Kuweni makini na wanaojipima HIV kabla ya tendo

Hivi mtu unapopima unatafuta nin hasa??binafsi si muumin kabisa wa hil tendo:kumbuka hata ukipima hakika kufa utakufa#obheja
Kufa utakufa kwa wakati wako lakini sio kumjaribu Mungu, kama umeambiwa zuia hii kitu hautaumwa zuia sio kwasababu kufa kupo ndiyo ujiendee endee hapana, Mungu mwenyewe alisema msile tunda la mti wa kati hakika mtakufa
 
Ww ni liongo la karne. Acha kutisha watu na stori zako za kutunga. Haiji akilini mtu anajijua yupo +ve ajipime mbele ya mtu asiejua status yake then et wanyanduane na mwisho mwanamke akiri mwenyewe kuwa kuwa amemwambukiza na et aanze kutumia mbaazi.. uongo mtupu
 
Kweli ni kosa la jinai kumuambukiza mtu kwa makusudi.
Jamaa embu atutue tumeshafika tunakoenda.
 
Aswaa huyu jamaa ametupiga kamba hapa
 
Ninyi ndo mwongozo wa jamii forum unawakataa mtu humjui ameshea true story bado unasema uongo...haya lete yako yenye ukweli
 
Etii mbaazi [emoji16][emoji16] daah wee nesi
 
Aisee papuchi ni tamu sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…