Wazazi wa kiafrika tibadilike Zara na somesha watoto kulingana na kipato chako,habari ya kusomesha watoto zaidi ya kipato unakopa na kulipa kwa jasho likikutoka kwa vigezo watakusaidia uzeeni ni kama unawatunzia laana wanao ni suala la muda tu unaitoa kwao kwa kuwa wameshindwa kurudisha fadhila,baadhi ya wazazi mnawapa wanenu mzigo mkubwa hamjui tu hasa hawa first born au waliofamikiwa kutoboa wanalemewa kwa wingi wa wategemezi,wazazi jipangeni kwa ajili ya uzee kama bado nguvu ipo na ulikuwa ukifanya shughuli yyte endelea kufanya hata mtt anapotaka kufanya maendeleo anaanzia ulipoishia anaendeleza..let's say huwa umejenga ,pengine pesa ya kula tu mtihani na huna shughuli yyte ya kufanya,unategemea mwanao ayatimize yote hayo while na yy anafamilia tayari,lakin endapo kama mzazi angekuwa na uhakika wa kula kwa kufanya shughuli yyte ya kipato mtt ungeanza na ujenzi..WAZAZI TUANDAE MAISHA YETU YA UZEENI TUSIWAPE MZIGO MKUBWA WATOTO,wengi wao wakishamaliza kusomesha wanataka wavune walichpanda ndo chanzo cha magomvi na wakwe zao kwa wivu wa kipuuuzi kuona wanafaidi sana kuliko wao