Kuweni makini na wanaojipima HIV kabla ya tendo

Mbona kuvisoma vile vipimo ni simple tu.
Ukiona "Mistari miwili au zaidi POSITIVE(Anao)" ukiona ""Mstari mmoja Negative (Hana).
 
dooh!
 
Hebu tudadavulie hapo kila moja ina maana gani? Hasa hio C hapo maanake nini?
Ikisoma C - inasimama kama Negative

Positive inasoma C-1 na C- 2 , lakini inaposoma kwenye hiyo mistari inaonyesha na hali yako kiafya kama HIV yako ipo Strong,Mediuma na Weak pia kwahiyo utajua kupitia hiyo mistari mkuu.
 
Ikisoma C - inasimama kama Negative

Positive inasoma C-1 na C- 2 , lakini inaposoma kwenye hiyo mistari inaonyesha na hali yako kiafya kama Hiv yako ipo Strong,Mediuma na Weak pia kwahiyo utajua kupitia hiyo mistari mkuu.
Ahaa wacha nikatoe sadaka basi kama mdau alivyoshauri pale awali!
 
Mbona kama title imebadilishwa? au Mods washafanya yao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…