Kuweni wakweli tu. Sura zenu mbaya ndiyo maana hampost picha zenu mitandaoni

Kuweni wakweli tu. Sura zenu mbaya ndiyo maana hampost picha zenu mitandaoni

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Wale wote wenye muonekano mbovu ndiyo huwa wanajifanya wana maadili mema, eti ndo maana hawapost picha zao mitandaoni.

Lkn ukiwachimbua deep down ndani ya mioyo yao ni kwamba wanatamani nao kufanya hizo show off lkn sura zao mbovu.

Mitandao ndiyo mbadala wa albums za picha mnato tulizokuwa tunaweka majumbani. Sasa wewe hutumii unadai eti una maadili. Maadili konyo!

Sema ukweli tu kwamba una sura ya zamadamu.
 
Wale wote wenye muonekano mbovu ndiyo huwa wanajifanya wana maadili mema, eti ndo maana hawapost picha zao mitandaoni.

Lkn ukiwachimbua deep down ndani ya mioyo yao ni kwamba wanatamani nao kufanya hizo show off lkn sura zao mbovu.

Mitandao ndiyo mbadala wa albums za picha mnato tulizokuwa tunaweka majumbani. Sasa wewe hutumii unadai eti una maadili. Maadili konyo!

Sema ukweli tu kwamba una sura ya zamadamu.
Si kila Mtu ana kipaji cha kuongea mbele za Watu kama akina Haji na Mwijaku ndivyo pia ilivyo kwa Watu wengine kutokuwa na swaga za kishamba za kuuza uza sura kwenye social media kama Watoto.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Wale wote wenye muonekano mbovu ndiyo huwa wanajifanya wana maadili mema, eti ndo maana hawapost picha zao mitandaoni.

Lkn ukiwachimbua deep down ndani ya mioyo yao ni kwamba wanatamani nao kufanya hizo show off lkn sura zao mbovu.

Mitandao ndiyo mbadala wa albums za picha mnato tulizokuwa tunaweka majumbani. Sasa wewe hutumii unadai eti una maadili. Maadili konyo!

Sema ukweli tu kwamba una sura ya zamadamu.
Tupostie ya kwako Ili mabasha waitadhimini
 
IMG-20230423-WA0001.jpg


Sina cha kuogopa
 
Kupost picha yangu au kitu chochote kinachonihusu mtandaoni haijawahi kuwa kipaumbele changu! Akaunti yangu ya insta ina miaka 10 ila picha nilizopost hazifiki 13.. wastani wa picha Moja kwa mwaka! Na Kuna mitandao mingine ninaingia Kila siku na sijawahi kupost chochote!
 
Back
Top Bottom