Uhakika Bro
JF-Expert Member
- Mar 29, 2022
- 3,644
- 4,315
Huu uzi burudani sana, kuna tujibu tuzuri mnoo 😂😂Kuzaa kunafaida ya kujihisi raha tu 😁 unapowaona watoto wako na kuwafundisha fundisha vitu, BINADAMU WOte tunapenda tuonekane tunajua vitu na kutaka umpate mtu wa kumfundisha mambo, Sasa ule muda unamfundisha ndio raha Tena hasa akaelewa.
Hi ipo kwa kuku pia anapenda pia kufundisha vifaranga kuparua chakula,njia za mpambano nk
😁😁😁
Huu uzi burudani sana, kuna tujibu tuzuri mnoo 😂😂
Subiri uzee utapata majibu mpaka ya ziadaMwili wa binadamu na viumbe wengine wote unahangaika sana na mambo mawili. Kusurvive na kuzaliana. Sasa najiuliza kuzaliana kunamsaidia nini kiumbe anayezaa. Kuendeleza kizazi cha ng'ombe, kunamsaidia nini ng'ombe anayezaa. Binadamu walioishi miaka ya BC huko, wanafaidika vipi na kuendeleza uzao wa binadamu? Kungekuwa hamna kufa ningeweza kidogo kuelewa.
Zaidi naona uzazi unamnyonya mzazi kiafya, kichumi nk. Kuzaliana kunamsaidia nini anayezaa?
Nakumbuka hii ilani ilisomwa na chama chetu pale mnazimmoja waliahidi watatusomesheaFyatueni watoto mlishaambiwa, nendeni mkaijaze dunia, ni kutimiza wajibu tu.
Ili iwejefaida ya pili unapata kutambua vyanzo vya maisha ya viumbe mbalimbali mfano binadamu,Simba,nyoka
Nimeshuhudia kuku wanataga mayai hadi wanazeeka. Sijaona faida waliyopata.Subiri uzee utapata majibu mpaka ya ziada
Hata tumbiliNimeshuhudia kuku wanataga mayai hadi wanazeeka. Sijaona faida waliyopata.
Huwezi kuja na sababu kutoka kwenye vitabu vya uongo kama Biblia na Quran kwenye mada fikirishi.. Hivyo vitabu ni kusimulia watoto kabla ya kulalaKuzaana ni agizo la Mungu. Na tunazaana kimwili tukae duniani kwa muda flani, ila kiroho tulikwepo na tutakwepo milele. Duniani ni uwanja wa kuyatengeneza maisha yajayo ya milele, tumche Mungu kisha tuishi naye milele (kwenye mbingu mpya na nchi mpya) tukimwasi Mungu tutaishi na shetani milele (kwenye ziwa la moto). Wakati wa kuchagua maisha ya milele ni sasa. Siku na Saa ya wokovu ni sasa. 2KOR 6:2
YESU KRISTO NI BWANA NA MWOKOZI
ungemwaga tu pumba zako kwa kiswahilimay be we are here on a special mission, nobody knows what that mission is. you die after completing that mission.
Hana lakueleza huyoSasa ww uliyesoma vyote hivyo na ukaelewa, tuambie na sisi tuelewe
Yani maisha niyaishi mimi alafu nisitake faida niipatayo katika maisha? Sasa si angekuja huyo Mungu kuishi akaachana na mimi 🤔Halafu pia, sio kila jambo lifanyikalo ni lazima liwe na faida unayoweza kuiona. Mipango na mapenzi ya Mungu ni zaidi ya jinsi tunavyoweza kuona ana kuelewa.
Jambo ambalo ninataka nikuhakikishie ni kuwa viumbe wote (wanaoonekana na wasioonekana) wako kwa makusudi na mpango wa Mungu. Hawapo kwa bahati mbaya. Everything is by design and not by chance!
Jesus is LORD.
Hiyo nishati hutokana na nini Chifu?
Au wadhani madini ni dhahabu, chuma yatokayo ardhini pekee bila kujua hata mwilini mwako umejawa na madini [emoji848][emoji38]
Yapo bro, yapo...... hujawahi sikia kuwa hata hii hewa tunayovuta inazo microdiamonds from outer space - Louie Schwarzberg, Hidden miracles of the unseen world.Mkuu mwili wa binadamu una rubi, almasi, tanzanite, uranium?