Kuzaa na mtu hakukupi haki ya kufanya naye ngono kila utakapo!

Kuzaa na mtu hakukupi haki ya kufanya naye ngono kila utakapo!

Jamaa yako anapigo za kishamba tu, lakini mimi ukishanizalia na tukaachana, amini kwamba nitakuwa nakula anytime ninapojisikia na mbinu mojawapo ya kukufanya uwe unakileta mwenyewe ni kama alivyosema mkuu Carlos hapo juu.

Hiyo ni mbinu mojawapo tu ya kivita, lakini zipo nyingi sana za kukufanya uwe unaileta mbunye mwenyewe bila bugza yoyote.
So ndio Apo jamaa kaiomba kijeuri sisi tunakula mpaka ma ex zetu walioolewa demu Kama ulishampitia ujanja hana
 
Hivi Kwanini Sheria za kuhudumia watoto bongo ziko nyuma sana.
Au hazifuatwi.?
Wanaharakati wa kijinsia mko wapi?
Ndio maana watu wawapa mimba watoto wa watu ovyoovyo, wakijua wanaweza kwepa "Child Support".
Hata mbele zinafanya kazi iwapo men Ana hela
 
hakuna mwanamke atahududiwa vyema na watoto wake kutunzwa na mtaliki ati na akawa mgumu kutoa mbususu kwa mtaliki anaewajali. Tusidanganyane hapa na kupotezeana muda.

haiwezekani kuziba tundu la panya kwa mkate. Wewe unamahasira yako ya kunyimwa ada ndio maana UMEJITIA KAUZU.

na jambo la ziada masingle mother hua mnajivika kua victims sana ili hali wote tunajua 98% ya mahusiano na ndoa huvunjika kutokana na ujuaji, viburi na jeuri zenu.
😄😄😄😄😄 Msela kampanga kwenda kukopa
 
Ushauri wako ni mzuri,lakini wengi huo mtego huwa hawachomoki,akiombwa anajikuta kaingia tena,kumbe mwenzake anataka kumuonja,wakati yeye ana amini kuwa jamaa ndio anarudi...
Sio wengi wote hata huyo angepewa ada asingechomoka
 
Mkuu kuna watu wameachana na wanakutana lkn hawapeani,yani wanakutania barabarani,kama may b baba anataka kuwaona watoto anawachukua anaenda nao,kuwarudisha pia hivyo hivyo,haya mambo ni msimamo tu.
Ukiona ivyo ujue mwanaume hataki shobo
 
Unatakiwa upate mume asiyejali, watoto wapelekwe nje wakasome huku ww ukibaki mjini ukinawirishwa. Hapo ndo utajua wanaume huwa wanalilia mwanamke kwa mgongo wa haki ya kuwaona watoto.

Hili lilimtokea muuza mkaa mmoja aliyemwacha mkewe. Mwamba alipanik sana. Pigana sana ila ndo hivyo kukutana na x-wife ni shughuli. Kila akiulizwa kilio wale ni wanangu, damu yangu.

Wanaume ni kama huwa hatuamini pale mwanamke uliyemuacha akichukuliwa na mwanaume mwingine mwenye nguvu ya kifedha halafu akampa kila kitu X-wife.

Huwa inatesa sana baadhi ya watu. Hapo atajifanya kufuatilia damu yake ila ukikaa bila mtu wala humuoni akipigania damu yake.
 
Maisha yana changamoto nyingi; itokeapo mtu anakuwa na mahusiano mengi, kwa mazingira ya kawaida gharama pia uongezeka, na kupelekea mtu kuwa wa kutoa ahadi tu kuliko kutekeleza.
Nachoweza kushauri; jaribu kumsahahu huyo uliyezaa naye na pambana na maisha yako, ingawa watoto wakikua bado watamuitaji baba yao.
Kuhusu kukumbushia, hii inategemea na wewe una mahusiano gani kwa sasa; kama uko kwenye mahusiano hakuna shida, ila kama hauna ni vizuri pia kukumbushia kwa ajili ya afya ya mwili na akili, huku mkijadili maendeleo ya watoto wenu.
😀😀😀😀😀😀
 
Uyo mwamba aliemkulia jamaa simlaumu mm kuna mshikaji kamuoa mzazi mwenzangu akaanza kunisagia kunguni hata kumuona mwanangu nakaziwa,Tena akawa ananipigia na simu za kejeli nlichofanya nkakaa kimya nkatafuta hela one day nkatuma laki mbona alikileta mwenyewe nkakifinya na mkongo
 
Unatakiwa upate mume asiyejali, watoto wapelekwe nje wakasome huku ww ukibaki mjini ukinawirishwa. Hapo ndo utajua wanaume huwa wanalilia mwanamke kwa mgongo wa haki ya kuwaona watoto.

Hili lilimtokea muuza mkaa mmoja aliyemwacha mkewe. Mwamba alipanik sana. Pigana sana ila ndo hivyo kukutana na x-wife ni shughuli. Kila akiulizwa kilio wale ni wanangu, damu yangu.

Wanaume ni kama huwa hatuamini pale mwanamke uliyemuacha akichukuliwa na mwanaume mwingine mwenye nguvu ya kifedha halafu akampa kila kitu X-wife.

Huwa inatesa sana baadhi ya watu. Hapo atajifanya kufuatilia damu yake ila ukikaa bila mtu wala humuoni akipigania damu yake.
Apo chacha mpaka umpate mwanaume was ivyo noi ishu
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Apo chacha mpaka umpate mwanaume was ivyo noi ishu
Ni kweli mkuu ila Kuna mabinti wana bahati tu. Usiombe uwe na binti kama huyu umzalishe umwache halafu apate anayekuzidi fedha na ampende yeye na mwanao.

Utateseka sana na wivu. Hata ukijifanya huumii marafiki watakukumbusha tu kuwa kuna mwamba anakula mama. Hawatakumbuka kuwa ww ndo ulimwacha utaonekana ww ndo dhaifu.
 
Habari zenu wanajukwaa,

Kumekuwa na trend ya kudharau sana single mothers wakidai kuwa lazima aliwe na aliyemzalisha. Hii ni dhana potofu na nafikiri inatengenezwa na hawa waliozaa na wanawake hawa.

Mimi ni single mother niliolewa kabisa tukashindwana tukaachana na mwenzangu kashaoa na ana watoto wengine. Mwaka jana alipiga kimya kwenye ada na matumizi ya watoto wake nikahustle mwenyewe hadi mwaka ukaisha.

Mwaka huu alinicheck kuwa anataka kuwaona wanae nikamwambia ruksa waone. Akaniuliza kuhusu ada nkampa mkeka, akadai hayuko vizuri. Nikamwambia nitamsaidia kukopa ila atakapolipa alipe na riba yake akakubali.

Nikapewa Tshs. 50,000 ya kununua vifaa sikulalamika, nikasema hayupo vizuri kwa sasa. Nashangaa anaanza kusema kamiss misosi yangu nkamwambia siwezi mpikia tena, akasema amemiss mbususu na show kali nkamwambia tushaachana haitakuja kutokea.

Nyie watu; imefika muda wa kulipa (technically nilikadiria sababu ada nishalipa baada ya kusota mwaka jana sikutaka ijirudie nkajipanga). Napiga simu haipokelewi wala message sijibiwi tena.

Kisa nimekataa kutoa show mtu kagoma kuhudumia wanae?? he he.

Nawasihi single mothers wenzangu usikubali kutumika kwa majukumu ya mtu. Kama anafanya afanye hataki pambana.

Nawapenda
Huu ni mtego.
Inawezekana kabisa single mom asilale na baba watoto wake?
 
Habari zenu wanajukwaa,

Kumekuwa na trend ya kudharau sana single mothers wakidai kuwa lazima aliwe na aliyemzalisha. Hii ni dhana potofu na nafikiri inatengenezwa na hawa waliozaa na wanawake hawa.

Mimi ni single mother niliolewa kabisa tukashindwana tukaachana na mwenzangu kashaoa na ana watoto wengine. Mwaka jana alipiga kimya kwenye ada na matumizi ya watoto wake nikahustle mwenyewe hadi mwaka ukaisha.

Mwaka huu alinicheck kuwa anataka kuwaona wanae nikamwambia ruksa waone. Akaniuliza kuhusu ada nkampa mkeka, akadai hayuko vizuri. Nikamwambia nitamsaidia kukopa ila atakapolipa alipe na riba yake akakubali.

Nikapewa Tshs. 50,000 ya kununua vifaa sikulalamika, nikasema hayupo vizuri kwa sasa. Nashangaa anaanza kusema kamiss misosi yangu nkamwambia siwezi mpikia tena, akasema amemiss mbususu na show kali nkamwambia tushaachana haitakuja kutokea.

Nyie watu; imefika muda wa kulipa (technically nilikadiria sababu ada nishalipa baada ya kusota mwaka jana sikutaka ijirudie nkajipanga). Napiga simu haipokelewi wala message sijibiwi tena.

Kisa nimekataa kutoa show mtu kagoma kuhudumia wanae?? he he.

Nawasihi single mothers wenzangu usikubali kutumika kwa majukumu ya mtu. Kama anafanya afanye hataki pambana.

Nawapenda
Ni kwasababu hakuhudumii, ila angetoa huduma asilimia 100% nafikiri usingeandika haya maneno.
Kiufupi umekosa security kutoka kwake.
 
Ni kweli mkuu ila Kuna mabinti wana bahati tu. Usiombe uwe na binti kama huyu umzalishe umwache halafu apate anayekuzidi fedha na ampende yeye na mwanao.

Utateseka sana na wivu. Hata ukijifanya huumii marafiki watakukumbusha tu kuwa kuna mwamba anakula mama. Hawatakumbuka kuwa ww ndo ulimwacha utaonekana ww ndo dhaifu.
Exactly.
Less masculine
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Ni kwasababu hakuhudumii, ila angetoa huduma asilimia 100% nafikiri usingeandika haya maneno.
Kiufupi umekosa security kutoka kwake.
Kwahyo ww kuhudumia wanao had upewe mbususu? elewa hoja mm nmesema ameacha kuhudumia sabb simpi. umeshindwa kuelewa kuwa alikua anahudumia nyuma. ila kisa nmegoma ndo hahudumii. kwann sikumpa huko nyuma alivyokua anahudumia?
 
Back
Top Bottom