Kuzaa na mtu hakukupi haki ya kufanya naye ngono kila utakapo!

Kuzaa na mtu hakukupi haki ya kufanya naye ngono kila utakapo!

Kwahyo ww kuhudumia wanao had upewe mbususu? elewa hoja mm nmesema ameacha kuhudumia sabb simpi. umeshindwa kuelewa kuwa alikua anahudumia nyuma. ila kisa nmegoma ndo hahudumii. kwann sikumpa huko nyuma alivyokua anahudumia?
Umesoma nyuzi zangu zote au umeparamia tu?
Hebu soma zote
 
Back
Top Bottom