Kuzaliana kunamsaidia nini kiumbe anayezaa?

Kuzaliana kunamsaidia nini kiumbe anayezaa?

Kuzaa kunafaida ya kujihisi raha tu 😁 unapowaona watoto wako na kuwafundisha fundisha vitu, BINADAMU WOte tunapenda tuonekane tunajua vitu na kutaka umpate mtu wa kumfundisha mambo, Sasa ule muda unamfundisha ndio raha Tena hasa akaelewa.
Hi ipo kwa kuku pia anapenda pia kufundisha vifaranga kuparua chakula,njia za mpambano nk
Huu uzi burudani sana, kuna tujibu tuzuri mnoo 😂😂
 
Faida moja ya kuzaliania Kwa viumbe mbalimbali unapata kitu kinaitwa balance of nature faida ya pili unapata kutambua vyanzo vya maisha ya viumbe mbalimbali mfano binadamu,Simba,nyoka
 
Mwili wa binadamu na viumbe wengine wote unahangaika sana na mambo mawili. Kusurvive na kuzaliana. Sasa najiuliza kuzaliana kunamsaidia nini kiumbe anayezaa. Kuendeleza kizazi cha ng'ombe, kunamsaidia nini ng'ombe anayezaa. Binadamu walioishi miaka ya BC huko, wanafaidika vipi na kuendeleza uzao wa binadamu? Kungekuwa hamna kufa ningeweza kidogo kuelewa.

Zaidi naona uzazi unamnyonya mzazi kiafya, kichumi nk. Kuzaliana kunamsaidia nini anayezaa?
Subiri uzee utapata majibu mpaka ya ziada
 
Unataka kuwa mpweke mwenye mawazo na depression maisha yako yote na kukosa hata mtu wa kukupeleka hospitali siku ukiumwa, kukusaidia ukipata shida yoyote na kukufariji alafu mwisho wake ujifie ndani peke yako na uje kuzikwa na serikali siku ukifa na usahulike ndani ya saa 24? basi usizae mkuu.

Na nina uhakika umefikiria na kuandika haya sababu huna mtoto wala mke na upweke ndio umekufikisha hapa.
Ila mtu mwenye familia hawezi kukaa kufikiria haya bali muda wote atakuwa anacheka na watoto na wajukuu zake na kusahau kabisa kwanini yupo duniani au awe anapamba na umasikini na maisha ili watoto wale.
Imagine hapo bado una nguvu je ukiwa na miaka 70?

Kingine ni kwamba huwezi kumkuta tajiri anafikiria dhumuni la maisha bali utakuta yupo busy masaa 24 anafikiria jinsi ya kuendesha company na kudominate soko. vacations plans na mke na watoto wake, jumamosi kuna movie inatoka waende mlimani city pamoja na amesahau kununua tickets. yaani yuko busy na muda hautoshi.
lla masikini tu ndio utakuta ana mawazo kama haya sababu ya shida na kukosa cha kufanya wala kitu cha msingi cha kufanya. hivyo pambana na umasikni sasa hivi kizazi chako kisiwe kama wewe.

Watu ndio chanzo cha furaha ya kweli na hakuna watu wengine watakaokupa furaha na kukufariji zaidi ya familia yako.
Basi usizae mkuu lakini ukizeeka ndio utaona umuhimu wa kuzaa na kuwa na familia na hapo ndio utajua faida yake.
 
Kuzaana ni agizo la Mungu. Na tunazaana kimwili tukae duniani kwa muda flani, ila kiroho tulikwepo na tutakwepo milele. Duniani ni uwanja wa kuyatengeneza maisha yajayo ya milele, tumche Mungu kisha tuishi naye milele (kwenye mbingu mpya na nchi mpya) tukimwasi Mungu tutaishi na shetani milele (kwenye ziwa la moto). Wakati wa kuchagua maisha ya milele ni sasa. Siku na Saa ya wokovu ni sasa. 2KOR 6:2


YESU KRISTO NI BWANA NA MWOKOZI
Huwezi kuja na sababu kutoka kwenye vitabu vya uongo kama Biblia na Quran kwenye mada fikirishi.. Hivyo vitabu ni kusimulia watoto kabla ya kulala
 
Halafu pia, sio kila jambo lifanyikalo ni lazima liwe na faida unayoweza kuiona. Mipango na mapenzi ya Mungu ni zaidi ya jinsi tunavyoweza kuona ana kuelewa.

Jambo ambalo ninataka nikuhakikishie ni kuwa viumbe wote (wanaoonekana na wasioonekana) wako kwa makusudi na mpango wa Mungu. Hawapo kwa bahati mbaya. Everything is by design and not by chance!


Jesus is LORD.
Yani maisha niyaishi mimi alafu nisitake faida niipatayo katika maisha? Sasa si angekuja huyo Mungu kuishi akaachana na mimi 🤔
 
Mkuu mwili wa binadamu una rubi, almasi, tanzanite, uranium?
Hiyo nishati hutokana na nini Chifu?

Au wadhani madini ni dhahabu, chuma yatokayo ardhini pekee bila kujua hata mwilini mwako umejawa na madini [emoji848][emoji38]
 
Back
Top Bottom