila aina ya mchanga wa kaburi una muda na wakati wake maalumu wa kwenda kuuchukua. Hivyo unatakiwa kuzingatia hilo pia kabla ya kwenda kuchukua mchanga wa kaburi.

KITU CHA MSINGI UNATAKIWA KUWA NA HESHIMA YA HALI YA JUU MNO, KUWA MSAFI WA MWILI NA KULIPA SADAKA STAHIKI PINDI UNAPOENDA KUCHUKUA MCHANGA WA KABURI
KUWENI MAKINI NA MCHANGA WA KABURINI
IMESIMULIWA NA WANAZUONI





View attachment 2541290



1. Ujinga mkubwa sana huu, moja siamini kabisa katika huu ushirikina, 100% ni ulofa.

2. Hawa wajinga wanofanya huu ujinga, uwa wanapewa maelekezo na watu wao, waganga mara nyingi.

Sasa sijui unawaje kufikiri kwamba hawana maelezo specific namna ya ku execute zoezi lao.
 
KUWENI MAKINI NA MCHANGA WA KABURINI:

Kuna watu wamepata nuksi, mikosi na mabalaa makubwa katika maisha yao kwa sababu ya matumizi ya mchanga wa makurini bila kuzingatia au kufuata maelekezo.

Unapokuwa unafanya kitu chochote kile kinacho husiana ama kuyahusisha makaburi kwa namna moja au nyingine iwe ni kutumia mchanga , kuzika vitu, kuoga, kuchoma ama kutambika, unatakiwa kuwa makini sana na kufuata na kuzingatia kanuni na taratibu zake kwa sababu usipo zingatia hayo yatakupata makubwa.

Kwa bahati mbaya sana watu wengi wamekuwa wakitumia mchanga wa makaburini bila kufuata taratibu na matokeo yake wamevaa nuksi,mikosi na mabalaa makubwa ya maisha.

Sio makaburini tu, bali hata katika maeneo mengine ambako mchanga umekuwa ukitumika katika shughuli za uganga na utabibu watu wamekuwa wakitumia ndivyo sivyo na matokeo yake wamekuwa wahanga na nuksi, mikosi na mabalaa.

Mfano mzuri na rahisi wa sehemu hizo ni NJIA PANDA. Watu wengi huwa wana enda kutupa, kuzika, kufukia, kuchoma vitu au kuoga njia panda bila kuzingatia taratibu sahihi.

Huwa nasikitika sana ninapokutana na vitu vimetupwa au kuchomwa NJIA PANDA DUME wakati vilitakiwa vifanyike NJIA PANDA JIKE.

Kwa wasio fahamu , njia panda huwa zipo za aina kuu mbili ; Njia panda inayo unganisha njia tatu na nyingine ni njia panda inayo unganisha njia nne. Kati ya aina hizo mbili za njia panda, moja huwa ni njia panda dume na nyingine ni njia panda jike. Kwa sababu za msingi sitaweka wazi ipi ni njia panda jike na ipi ni njia dume. Aina hizi kuu mbili za njia panda nazo zimegawanyika katika aina mbalimbali.

Njia panda hizo kila moja ina matumizi yake ambayo yapo tofauti na aina nyingine. Kufanya kitu ulicho takiwa kukifanya kwenye njia panda dume wewe ukaenda kukifanya kwenye njia panda jike ni makosa makubwa sana na madhara yake yaweza kuwa nuksi, mikosi,mabalaa na hata kifo cha ghafla.

Nirudi kwenye mchanga wa kaburini. Toka enzi za mabibi na mababu vitu vinavyo tokana na kuhusiana na maeneo ya kaburini vimekuwa vikitumika katika uganga na uchawi yaani wachawi wamekuwa wakivitumia kwa ajili ya kuwatengenezea watu matatizo ilihali waganga wamekuwa wakivitumia kuwakinga na kuwaondolea watu matatizo.

Moja kati ya vitu vinavyo tumika sana katika uganga na uchawi ni mchanga wa kaburini.

Watu wengi wamekuwa wakitumia mchanga wa kaburini ndivyo sivyo na badala yake wameishia kupata nuksi, mikosi na mabalaa makubwa katika maisha yao.

Mchanga wa kaburini una matumizi mengine sana kuanzia kuwatia watu nuksi, mikosi na mabalaa hadi kuwafungua watu kutoka kwenye vifungo vibaya na kuwaletea bahati.

Mchanga wa kaburini una matumizi mengi mazuri kwa mabaya lakini mazuri ni mengi kuliko mabaya.

Wachawi wanau tumia kuwafisadi watu na waganga wanautumia kuwakinga watu dhidi ya shari za wachawi na majini wabaya.

Kama nilivyo dokeza hapo juu mchanga wa kaburini unatofautiana matumizi. Aina ya matumizi ya mchanga wa kaburini hutegemeana na mchanga huo umechukuliwa kutoka kwenye kaburi la aina gani na lenye asili gani.

Katika ulimwengu usio onekana zipo aina za makaburi zaidi ya sabini na kila aina ina matumizi yake. Sitazitaja aina hizo za makaburi na matumizi ya kila aina kwa sababu najua wapo wachawi watatumia maarifa hayo kuwafanyia ubaya watu wengine.

Matumizi ya mchanga wa kwenye kaburi la kale ambalo limeshasahaulika hayawezi kuwa sawa sawa na matumizi ya mchanga wa kaburi la mtoto alie zaliwa akiwa amekufa.

Matumizi ya mchanga wa kaburi lililozama na kutitia hayawezi kuwa sawa sawa na matumizi ya mchanga ulio chukuliwa kutoka kwenye kichuguu kilicho mea kwenye kaburi. Hivi ni vichuguu vidogo ambavyo humea kwenye makaburi na husababishwa na wadudu fulani wa porini wanao fanana sana na panya.

Mchanga kutoka kwenye kaburi la aina fulani unaweza kuwa na matumizi zaidi ya kumi, yote yanaweza kuwa mabaya au mazuri au mchanganyiko wa mabaya kwa mazuri. Kinacho takiwa kuzingatiwa hapo ni elimu na maarifa aliyo nayo muhusika kuhusu mchanga wa kaburini. Kwa sababu sio rahisi kwa mtu asie na maarifa haya kujua ni mchanga upi wa kaburi unatumika katika mambo yepi.

Mchanga ulio patikana kwa kufagia makaburi hauwezi kuwa na matumizi sawa na mchanga ulio chukuliwa kutoka kwenye kaburi lililo lala wazi, au kaburi ambalo lilichimbwa tu halafu hakuzikwamo mtu au kaburi ambalo mchanga ulichukuliwa wakati maiti inazikwa au kabla maiti haijshushwa kaburini.

Wakati mwingine mchanga wa kaburini unaweza kuwa umechukuliwa kwenye kaburi moja na ukawa na matumizi tofauti kabisa tena yanayo kinzana.

Kwa mfano kuna aina fulani ya kaburi, ukichukua mchanga kwenye sehemu ya moyo ya kaburi hilo matumizi yake huwa tofauti na kinyume kabisa na mchanga ulio chukuliwa kwenye sehemu ya kichwa cha kaburi hilo.

Wakati mchanga ulio chukuliwa kutoka kwenye sehemu ya moyo ya aina ya kaburi nililo litaja hapo juu ukitumiwa na baadhi ya watu kuoshea vyombo kwa ajili ya kuvuta wateja kwenye biashara ya chakula au kuwatuliza wafanyakazi wasiondoke , wachawi wanatumia mchanga ulio chotwa kutoka kwenye miguu ya kwenye kaburi hilo hilo kupima nguvu ya kinga kwenye nyumba ambayo wanataka kwenda kuiwangia.

Wachawi wanapoenda kuroga kwenye nyumba wasio ifahamu vizuri ili kujua nguvu ya kinga iliyopo katika nyumba hiyo huwa wanatumia mchanga huo wa kaburini . Wanacho kifanya husubiri hadi giza lizame majira ya saa moja za usiku, mchanga utarushwa kwenye paa la nyumba. Ukisikia paa lenu la nyumba limetupiwa mchanga mida ya saa moja za usiku basi jua wanga walikuwa wanapima nguvu ya kinga ya nyumba yenu na kama wakijiridhisha ninyi ni wepesi basi usiku wa siku hiyo watakuja kuwanga na kuroga .

Katika kupima nguvu ya kinga ya mji, kuna vitu huwa wanavitazama baada ya kutupa mchanga huo. Wakitupa mchanga halafu zikatokea cheche za moto juu ya bati basi siku hiyo hawatokuja, watarudi kujipanga na kuja na nguvu zaidi, na zisipo tokea cheche za moto basi wanajua mji huo ni mwepesi, usiku wa siku hiyo watakuja kuwanga.

Katika uganga na uchawi, mchanga wa kaburini huangaliwa na kutazamwa katika uwanja wake mpana. Haungaliwi tu mchanga ambao umechotwa, umechukuliwa, au umeombwa kutoka kaburini, bali hata mchanga uliokuja ( ulio lazimisha ) wenyewe nyumbani kutoka kaburini

Ngoja nifafanue kidogo hapo, ninaposema mchanga uliokuja wenyewe nyumbani kutoka kaburini ninamaanisha mchanga ulio fika kwenye mji wako kutoka kaburini bila wewe mwenyewe kujua wala kupenda.Hapa ni pale unapokuwa umeenda kaburini eidha kushiriki katika uchimbaji wa kaburi au kusafisha kaburi halafu mchanga ukabaki kwenye viatu vyako na wewe bila kujua ukarejea nao nyumbani kwako na hatimaye mchanga ukabaki kwenye viatu vyako. Katika uganga na uchawi hicho ni kizimba cha hatari sana. Mtu akichukua mchanga huo anaweza kufanya kitu kibaya sana dhidi yako. Ndio maana mnashauriwa unapoenda makaburini nenda na ndala na ukitoka unawe vizuri. Kikubwa usitengeneze mazingira yatakayo kufanya uingia nyumbani kwenu/kwako na mchanga wa kaburini.

Vile vile ipo aina moja ya mchanga wa kaburini ambayo nayo ina matumizi mengi sana makubwa kwa madogo mazuri kwa mabaya . Huu ni mchanga uliopo katika eneo linalo tumiwa na wafu na watu walio hai kwa wakati mmoja. Kama hujaelewa nazungumzia kitu gani, nazungumzia Mchanga uliopo kwenye daraja linalo tumika kuwavusha wafu na walio hai kwa pamoja. Hapa nazungumzia madaraja yaliyo karibu na makaburi ambayo watu wakiwa wanawapeleka marehemu wao kuwazika lazima wayavuke. Huu ndio aina ya mchanga ninao uzungumzia. Katika kuonyesha kuwa mchanga wa aina hii una nguvu sana, hata yale maji yanayo patikana chini ya daraja hili, nayo huwa na nguvu ileile ya mchanga na huwa na matumizi mengi mabaya kwa mazuri.

Kwa ufupi mchanga wa kaburini una matumizi mengi sana kuanzia kuvuta heri na bahati, kuongeza mvuto wa mapenzi, kufungua vifungo vibaya hadi kuwatia watu nuksi, mikosi na mabalaa.

MAMBO YA KUZINGATIA KABLA YA KUTUMIA MCHANGA WA KABURI AU KUFANYA TAMBIKO LOLOTE KABURINI.

1. Kwanza lazima ujue aina ya kaburi ambalo mchanga wake unaendana na tatizo lako au jambo unalo litaka.

2. Pili lazima ulijue lango kuu la kiroho la kuingia kwenye eneo la makaburi husika. Lango kuu la kiroho la kuingia kwenye makaburi husika huwa lipo katikati ya makaburi. ( Usichanganye na mlango unao onekana kwa macho hususani kwenye makaburi yaliyo jengewa uzio na kuwekewa mageti )

3. Pili unapoingia kaburini lazima uanze kwa kumlipa mlinzi wa lango kuu la kaburi. Ninaposema mlinzi wa lango kuu la kaburi simaanishi mtu anaelinda geti kwenye eneo la makaburi hususani yale makaburi yaliyo jengwa kisasa .HAPANA simaaninishi hivyo. Nina maanisha “mlinzi wa kiroho “ wa makaburi. Kwa wasio fahamu ni kwamba katika kila eneo la makaburi huwa kuna jinni /malaika mwenye dhamana ya kulinda makaburi hayo. Ili uweze kuchukua au kufanya chochote chenye manufaa kutoka ndani ya eneo hilo la makaburi ni lazima kwanza upate ridhaa yake. Unapata ridhaa yake kwa kumlipa. Walinzi wa makaburi huwa wanalipwa kwa sadaka maalumu ambayo hulingana na siku na muda ulioenda lakini katika vitu vyote hivyo lazima kuwepo na mvinyo.

4. Unapoenda kuchota mchanga wa kaburi husika kwenye eneo husika hakikisha kwanza unamuomba alie lala kwenye hilo kaburi na KUMLIPA! Hawa huwa wanalipwa kama wanavyo lipwa walinzi wa makaburi. KAMWE USICHUKUE MCHANGA BILA KUWEKA SADAKA KWENYE KABURI HILO KWA SABABU HUO MZIMU UNAO ENDA KUUTUMIA KWENYE MAMBO YAKO HAU UTEKI NA KUULAZIMISHA KUFANYA UNACHOKITAKA WEWE BALI UNAUOMBA NA KUUPA ZAWADI MAALUMU. MIZIMU NI TOFAUTI SANA NA MAJINI.USIPOWEKA SADAKA MZIMU HUO UTAKURUDIA WEWE NA KUKUDHURU AU UTAFANYA KINYUME CHA KILE ULICHO KUSUDIA UKUFANYIE.

5. Hakikisha unachota mchanga wako katika eneo husika unalo takiwa kuchota. Kamwe usichote katika eneo ambalo halihusiani.

6. Kitu kingine lazima uzingatie muda wa kwenda kuchukua mchanga wa kaburi. Kila aina ya mchanga wa kaburi una muda na wakati wake maalumu wa kwenda kuuchukua. Hivyo unatakiwa kuzingatia hilo pia kabla ya kwenda kuchukua mchanga wa kaburi.

KITU CHA MSINGI UNATAKIWA KUWA NA HESHIMA YA HALI YA JUU MNO, KUWA MSAFI WA MWILI NA KULIPA SADAKA STAHIKI PINDI UNAPOENDA KUCHUKUA MCHANGA WA KABURI
KUWENI MAKINI NA MCHANGA WA KABURINI
IMESIMULIWA NA WANAZUONI





View attachment 2541290


Wewe ni mshirikina uliyekubuhu.
 
Waliosoma Archaeology au Archeology wamefukua makaburi ya binadamu na viumbe vingine na wako vizuri tu hadi kesho. Wanachimba kukusanya Artifacts, Biofacts, Ecofacts nk.

Kwenye Makumbusho ya Taifa watu wanaishi na mafuvu ya akina Kabaka, Mangi Meli, Mangi Meza, Mkwawa, Zinjanthropus, Dryopithecus, Ramapithecus, Australopithecus, Homo Erectus, Homo Sapien (Neanderthalensis), Homo Sapien Sapien na wako vizuri tu hadi kesho.

Waliogundua mafuta waliyatoa kwenye mabaki ya viumbe hai vilivyozama chini ya ardhi mamilioni ya miaka na vizazi vyao viko vizuri tu hadi kesho. Bila kufukua mabaki hayo leo magari yangekuwepo? Nishati ya kuendeshea magari, meli, ndege, treni, mitambo ingetoka wapi?

Waliogundua madini walifukua makaburi. Wanaojenga maghorofa wanafukua mabaki ya viumbe, wanaosoma udaktari wanacheza na maiti, wanaokusanya forensic evidence kugundua wahalifu wanafukua makaburi.

Dodoma kuna Maabara ya Wizara za Ardhi na Kilimo iliyobeba sampuli za dongo zote za JMT kwa ajili ya kutambua maeneo mazuri ya kilimo. Nao watafiti wa sayansi ya udongo walifukua ardhi.

Israel walifukua makaburi ya Manabii na Mitume na waliofanya hivyo vizazi vyao havijapata laana wala uzezeta. Mafuvu hayo yanaiingizia nchi fedha za kigeni kuchangia bajeti.

Watu walikuwa wanavamia usiku kuchukuwa dongo kwy kaburi la Maalim Seif Sharif Hamad hadi lilipofanywa lindo maalum la FFU na hatujasikia wamekufa au kuwa mazezeta.

MziziMkavu kajipange upya namna ya kutapeli watu.

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Kisha lete andiko kuhusu swala la matumizi ya “Maji ya Maiti” kwa namna nzuri Kama uliwasilosha matumizi ya mchanga wa kaburi.
 
Kataa uchawo kwa jina la Yesu.Hapa tunafundishwa uchawi na ushirikina si vinginevyo.Hii Ni elimu ya kuzimu.



Awareness is empowering,

Wacha tujifunze tujue uharibifu unavyofanyika ili tujipange namna nzuri ya kuombea na kufungua watu.

Madaktari huanza kwa kusomea ugonjwa unavyojitokeza kisha namna ya kuutibu.
 
Back
Top Bottom