Kuzaa na mtu hakukupi haki ya kufanya naye ngono kila utakapo!

So ndio Apo jamaa kaiomba kijeuri sisi tunakula mpaka ma ex zetu walioolewa demu Kama ulishampitia ujanja hana
 
Hivi Kwanini Sheria za kuhudumia watoto bongo ziko nyuma sana.
Au hazifuatwi.?
Wanaharakati wa kijinsia mko wapi?
Ndio maana watu wawapa mimba watoto wa watu ovyoovyo, wakijua wanaweza kwepa "Child Support".
Hata mbele zinafanya kazi iwapo men Ana hela
 
Ila wanaume sisi, yani watoto wakwako mwenyewe kuwahudumia hataki kisa umenyimwa mbususuπŸ˜‚. Shikilia hapo hapo dada akitaka mbususu akapewe na mkewe hukoπŸ˜‚
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ Ata Mimi haiwezekani nkupe matumizi alafu nsikukule
 
Ila wanaume sisi, yani watoto wakwako mwenyewe kuwahudumia hataki kisa umenyimwa mbususuπŸ˜‚. Shikilia hapo hapo dada akitaka mbususu akapewe na mkewe hukoπŸ˜‚
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ Ata Mimi haiwezekani nkupe matumizi alafu nsikukule
 
nikama vile hukumpa mbususu kwasababu hakukupa ada ya watoto, kumbe angekupa ada ya watoto na kuzidisha kidogo UNGETOA MAKU YAKO, na hapo ndio hoja yetu ilipo.
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ So ndio Apo yeye kagoma coz jamaa Hana mtonyo
 
πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„ Msela kampanga kwenda kukopa
 
Ushauri wako ni mzuri,lakini wengi huo mtego huwa hawachomoki,akiombwa anajikuta kaingia tena,kumbe mwenzake anataka kumuonja,wakati yeye ana amini kuwa jamaa ndio anarudi...
Sio wengi wote hata huyo angepewa ada asingechomoka
 
Mkuu kuna watu wameachana na wanakutana lkn hawapeani,yani wanakutania barabarani,kama may b baba anataka kuwaona watoto anawachukua anaenda nao,kuwarudisha pia hivyo hivyo,haya mambo ni msimamo tu.
Ukiona ivyo ujue mwanaume hataki shobo
 
Unatakiwa upate mume asiyejali, watoto wapelekwe nje wakasome huku ww ukibaki mjini ukinawirishwa. Hapo ndo utajua wanaume huwa wanalilia mwanamke kwa mgongo wa haki ya kuwaona watoto.

Hili lilimtokea muuza mkaa mmoja aliyemwacha mkewe. Mwamba alipanik sana. Pigana sana ila ndo hivyo kukutana na x-wife ni shughuli. Kila akiulizwa kilio wale ni wanangu, damu yangu.

Wanaume ni kama huwa hatuamini pale mwanamke uliyemuacha akichukuliwa na mwanaume mwingine mwenye nguvu ya kifedha halafu akampa kila kitu X-wife.

Huwa inatesa sana baadhi ya watu. Hapo atajifanya kufuatilia damu yake ila ukikaa bila mtu wala humuoni akipigania damu yake.
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Uyo mwamba aliemkulia jamaa simlaumu mm kuna mshikaji kamuoa mzazi mwenzangu akaanza kunisagia kunguni hata kumuona mwanangu nakaziwa,Tena akawa ananipigia na simu za kejeli nlichofanya nkakaa kimya nkatafuta hela one day nkatuma laki mbona alikileta mwenyewe nkakifinya na mkongo
 
Apo chacha mpaka umpate mwanaume was ivyo noi ishu
 
Reactions: Tsh
Apo chacha mpaka umpate mwanaume was ivyo noi ishu
Ni kweli mkuu ila Kuna mabinti wana bahati tu. Usiombe uwe na binti kama huyu umzalishe umwache halafu apate anayekuzidi fedha na ampende yeye na mwanao.

Utateseka sana na wivu. Hata ukijifanya huumii marafiki watakukumbusha tu kuwa kuna mwamba anakula mama. Hawatakumbuka kuwa ww ndo ulimwacha utaonekana ww ndo dhaifu.
 
Huu ni mtego.
Inawezekana kabisa single mom asilale na baba watoto wake?
 
Ni kwasababu hakuhudumii, ila angetoa huduma asilimia 100% nafikiri usingeandika haya maneno.
Kiufupi umekosa security kutoka kwake.
 
Exactly.
Less masculine
 
Reactions: Tsh
Ni kwasababu hakuhudumii, ila angetoa huduma asilimia 100% nafikiri usingeandika haya maneno.
Kiufupi umekosa security kutoka kwake.
Kwahyo ww kuhudumia wanao had upewe mbususu? elewa hoja mm nmesema ameacha kuhudumia sabb simpi. umeshindwa kuelewa kuwa alikua anahudumia nyuma. ila kisa nmegoma ndo hahudumii. kwann sikumpa huko nyuma alivyokua anahudumia?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…