Kuweni makini na wauza vifurushi wa mitandaoni

Mkuu, umesahau mama Tiba aliposema, alimega fedha kidooooogo ya mboga - 10M, kutoka kwenye ile hela ya Rugemalila?
Dunia hii haina usawa! Wengine hiyo 13,000/= ni ya pipi tu. Wengine ni ya mlo wa familia nzima kwa siku tatu!
Haijalishi. Kuwa na fedha nyingi siyo certificate ya kuruhusu utapeliwe kijinga. Kama huamini nenda katapeli kwa tajiri mwenye fedha uone kitakachokupata.
 
Nilikuwa najua nimatapeli tu wa mitandaoni mpaka jamaa ninaemjua kabisa nilipoona tangazo kutoka kwake. Ndio ninaemtumia huwa ananiunga mbs tu gb 1 huwa nanunua bei kitonga.
Kwa mtu ambae humfahamu vizuri usijaribu matapeli ni wengi kuliko waaminifu.
 

Attachments

  • Screenshot_20240609-083909_Messages.jpg
    90.4 KB · Views: 5
Umekutana na kitu kizito ila waunga vifurushi og wapo, me ninae mmoja ukitaka vifurushi vya tigo au halotel anakuunga kwanza kisha ndio unamlipa. Nimeshafanya nae kazi karibia mwaka sasa.
Umefunga PM mzee.
 
Eeee kwan inakuuma nafanyia utafiti hela yako?
Sijaumia hata kidogo kwa sababu ya ujinga wako. Unapigwa mchana kweupe halafu unadanganya ni utafiti? Kwa anayetumia akili kidogo tu anaweza kujua huu ni utapeli. Ni kama ule ujinga wa mtu kukuuzia Iphone 15 kwa sh laki moja. Hujiulizi maswali tu?
 
Wapo wanao unganisha kweli
 
Chekundu chekungu chengundu aaahahaha.......... Ndo waliwaoooo
 
Kama unatumia halotel,nicheki inbox
Uhakika.
 
Kwahiyo nawewe umepigwa tukio sio. Wanaopigwa tukio huwa wanakaa kimya kama si wao, wewe umepata wapi ujasiri?
 
Kwanza hakuna KIGOGO wa Instagram, Facebook ,Wala telegram. Wote ni magumashi wanatumia jina. KIGOGO og huwa yupo twita na Sasa haandiki tena habari za udaku anajiita KIGOGO MEDIA
Huyo Kigogo og inasemekana alikuwa Makamba Jr alipotimuliwa kazi na Jpm
 
Mkuu, umesahau mama Tiba aliposema, alimega fedha kidooooogo ya mboga - 10M, kutoka kwenye ile hela ya Rugemalila?
Dunia hii haina usawa! Wengine hiyo 13,000/= ni ya pipi tu. Wengine ni ya mlo wa familia nzima kwa siku tatu!
😁😁😁
 
Umekutana na kitu kizito ila waunga vifurushi og wapo, me ninae mmoja ukitaka vifurushi vya tigo au halotel anakuunga kwanza kisha ndio unamlipa. Nimeshafanya nae kazi karibia mwaka sasa.
Vodacom havipatikani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…