Kuweni makini na wanaojipima HIV kabla ya tendo

Kuweni makini na wanaojipima HIV kabla ya tendo

Wakuu mfano mtu kapata HIV leo alafu baada ya wiki ukimpima itaonekana na Je baada ya hio wiki mkisex ata kuambukiza? Nawasilisha
 
Mmmh! Umalaya utatumaliza aisee.. Vijana haswaa Wanaume wenzangu tuache hii tabia.. Hawa ndugu zetu hawana huruma na kiumbe Cha mtu, atakupotezea muda wako, Pesa zako na kuharibu future yako kwa kipi!! Raha ya Nusu saa..?
Unajua fumbo la Ngono Ni Kama fumbo la njaa.. Sema kimoja Ni Muhimu Ila process zinafanana..
Utapiga mbupu weeeee na hakuna Siku utafaidika.. Bora hata kula utamaintan uhai, Ngono utapata nn?
Achana na kitu inaitwa "nyege' inavuruga mpangilio mzima wa maisha
 
Achana na kitu inaitwa "nyege' inavuruga mpangilio mzima wa maisha

Na ndo hicho kinachotuua aisee.. I wish kungekua na uwezo wa kuzitoa Hizo Nyege mtu ubaki free tu aisee maana hata Mwenzi wa ndoa na yeye haaminiki! Unaeza oa lakini bado ukimwi ukaletwa ndani
 
Duh inahuzunisha Sana. Ila no way out but unatakiwa umpe ushauri mzuri Kati ya kutumia panga au bastola
 
nahisi kuna chumvi imeongezwa hapa bado nagoma kuamini hii habari, kwa wale tunaopima mara kwa mara na tunaotembea na HIV kits tunajua ukipima majibu ya vile vipimo lazma ugundue utofauti.

Ina maana huyu alizibwa macho?
 
Wakuu mfano mtu kapata HIV leo alafu baada ya wiki ukimpima itaonekana na Je baada ya hio wiki mkisex ata kuambukiza? Nawasilisha
Haitaonekana na utaambukizwa..hicho kipindi ambacho mtu huambukizwa na mpk pale ukimwi unapoanza kuonekana ktk vipimo hvyo huitwa "window period',na inaweza kuchukua muda wa mwezi mmoja mpk 6 kwa baadhi ya watu japo wengi ni miezi mitatu tu...
Ktk kipindi hiki ambacho ukimwi hauonekani ktk vipimo ndicho kipindi virusi huzaliana kwa Kasi Sana na mgonjwa huwa na uwezo wa kumwambukiza mtu mwingine kwa haraka Sana..

Hivyo Basi kupima ukimwi kabla ya tendo hakukufanyi ujue Kama mtu ni muathirika au sio Kama tu mtu huyu kaambukizwa ndani ya siku au wiki chache nyuma Bali inasaidia kujua ukimwi kwa mtu ambaye n mgonjwa tyr wa muda mrefu kidogo....

Tuchukue tahadhari
 
Haitaonekana na utaambukizwa..hicho kipindi ambacho mtu huambukizwa na mpk pale ukimwi unapoanza kuonekana ktk vipimo hvyo huitwa "window period',na inaweza kuchukua muda wa mwezi mmoja mpk 6 kwa baadhi ya watu japo wengi ni miezi mitatu tu...
Ktk kipindi hiki ambacho ukimwi hauonekani ktk vipimo ndicho kipindi virusi huzaliana kwa Kasi Sana na mgonjwa huwa na uwezo wa kumwambukiza mtu mwingine kwa haraka Sana..

Hivyo Basi kupima ukimwi kabla ya tendo hakukufanyi ujue Kama mtu ni muathirika au sio Kama tu mtu huyu kaambukizwa ndani ya siku au wiki chache nyuma Bali inasaidia kujua ukimwi kwa mtu ambaye n mgonjwa tyr wa muda mrefu kidogo....

Tuchukue tahadhari
Sio kweli boss, Kirusi ili kikuambukize lazma kiwe kimeingia kwenye mfumo wa damu na kikiwa kwenye mfumo wa damu lazma kionekane kwenye vipimo. Kama ingekuwa hivi unavyosema asilimia 90 tungekuwa waathirika.

Hizi elimu zinatolewa bure kabisa mahospitalini kwenye madawati ya Ukimwi nenda utapata elimu zaidi
 
Wasalam

Rafiki yangu mmoja alikuwa mzee wa totozi mawazo mgando akiamini kuwa nurse au daktari yoyote huwa hawapati HIV kwa vile ndio wataalam.

Akawa amempenda Nurse anayemzidi umri kidogo ,wakaanzisha mahusiano kama miezi kadhaa kwa vile nurse alikuwa mbali na yeye alikuwa anamueleza kuwa akija atampima ndo amuruhusu kumla kisongonyi.

Siku huwa hazigandi nurse akaja kumtembelea jamaa yangu ,kabla ya kulala naye yule nurse akampima na kumwambia jamaa yuko negative na nurse nae akamwambia yupo salama Kwa vile jamaa yangu hajui mchanga na jiwe. Test and control ya kile kipimo aliamini vipimo akamla nurse kavu.

Jamaa yangu akamla nurse kama siku tatu hivi. Siku zimeenda siku zimerudi ikawa ni kutembeleana na kulala.

Siku moja nurse alikuja ghetto kwa jamaa na dawa za HIV. Pap jamaa akaona dawa kwenye mkoba wa nurse maneno yenye ukakasi zipo kwenye kopo ...jamaa akadhani ameletewa ameze,kumuuliza nurse wake ,nurse akamjibu aliiba kazini ili akaziuze kwa wale wagonjwa ambao wanaona aibu kwenda kuchukua dawa clinic .

Kila mara nurse alikuwa anampima jamaa kwa siku za kutembeleana alipogundua jamaa tayari ni positive ndo akazidisha mapenzi mlo kamili wa mwili na akili vikazidi miaka akaenda miaka ikasonga siku moja yule nurse alimletea dawa jamaa yangu kama kopo 6 hivi na siku ya mwisho kunyandua nurse akamwambia jamaa atumie condom kwa vile yupo kwenye danger .

Na hiyo ndo ikawa siku ya mwsho jamaa kumuona na nurse na ndo siku nurse alimtumia jamaa sms ya neno moja tu .Kunywa mbaazi nimeacha hapo uvunguni.

Vijana kuweni makini na hao manesi wa kike wanaowapima na ku-fake majibu kumbe wana nia ovu ..kama hujui kipimo tembelea hata youtube na Google utajua test na control humaanisha ..
Nmeamua kueka kipimo ndani kwangu siku hiz

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom