Kuyafunua yaliyofunikwa: Historia ya kweli ya Uyahudi na Wayahudi

Kuyafunua yaliyofunikwa: Historia ya kweli ya Uyahudi na Wayahudi

Hapa ndipo tatizo lilipo. Uyahudi ni dini na si kabila.

Mayahudi hawaingiliani na Musa,bali Mayahudi wabajinasibisha na nabii Musa tunasema wanajikomba huku wakibadilisha mafundisho ya nabii Musa.

sasa musa anakosaje kua na uhusiano na wayaudi wakati wote wametoka katika shina moja ambae ni yakobo?! musa alitoka kwa Lawi na wayaudi ni wauzao wa yuda ambapo Lawi na Yuda ni watoto wa yakobo ambae ndo israel mwenyewe.

Afu kati ya uislamu na uyahudi kipi kilianza!?
 
Afu kati ya uislamu na uyahudi kipi kilianza!?
Naanzia hapa. Uislamu ulikuwepo kabla y Uyahudi,sababu hata nabii Nuhu alikuwa Muislamu.
sasa musa anakosaje kua na uhusiano na wayaudi wakati wote wametoka katika shina moja ambae ni yakobo?!
Musa hana uhusiano na Mayahudi kwa sababu hata nikikuomba ushahidi unao onyesha ya kuwa Uyahudi ulikuwepo zama za nabii Musa,hutaweza kufanya hivyo.

Yakubu kuwa shina haimaanishi ya kuwa yeye alikuwa muasisi wa Uyahudi,sababu mpaka anakufa Uyahudi haukuwepo.
musa alitoka kwa Lawi na wayaudi ni wauzao wa yuda ambapo Lawi na Yuda ni watoto wa yakobo ambae ndo israel mwenyewe.
Hii si kweli. Uyahudi ni nini hasa ?
 
Naanzia hapa. Uislamu ulikuwepo kabla y Uyahudi,sababu hata nabii Nuhu alikuwa Muislamu.

Musa hana uhusiano na Mayahudi kwa sababu hata nikikuomba ushahidi unao onyesha ya kuwa Uyahudi ulikuwepo zama za nabii Musa,hutaweza kufanya hivyo.

Yakubu kuwa shina haimaanishi ya kuwa yeye alikuwa muasisi wa Uyahudi,sababu mpaka anakufa Uyahudi haukuwepo.

Hii si kweli. Uyahudi ni nini hasa ?

okay, nimekuelewa mkuu
 
Hapa ndipo tatizo lilipo. Uyahudi ni dini na si kabila.

Mayahudi hawaingiliani na Musa,bali Mayahudi wabajinasibisha na nabii Musa tunasema wanajikomba huku wakibadilisha mafundisho ya nabii Musa.
Uyahudi ni seti ya imani, practices, na maadili kulingana na Torati. Unaweza kufuata Uyahudi na usiwe Myahudi, na unaweza kuwa Myahudi na usifanye Uyahudi.
 
Naanzia hapa. Uislamu ulikuwepo kabla y Uyahudi,sababu hata nabii Nuhu alikuwa Muislamu.

Musa hana uhusiano na Mayahudi kwa sababu hata nikikuomba ushahidi unao onyesha ya kuwa Uyahudi ulikuwepo zama za nabii Musa,hutaweza kufanya hivyo.

Yakubu kuwa shina haimaanishi ya kuwa yeye alikuwa muasisi wa Uyahudi,sababu mpaka anakufa Uyahudi haukuwepo.

Hii si kweli. Uyahudi ni nini hasa ?
Chief Mubarridi, Uyahudi ni zaidi ya Dini.
 
Ok, nimekuelewa mkuu!
Ukiona mtu unampa facts tena kwa reference za ki-genealogy, Kisha anaendelea kubishana bila kuwa na facts, unaachana naye.
ndo hivyo... ukiona mtu mahaba yamefunika uelewa inakua ni bora kupita kushoto ili kila mtu abaki na uelewa wake
 
Uyahudi ni seti ya imani, practices, na maadili kulingana na Torati. Unaweza kufuata Uyahudi na usiwe Myahudi, na unaweza kuwa Myahudi na usifanye Uyahudi.
Hili halipo. Uyahudi uns misingi yake. Kwayo inakufanya ukawa Myahudi.

Miongoni mwa imani za Mayahidi katika kitabu chao Talmud ni kuwa Wanadamu wote wameumbwa kwa ajili ya kuwatumikia Mayahudi na ni sawa na nguruwe na nyumba zao zote ni magofu.
 
Hili halipo. Uyahudi uns misingi yake. Kwayo inakufanya ukawa Myahudi.

Miongoni mwa imani za Mayahidi katika kitabu chao Talmud ni kuwa Wanadamu wote wameumbwa kwa ajili ya kuwatumikia Mayahudi na ni sawa na nguruwe na nyumba zao zote ni magofu.
Chief Mubarridi, yawezekana hujui sana kuhusu Uyahudi (Judaism)!
Tuko hapa kunako jukwaa kwa ajili ya kuelimishana si kushindana.
Swali kwako. Je wajua kuwa Uyahudi uko wa aina ngapi?
 
Hili halipo. Uyahudi uns misingi yake. Kwayo inakufanya ukawa Myahudi.

Miongoni mwa imani za Mayahidi katika kitabu chao Talmud ni kuwa Wanadamu wote wameumbwa kwa ajili ya kuwatumikia Mayahudi na ni sawa na nguruwe na nyumba zao zote ni magofu.

Definition of Judaism




1 : a religion developed among the ancient Hebrews and characterized by belief in one transcendent God who has revealed himself to Abraham, Moses, and the Hebrew prophets and by a religious life in accordance with Scriptures and rabbinic traditions
2 : the cultural, social, and religious beliefs and practices of the Jews

3 : conformity to Jewish rites, ceremonies, and practices

4 : the whole body of Jews : the Jewish people
 
1 : a religion developed among the ancient Hebrews and characterized by belief in one transcendent God who has revealed himself to Abraham, Moses, and the Hebrew prophets and by a religious life in accordance with Scriptures and rabbinic traditions
Tuanze kuijadili hii maana uliyo itoa kuhusu Uyahudi ili tapate kujua je maana hii ya kweli kulingana na uhalisia wa Mayahudi wenyewe au ni kinyume chake.

Hapa nitakuukiza maswali kadhaa ili tujue ukweli wa maana hii.

1. Ni ipi imani ya Mayahudi inafanana na mafundisho ya nabii Ibrahimu au nabii Musa ?

2. Uyahudi ulianza lini rasmi na kujulikana kama ni dini ?

3. Je ni kweli Mayahudi wanafata Taurati ?

4. Unaielezea vipi au ni ipi nafasi ya Talmudi katika dini ya Uyahudi ?
2 : the cultural, social, and religious beliefs and practices of the Jews

3 : conformity to Jewish rites, ceremonies, and practices

4 : the whole body of Jews : the Jewish people
Maana hizi zote zinaingia katika maana ya kilugha ya dini,yaani huwezi kuitenganisha dini vitu hivi ulivyo vitaja kuelezea maana ya dini ya Uyahudi.
 
Dini ya kwel,na dini ya haki mbele ya Mwenyez MUNGU n uyahud,nmelifahamu hilo kwa uwezo wa Mungu aliye hai,, ukristo na uislam umeiba maandiko na mitume wa kiyahud na kudai kuwa n w dini hizo..na ndio maana katka hiv vitabu vya kitapeli (Biblia agano jipya na Quran) wayahud(wafuasi wa dini ya kiyahud) wanasemwa vibaya.
 
Safi kabisa, sasa vipi Wayahudi wanajinasibisha na nabii Musa huku wakidai wanafata Torati ?

Swali lingine la msingi, sababu Historia imeshaandika, na dhuria ya wana wa Israeli inajulikana, je ni uzao gani au ni nani katika wana wa Israeli walikuwa ni Mayahudi ?

Unaweza kulithibitisha hili ? Naomba ushahidi wa hili.
Jamaa Yuko sahihi,ulimwengu wengi haufahamu hil, Judaism n dini ,tena ndio dini ya haki mbele ya Mwenyez Mungu
 
Jamaa Yuko sahihi,ulimwengu wengi haufahamu hil, Judaism n dini ,tena ndio dini ya haki mbele ya Mwenyez Mungu
Dini ya kwel,na dini ya haki mbele ya Mwenyez MUNGU n uyahud,nmelifahamu hilo kwa uwezo wa Mungu aliye hai,, ukristo na uislam umeiba maandiko na mitume wa kiyahud na kudai kuwa n w dini hizo..na ndio maana katka hiv vitabu vya kitapeli (Biblia agano jipya na Quran) wayahud(wafuasi wa dini ya kiyahud) wanasemwa vibaya.
Elim yako ndogo na uelewa wako finyu ndo unafanya ufikiri kua uyahudi ndio dini ya kweli.
 
Back
Top Bottom