Course Coordinator
JF-Expert Member
- Jul 27, 2019
- 1,742
- 3,224
Wasalam
Rafiki yangu mmoja alikuwa mzee wa totozi mawazo mgando akiamini kuwa nurse au daktari yoyote huwa hawapati HIV kwa vile ndio wataalam.
Akawa amempenda Nurse anayemzidi umri kidogo ,wakaanzisha mahusiano kama miezi kadhaa kwa vile nurse alikuwa mbali na yeye alikuwa anamueleza kuwa akija atampima ndo amuruhusu kumla kisongonyi.
Siku huwa hazigandi nurse akaja kumtembelea jamaa yangu ,kabla ya kulala naye yule nurse akampima na kumwambia jamaa yuko negative na nurse nae akamwambia yupo salama Kwa vile jamaa yangu hajui mchanga na jiwe. Test and control ya kile kipimo aliamini vipimo akamla nurse kavu.
Jamaa yangu akamla nurse kama siku tatu hivi. Siku zimeenda siku zimerudi ikawa ni kutembeleana na kulala.
Siku moja nurse alikuja ghetto kwa jamaa na dawa za HIV. Pap jamaa akaona dawa kwenye mkoba wa nurse maneno yenye ukakasi zipo kwenye kopo ...jamaa akadhani ameletewa ameze,kumuuliza nurse wake ,nurse akamjibu aliiba kazini ili akaziuze kwa wale wagonjwa ambao wanaona aibu kwenda kuchukua dawa clinic .
Kila mara nurse alikuwa anampima jamaa kwa siku za kutembeleana alipogundua jamaa tayari ni positive ndo akazidisha mapenzi mlo kamili wa mwili na akili vikazidi miaka akaenda miaka ikasonga siku moja yule nurse alimletea dawa jamaa yangu kama kopo 6 hivi na siku ya mwisho kunyandua nurse akamwambia jamaa atumie condom kwa vile yupo kwenye danger .
Na hiyo ndo ikawa siku ya mwsho jamaa kumuona na nurse na ndo siku nurse alimtumia jamaa sms ya neno moja tu .Kunywa mbaazi nimeacha hapo uvunguni.
Vijana kuweni makini na hao manesi wa kike wanaowapima na ku-fake majibu kumbe wana nia ovu ..kama hujui kipimo tembelea hata youtube na Google utajua test na control humaanisha ..
Rafiki yangu mmoja alikuwa mzee wa totozi mawazo mgando akiamini kuwa nurse au daktari yoyote huwa hawapati HIV kwa vile ndio wataalam.
Akawa amempenda Nurse anayemzidi umri kidogo ,wakaanzisha mahusiano kama miezi kadhaa kwa vile nurse alikuwa mbali na yeye alikuwa anamueleza kuwa akija atampima ndo amuruhusu kumla kisongonyi.
Siku huwa hazigandi nurse akaja kumtembelea jamaa yangu ,kabla ya kulala naye yule nurse akampima na kumwambia jamaa yuko negative na nurse nae akamwambia yupo salama Kwa vile jamaa yangu hajui mchanga na jiwe. Test and control ya kile kipimo aliamini vipimo akamla nurse kavu.
Jamaa yangu akamla nurse kama siku tatu hivi. Siku zimeenda siku zimerudi ikawa ni kutembeleana na kulala.
Siku moja nurse alikuja ghetto kwa jamaa na dawa za HIV. Pap jamaa akaona dawa kwenye mkoba wa nurse maneno yenye ukakasi zipo kwenye kopo ...jamaa akadhani ameletewa ameze,kumuuliza nurse wake ,nurse akamjibu aliiba kazini ili akaziuze kwa wale wagonjwa ambao wanaona aibu kwenda kuchukua dawa clinic .
Kila mara nurse alikuwa anampima jamaa kwa siku za kutembeleana alipogundua jamaa tayari ni positive ndo akazidisha mapenzi mlo kamili wa mwili na akili vikazidi miaka akaenda miaka ikasonga siku moja yule nurse alimletea dawa jamaa yangu kama kopo 6 hivi na siku ya mwisho kunyandua nurse akamwambia jamaa atumie condom kwa vile yupo kwenye danger .
Na hiyo ndo ikawa siku ya mwsho jamaa kumuona na nurse na ndo siku nurse alimtumia jamaa sms ya neno moja tu .Kunywa mbaazi nimeacha hapo uvunguni.
Vijana kuweni makini na hao manesi wa kike wanaowapima na ku-fake majibu kumbe wana nia ovu ..kama hujui kipimo tembelea hata youtube na Google utajua test na control humaanisha ..