Kuyafunua yaliyofunikwa: Historia ya kweli ya Uyahudi na Wayahudi

Kuyafunua yaliyofunikwa: Historia ya kweli ya Uyahudi na Wayahudi

Kumtenganisha Musa na wayahudi ni ujinga. Ni sawa na kuwatenganisha waarabu na Muhammad. Halaf kitu kinanishangaza, dini ya kiyajudi ilikuwepo kabla ya uislamu miaka zaidi ya 1500, sijui kwanini waislamu wanahangaika kutaka kumpora Musa kutoka kwa wayahudi
Moses ni mmisri yule,,hata jina lake asili yake ni misri,
Moses,Amos ni majina ya kimisri,,
Kikubwa ni kuwa,hapajaoata kuwepo myahudi alieitwa moses,, hadithi kuhusu moses ni ngano za kubuni
 
Misingi ya dini ya uyahudi(Judaism) ilijengwa na Musa mwenyewe baada ya kupewa amri 10 na Mungu. Hivyo huwezi tenganisha dini ya Uyahudi (Judaism) na Musa. Uyahudi ni dini kama uislamu au ukristo.
Hadithi za moses zinasema,aliua mfanyakazi wa farao,kwa kumnyonga,kisha akakimbilia uarabuni kuepuka kukamatwa,huko akaoa mtoto wa mzee mmoja wa kiarabu,,huyo mzee ndio alimfundisha dini moses,,moses aliporudi misri,,kipindi wametoka misri,,katika mlima sinai,,moses alimwita baba mkwe wake aje kuwafundisha dini wazee wa ki israel,yule mzee wa kiarabu alipanda na hao wazee mlima sinai na akawa introduce kwenye dini yake,,hii kazi ilifanywa na mkwe wa moses na si moses..
 
Nitajie imani ya Mayahudi na unionyeshe hapo Uyahudi na Musa uko wapi ?
Wewe ndo unatakiwa unionyeshe mahali wameandika Musa muislamu kama unavyodai. Wewe ndo umeleta haya ya Musa ni muislamu..prove it!
 
Hadithi za moses zinasema,aliua mfanyakazi wa farao,kwa kumnyonga,kisha akakimbilia uarabuni kuepuka kukamatwa,huko akaoa mtoto wa mzee mmoja wa kiarabu,,huyo mzee ndio alimfundisha dini moses,,moses aliporudi misri,,kipindi wametoka misri,,katika mlima sinai,,moses alimwita baba mkwe wake aje kuwafundisha dini wazee wa ki israel,yule mzee wa kiarabu alipanda na hao wazee mlima sinai na akawa introduce kwenye dini yake,,hii kazi ilifanywa na mkwe wa moses na si moses..
Imeandikwa wapi hii alienda kuoa mwarabu? Tupe mstari kutoka kwenye biblia.sio unaongea tu kama upo na wajinga wa kwenye kahawa hapa. Tunajua mke wa Musa alikuwa ni mweusi asili yake ni Ethiopia. Na utuonyeshe mahali ambapo huyo mwarabu alipanda mlima Sinai kuwafundisha waisrael
 
Moses ni mmisri yule,,hata jina lake asili yake ni misri,
Moses,Amos ni majina ya kimisri,,
Kikubwa ni kuwa,hapajaoata kuwepo myahudi alieitwa moses,, hadithi kuhusu moses ni ngano za kubuni
Kwahiyo wewe ukipewa jina la Frank tayari unakuwa ni mzungu? Alipewa jina la kimisri kwasababu yule bint aliemuokota alikuwa ni mmisri. Au ulitaka akae bila jina?
 
Wewe ndo unatakiwa unionyeshe mahali wameandika Musa muislamu kama unavyodai. Wewe ndo umeleta haya ya Musa ni muislamu..prove it!
Umesahau kama ulisema huwezi kuutenganisha Uyahudi na Musa. Na mimi nimekupa kazi uonyeshe muunganiko wa Musa na Uyahudi.

Anasema Allah mtukufu :

44. Hakika Sisi tuliteremsha Taurati yenye uwongofu na nuru, ambayo kwayo Manabii walio nyenyekea kiislamu, na wachamngu, na wanazuoni, waliwahukumu Mayahudi; kwani walikabidhiwa kukihifadhi Kitabu cha Mwenyezi Mungu. Nao wakawa ni mashahidi juu yake. Basi msiwaogope watu, bali niogopeni Mimi. Wala msibadilishe Aya zangu kwa thamani chache. Na wasio hukumu kwa aliyo teremsha Mwenyezi Mungu, basi hao ndio makafiri. (al-Maaidah : 44)
 
Imeandikwa wapi hii alienda kuoa mwarabu? Tupe mstari kutoka kwenye biblia.sio unaongea tu kama upo na wajinga wa kwenye kahawa hapa. Tunajua mke wa Musa alikuwa ni mweusi asili yake ni Ethiopia. Na utuonyeshe mahali ambapo huyo mwarabu alipanda mlima Sinai kuwafundisha waisrael
Usikasirike mkuu,nina ushahidi wa maandiko,,baba mkwe wa moses ndio aliwafundisha dini wazee wa ki israel,,nasema ki israel,maana imani ya kiyahudi,haikuwepo kipindi hicho,kipindi cua sauli,au hata solomon,,
Dini ya kiyahudi imeanza rasmi baada ya waisrael kurudishwa toka utumwani na king wa uajemi,
King wa uajemi ndo aliamuru Ezra kama si josia kuya consolidate maandiko ya wazee wa kiyahudi na ndiposa imani ya kiyahudi ilipoanza.
Soma maandiko kwa makini
 
Kwahiyo wewe ukipewa jina la Frank tayari unakuwa ni mzungu? Alipewa jina la kimisri kwasababu yule bint aliemuokota alikuwa ni mmisri. Au ulitaka akae bila jina?
Sawa hapo sikubishii sana,kuwa inawezekana,,
Haya niambie ilikuaje mji wa jerusalem uliokua na jina la miungu wa kipagani uendelee kujulikana hivyo na uwe mji mtakatifu kama si hekaya,,
Ilikuaje jina la mungu wa kipagani El. Liendelee kutumia kutambulisha israel,,kwanini haikuitwa Israyahwew.
El ni mungu wa kipagani,alieabudiwa na jamii za caanan,kabla hata Abraham hajahamia caanan kutokea Ur,mesopotamia
 
Umesahau kama ulisema huwezi kuutenganisha Uyahudi na Musa. Na mimi nimekupa kazi uonyeshe muunganiko wa Musa na Uyahudi.

Anasema Allah mtukufu :

44. Hakika Sisi tuliteremsha Taurati yenye uwongofu na nuru, ambayo kwayo Manabii walio nyenyekea kiislamu, na wachamngu, na wanazuoni, waliwahukumu Mayahudi; kwani walikabidhiwa kukihifadhi Kitabu cha Mwenyezi Mungu. Nao wakawa ni mashahidi juu yake. Basi msiwaogope watu, bali niogopeni Mimi. Wala msibadilishe Aya zangu kwa thamani chache. Na wasio hukumu kwa aliyo teremsha Mwenyezi Mungu, basi hao ndio makafiri. (al-Maaidah : 44)
Acha mambo ya uongo uongo na kuramba miguu waarabu. Wapi wameandika " manabii walionyeyekea kiislamu" katika hii aya? Usiwe mtumwa wa waarabu
Screenshot_20210623-180442.png
 
Imeandikwa wapi hii alienda kuoa mwarabu? Tupe mstari kutoka kwenye biblia.sio unaongea tu kama upo na wajinga wa kwenye kahawa hapa. Tunajua mke wa Musa alikuwa ni mweusi asili yake ni Ethiopia. Na utuonyeshe mahali ambapo huyo mwarabu alipanda mlima Sinai kuwafundisha waisrael
Jethro baba mkwe wa moses,,alikua ni kasisi wa wa Midian,,
Rudi nyuma,maandiko yanadai yusufu alipitupwa kisimani na kaka zake,wa Midian ndo walimuokoa na kumpeleka misri kumuuza,
Maandiko yanaonyesha midian ni waarabu,
Midiani ilikuwa located eneo ambalo leo ni saudi arabia.
Suala la baba mkwe kuwafundisha dini soma kutoka 18 yote
 
Imeandikwa wapi hii alienda kuoa mwarabu? Tupe mstari kutoka kwenye biblia.sio unaongea tu kama upo na wajinga wa kwenye kahawa hapa. Tunajua mke wa Musa alikuwa ni mweusi asili yake ni Ethiopia. Na utuonyeshe mahali ambapo huyo mwarabu alipanda mlima Sinai kuwafundisha waisrael
Screenshot_20210623-183627.png
 
Acha mambo ya uongo uongo na kuramba miguu waarabu. Wapi wameandika " manabii walionyeyekea kiislamu" katika hii aya? Usiwe mtumwa wa waarabuView attachment 1827761
Nimecheka sana,kwanza weka matini ya aya kwa ukamilifu kijana. Aya umeikata hiyo.

Inaonekana hujui kusoma Qur'aan. Ukiangalia tarjama ya Kiingereza na hiyo ya Kiswahili haitofautiani,na wewe matini ya aya uliyo iweka imeanzia hapa :

"....they were made keepers. So do not fear the people......".

Sasa niwekee matini ya kiarabu kuanzia hapa : " In deed we revealed the Torah...."

Nakufundisha siku nyingine usiwe unaandika mambo usiyo yajua.

Matini ya aya kwa ukamilifu wake ni :

1624466183630.png
 
Sasa kama ulishindwa kujua hicho ulicho quote nimekiandika mimi, vipi uone kama hakuna haja ya mjadala baada ya kushindwa kwako kuelewa matumizi ya neno kwa munasaba wa jambo husika ?
Mkuu,unalazimisha mambo rahisi kabisa yaonekane magumu kwa faida ya mtazamo wako,we cant go down to your self honored point of view,unalazimisha vita ipiganiwe chumbani kwako kwa kuwa wewe unaijua vyema jiografia ya chumba chako? No!!kkama muislam mwenzako akibisha kuwa mohamad siyo mtume wa ALLAH basi unaweza kutumia hiyo mechanism kumshurutisha!! Si nje ya hapo.
 
Nimecheka sana,kwanza weka matini ya aya kwa ukamilifu kijana. Aya umeikata hiyo.

Inaonekana hujui kusoma Qur'aan. Ukiangalia tarjama ya Kiingereza na hiyo ya Kiswahili haitofautiani,na wewe matini ya aya uliyo iweka imeanzia hapa :

"....they were made keepers. So do not fear the people......".

Sasa niwekee matini ya kiarabu kuanzia hapa : " In deed we revealed the Torah...."

Nakufundisha siku nyingine usiwe unaandika mambo usiyo yajua.

Matini ya aya kwa ukamilifu wake ni :

View attachment 1827841
Unakwepa ukweli..hawajasema kunyenyekea kiislamu..wamesema kunyenyea Allah.. vitu ambavyo ni tofauti
 
Jethro baba mkwe wa moses,,alikua ni kasisi wa wa Midian,,
Rudi nyuma,maandiko yanadai yusufu alipitupwa kisimani na kaka zake,wa Midian ndo walimuokoa na kumpeleka misri kumuuza,
Maandiko yanaonyesha midian ni waarabu,
Midiani ilikuwa located eneo ambalo leo ni saudi arabia.
Suala la baba mkwe kuwafundisha dini soma kutoka 18 yote
Hamna haja hata ya kubishana sana maana biblia yenyewe inapingana, huku inasema hivi,kule inasema vile.
 
Mkuu,unalazimisha mambo rahisi kabisa yaonekane magumu kwa faida ya mtazamo wako,we cant go down to your self honored point of view,unalazimisha vita ipiganiwe chumbani kwako kwa kuwa wewe unaijua vyema jiografia ya chumba chako? No!!kkama muislam mwenzako akibisha kuwa mohamad siyo mtume wa ALLAH basi unaweza kutumia hiyo mechanism kumshurutisha!! Si nje ya hapo.
Kosoa nilicho kiandika. Kinyume na hapo huna hoja.

Lingine hakuna muislamu ambaye anaweza kusema ya kuwa Mtume Muhammad si Mtume wa Allah. Hilo halipo.

Rekebisha kiti chako kisha ukipambe.
 
Unakwepa ukweli..hawajasema kunyenyekea uislamu..wamesema kunyenyea Allah.. vitu ambavyo ni tofauti
Nazidi kucheka sababu unaonekana hujui kusoma Qur'aan.

Nionyesha hiyo sehemu katika aya hakuna hiyo sehemu. Tena ukisoma matini ya aya kuna tamko "Aslaam".

Nimekupa kazi kwanini umeweka kipande cha matini ya aya ukaacha matini ya mwanzo ambayo imeongelea Taurati na Kiislamu ?

Ukimuita mwenzako anayejua kusoma atakucheka. Yaani kijana una vituko balaa. Someni aisee.
 
Labda tuongee kielimu,naomba ushahidi unao onyesha ya kuwa kipindi musa yupo Uyahudi ulikuwepo.

Uyahudi kuwepo kabla ya Uislamu alio kuja nao mtume Muhammad hii si hoja,wala si hoja ya kuonyesha Uyahudi na nabii Musa ni kitu kimoja.
Twende sawa uislamu ulianza lini?na ukristo nauyahudi ulianza lini?mwenye akili timamu atajua tu uislamu ni falsafa mfu ya kukopi na paste kati ya ukristo na uyahudi.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hadithi za moses zinasema,aliua mfanyakazi wa farao,kwa kumnyonga,kisha akakimbilia uarabuni kuepuka kukamatwa,huko akaoa mtoto wa mzee mmoja wa kiarabu,,huyo mzee ndio alimfundisha dini moses,,moses aliporudi misri,,kipindi wametoka misri,,katika mlima sinai,,moses alimwita baba mkwe wake aje kuwafundisha dini wazee wa ki israel,yule mzee wa kiarabu alipanda na hao wazee mlima sinai na akawa introduce kwenye dini yake,,hii kazi ilifanywa na mkwe wa moses na si moses..
Uislamu ulianza lin?

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom