Twende sawa uislamu ulianza lini?na ukristo nauyahudi ulianza lini?mwenye akili timamu atajua tu uislamu ni falsafa mfu ya kukopi na paste kati ya ukristo na uyahudi.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using
Jamii Forums mobile app
Ngoja kidogo nichangie hapa,,story ilianza Abrahamu anahamia caanan,akitokea Ur ya mesopotamia,today iraq,
Huko caanan anakutana na mfalme,Melikizedek,ambayo actually ni title yenye maana mfalme mtukufu,
Huyo mfalme ni kuhani wa Mungu mkuu alieabudiwa na jamii yote ya caanan,Mungu huyo aliitwa El..
Kiufupi Abraham,ambae nae kiukweli hakupata kuwepo,anakua introduced katika imani ya kumuabudu El,
Abrahama anazaa mtoto wa kwanza anampa jina, Ishmael.
Ishma-kusikia.
El-Mungu
Maana yake "Mungu kasikia"
Mpaka hapo hakuna uyahudi,Abraham anaabudi mungu wa caanan aitwae El,
Pia twaona ,Abraham akikutana na mfalme wa filstian,maeneo ya gaza,king Abimelech.
Ambayo nayo ni title.
Abi-Abu=mwana.
Melech-malik=mfalme,
Yaani, Mwana wa mfalme
Kimombo tuite Prince.
Abrahamu anataka kumuuza mkewe sara kijanja alalwe na mwana wa mfalme,
Mungu,yaani El akamwotesha Abimelech kuwa yule si dada wa abraham bali mkewe,
Automatically hapa Abimelech haongei na yahwew,ameoteshwa na mungu aliemuabudu yaani El,
Hii inaonyesha Abraham amekuta jamii ya caanan inaabudu mungu El.
Jina israEl linabeba Mungu wa caanan,,yaani El ambae ndo alikua Mungu mkuu,the most high.
Utafiti wangu sasa,to cut the story short,
El ndoo huyohuyo Allah.
Katika maandiko ya kiyahudi utakutana na jina,,,ABDIEL lenye maana sawa na jina ABDALLAH.
Maana yake ni moja,"Mtumishi wa mungu"
Hivyo El na Allah kitu kimoja ila matamshi yakatofautiana kufuatana na jamii,sawa na jina,
Abimelech=Abumalik=Mwanamfalme,
Mungu wa israel ndo huyo huyo mungu wa waarabu.
Kiufupi mungu ni mmoja tu,,dini zinazengua tu.🏃🏃🏃🏃🏃🏃