Kuzaa mapema sio kupata msaada/ suluhu za uzeeni

Umesema kweli siku hizi kumekuwepo na kasumba mtu akishindwa jambo anataka na wenzie wawe kama yeye mfano huyo hapo anae pinga kuzaa mapema
 
Mwanaume akisha barekhe tayali kakomaa akili hata mwanamke akiweza kujifungua akili yake imekomaa inategemea na malezi walio yapata kwao
 
Mimi nimezungumzia kuzaa mapema, sinazungumzia kuchelewa kuzaa.
Jambo moja la hakika ni kuwa Matokeo ya kuzaa mapema na kuchelewa kuzaa yanafanana Kwa kiwango kikubwa.
Sio kweli alie wai na alie chelewa awawezi kuwa sawa
 
Akili ndogo mzazi wako tangu lini akawa mzigo kwako kuna kitu kizuri duniani kama kumuhudumia mzazi akili zako zinaweza watoto na mkeo basi wazazi huna habari nao [emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957]
 
Mtoto kwa nini usimpe mzazi wako kadili ya kipato chako?hizi elimu za kizungu zinaambukiza uchoyo wakati huo wazazi wako wakifa njaa ukweni unahudumia kama kawa
 
Miaka 30 ni mtu mzima bhana kama bado yuko na akili za kitoto basi ni punguwani
 
Wazazi wa kiafrika wana vituko sana...yaan ni anazaa kwa ajili ya kupata faida Fulani mbeleni kutoka kwa mtoto mweeh,[emoji848]
Nyiyi ndio mbakana wazazi wenu hata usipo mpa sehemu ya kipato chako utawapa wengine si bora umpe mzazi wako alie kufia ukiwa tumboni mwake?na kumkojolea na kumyea mzazi ni mzazi tu hata mjitoa akili kujifananisha na hayawani(mzungu)
 
Kuzaa mtoto na kumpeleka kwa Bibi kwetu ni Sunna.. Tena nafosiwa kabisà.

Sababu mosi- Kama ulivyoainisha hata nipate mtoto nikiwa na miaka above 30 bado sijakomaa kila nyanja katika kumlea huyo mtoto. Lazima alelewe na Bibi yake (mama yangu Mimi /nyanya Ake kama yupo .

Pili nia na madhumuni ni kumkuza kiutamaduni ,kifalsafa na kintazamo Namna ambavyo nimekuwa Mimi , maana nitakuwa busy kupambana nikiwa sina muda WA kumlea ...


Ngachoka
 
Post modernism inakusumbua
 
Huo muonekano una impact gani as long as una uwezo wa kuwalea? Kwani wewe unaishi kwa kutegemea wengine watakuchukuliaje au unaishi maisha yako?
 
Wakati mwingine unamuona mtu haeleweki kwa sababu wewe ndiye umeshindwa kumuelewa.
 
Swala la kuzaa muda gani haliwezi kuwa na majibu ya kueleweka. Vyote ni probability tu. Unaweza kuzaa mapema ili watoto wakufae baadae na isiwe hivyo. Na inaweza hata kutokea mtoto umemsomesha na yupo vizuri ila asikufae kwa lolote au hata akafa kabisa.

Mimi naona mtu azae pale anapokua tayari malezi ya mtoto, haijalishi ni kuwahu au kuchelewa. Unapozaa lengo kubwa liwe kuleta kizazi kitakachokua n mafanikio dunia. Hapo ujipanhe kumwelekeza na kumuwezesha huyu mtoto kufikia kilr tunaita mafanikio. Zaa na kulea vizuri ukiwa hutegemei return kutoka kwa mtoto, kwani hayo nimatokeo tu
 
Kaka kila mtu na akili yake kwenye hii unia. Ninawaonq waajiriwa wengi sana hasa wa serikali wakishapata ajira tu priority ni kuoa na kuanza familia. Nafikiri wana mawazo kama haya. Ila watu wanowaza kufanya shughuli zao na kuwekeza huoa nakuzaa nbaada ya muda sana.

Aliyeajiriwa huwaza kama wewe uwazavyo kwamba niwahi niwasomeshe hawa watoto kabla sijastaafu. Ni sahihi, ila fikiria vipi ukifa leo watoto wako watasoma?

Aliyejiajiri huwaza kuwekeza zaidi, akisha kuwa sawa kwa kiwango akitakacho ndio huanzisha familia. Yeye huwaza kuwa hata siku akifa na mtoto akwa na miaka 5, mtoto anaweza kusoma na kuishi vizuri kwa miradi atakayoiacha. Ndio maana huwa wanapambana sana kuweka misingi mizuri ya miradi yao.

Pole kaka utashinda tu. Ila fikiria zaidi kuwawekea miradi hao vijana. Maana maisha ya leo elimu pekee haitodho kumfanya mtoto asikutegemee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…