Course Coordinator
JF-Expert Member
- Jul 27, 2019
- 1,742
- 3,224
- Thread starter
- #41
Kaa hivo hivo bossMmh nitakua mtu wa mwisho kuamini habari hii...nadhani imeongezewa chumvi au haina ukweli ni maneno ya kijiweni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaa hivo hivo bossMmh nitakua mtu wa mwisho kuamini habari hii...nadhani imeongezewa chumvi au haina ukweli ni maneno ya kijiweni.
Mwee jamani wakishauliwa wanajiona vidumeNgoja waungue
Mbaazi ni uhai.Mmh..mbaazi!! Hatariii
Kufa utakufa kwa wakati wako lakini sio kumjaribu Mungu, kama umeambiwa zuia hii kitu hautaumwa zuia sio kwasababu kufa kupo ndiyo ujiendee endee hapana, Mungu mwenyewe alisema msile tunda la mti wa kati hakika mtakufaHivi mtu unapopima unatafuta nin hasa??binafsi si muumin kabisa wa hil tendo:kumbuka hata ukipima hakika kufa utakufa#obheja
Ww ni liongo la karne. Acha kutisha watu na stori zako za kutunga. Haiji akilini mtu anajijua yupo +ve ajipime mbele ya mtu asiejua status yake then et wanyanduane na mwisho mwanamke akiri mwenyewe kuwa kuwa amemwambukiza na et aanze kutumia mbaazi.. uongo mtupuWasalam
Rafiki yangu mmoja alikuwa mzee wa totozi mawazo mgando akiamini kuwa nurse au daktari yoyote huwa hawapati HIV kwa vile ndio wataalam.
Akawa amempenda Nurse anayemzidi umri kidogo ,wakaanzisha mahusiano kama miezi kadhaa kwa vile nurse alikuwa mbali na yeye alikuwa anamueleza kuwa akija atampima ndo amuruhusu kumla kisongonyi.
Siku huwa hazigandi nurse akaja kumtembelea jamaa yangu ,kabla ya kulala naye yule nurse akampima na kumwambia jamaa yuko negative na nurse nae akamwambia yupo salama Kwa vile jamaa yangu hajui mchanga na jiwe. Test and control ya kile kipimo aliamini vipimo akamla nurse kavu.
Jamaa yangu akamla nurse kama siku tatu hivi. Siku zimeenda siku zimerudi ikawa ni kutembeleana na kulala.
Siku moja nurse alikuja ghetto kwa jamaa na dawa za HIV. Pap jamaa akaona dawa kwenye mkoba wa nurse maneno yenye ukakasi zipo kwenye kopo ...jamaa akadhani ameletewa ameze,kumuuliza nurse wake ,nurse akamjibu aliiba kazini ili akaziuze kwa wale wagonjwa ambao wanaona aibu kwenda kuchukua dawa clinic .
Kila mara nurse alikuwa anampima jamaa kwa siku za kutembeleana alipogundua jamaa tayari ni positive ndo akazidisha mapenzi mlo kamili wa mwili na akili vikazidi miaka akaenda miaka ikasonga siku moja yule nurse alimletea dawa jamaa yangu kama kopo 6 hivi na siku ya mwisho kunyandua nurse akamwambia jamaa atumie condom kwa vile yupo kwenye danger .
Na hiyo ndo ikawa siku ya mwsho jamaa kumuona na nurse na ndo siku nurse alimtumia jamaa sms ya neno moja tu .Kunywa mbaazi nimeacha hapo uvunguni.
Vijana kuweni makini na hao manesi wa kike wanaowapima na ku-fake majibu kumbe wana nia ovu ..kama hujui kipimo tembelea hata youtube na Google utajua test na control humaanisha ..
Alianguka akapata hofu alipozinduka akafa!Aiseeeee!!
Ikawaje sasa kwa huyo jamaa yako kuhusu kuambiwa kunywa mbaazi?
Mapokeo ya hizo taarifa yalikuwa vipi?
Kweli ni kosa la jinai kumuambukiza mtu kwa makusudi.Ww ni liongo la karne. Acha kutisha watu na stori zako za kutunga. Haiji akilini mtu anajijua yupo +ve ajipime mbele ya mtu asiejua status yake then et wanyanduane na mwisho mwanamke akiri mwenyewe kuwa kuwa amemwambukiza na et aanze kutumia mbaazi.. uongo mtupu
Ww ni liongo la karne. Acha kutisha watu na stori zako za kutunga. Haiji akilini mtu anajijua yupo +ve ajipime mbele ya mtu asiejua status yake then et wanyanduane na mwisho mwanamke akiri mwenyewe kuwa kuwa amemwambukiza na et aanze kutumia mbaazi.. uongo mtupu
Kaa hivo hivo boss
Yeah wame inarishi kidogo naona waliona neno nurse linaleta taharuki kwa watumishi haoMbona kama title imebadilishwa? au Mods washafanya yao
Una mechi na nurse ?dahh, unataka nigairi mechi leo
😂 😂 😂 😂 hapanaUna mechi na nurse ?
Ninyi ndo mwongozo wa jamii forum unawakataa mtu humjui ameshea true story bado unasema uongo...haya lete yako yenye ukweliWw ni liongo la karne. Acha kutisha watu na stori zako za kutunga. Haiji akilini mtu anajijua yupo +ve ajipime mbele ya mtu asiejua status yake then et wanyanduane na mwisho mwanamke akiri mwenyewe kuwa kuwa amemwambukiza na et aanze kutumia mbaazi.. uongo mtupu
Aisee papuchi ni tamu sanaMmmh! Umalaya utatumaliza aisee.. Vijana haswaa Wanaume wenzangu tuache hii tabia.. Hawa ndugu zetu hawana huruma na kiumbe Cha mtu, atakupotezea muda wako, Pesa zako na kuharibu future yako kwa kipi!! Raha ya Nusu saa..?
Unajua fumbo la Ngono Ni Kama fumbo la njaa.. Sema kimoja Ni Muhimu Ila process zinafanana..
Utapiga mbupu weeeee na hakuna Siku utafaidika.. Bora hata kula utamaintan uhai, Ngono utapata nn?