Kuzaliwa na kifo ndiyo ukweli pekee katika maisha! Mengine yote afanyayo binadamu katika maisha yake ni maigizo

Kuzaliwa na kifo ndiyo ukweli pekee katika maisha! Mengine yote afanyayo binadamu katika maisha yake ni maigizo

Samico Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2022
Posts
486
Reaction score
1,237
Vitu pekee ambavyo ni ukweli ni viwili tu kwa mwanadam (kuzaliwa na kufa)
Maisha mengine yote ya mwanadamu ni maigizo!

Chochote afanyacho binadam huwa ni kama scene tu havina ukweli wowote kiuhalisia!

Kwa mfano: Ukiangalia watoto wanavyochezea makopo au wanavyoigiza kibaba baba au kimamamama au chochote ambacho hakina nadharia yoyote zaidi ya kusadikika na kufikirika!

Ndivyo ilivyo hata kwa wakubwa chochote ufanyacho hakina uhalisia wowote bali ni vitu vya kufikirika tu na kusukuma siku ziende.
  • Wengi wanaigiza kuishi kama wanandoa lakini kiuhalisia ni maadui wa baadae (maigizo)
  • Wengi wanaigiza matajiri leo lakini ni masikini wa baadae (maigizo)
  • Wengi wanaigiza maskini leo lakini baadae ni matajiri (maigizo)
  • Wapo walioteuliwa vitengo ili waje kutenguliwa baadae (maigizo)
  • Wapo walioshiba jana lakini wameamka na njaa kali mno (maigizo)
Kila afanyacho binadamu ni maigizo! Inategemea umepangwa kucheza Scene gani katika igizo lako la maisha!

Chochote ufanyacho katika maisha ya binadamu ni Maigizo tu kwahiyo msiwe siliazi sana kwenye hayo maisha yenu maana hata ukikaza haibadili chochote kwenye maigizo yako!
 
Vitu pekee ambavyo ni ukweli ni viwili tu kwa mwanadam (kuzaliwa na kufa)
Maisha mengine yote ya mwanadamu ni maigizo!

Chochote afanyacho binadam huwa ni kama scene tu havina ukweli wowote kiuhalisia!

Kwa mfano: Ukiangalia watoto wanavyochezea makopo au wanavyoigiza kibaba baba au kimamamama au chochote ambacho hakina nadharia yoyote zaidi ya kusadikika na kufikirika!

Ndivyo ilivyo hata kwa wakubwa chochote ufanyacho hakina uhalisia wowote bali ni vitu vya kufikirika tu na kusukuma siku ziende.
  • Wengi wanaigiza kuishi kama wanandoa lakini kiuhalisia ni maadui wa baadae (maigizo)
  • Wengi wanaigiza matajiri leo lakini ni masikini wa baadae (maigizo)
  • Wengi wanaigiza maskini leo lakini baadae ni matajiri (maigizo)
  • Wapo walioteuliwa vitengo ili waje kutenguliwa baadae (maigizo)
  • Wapo walioshiba jana lakini wameamka na njaa kali mno (maigizo)
Kila afanyacho binadamu ni maigizo! Inategemea umepangwa kucheza Scene gani katika igizo lako la maisha!

Chochote ufanyacho katika maisha ya binadamu ni Maigizo tu kwahiyo msiwe siliazi sana kwenye hayo maisha yenu maana hata ukikaza haibadili chochote kwenye maigizo yako!
vipi kutengeneza platforms kama hizi nazo ni maigizo?
 
Tunazaliwa
Vitu pekee ambavyo ni ukweli ni viwili tu kwa mwanadam (kuzaliwa na kufa)
Maisha mengine yote ya mwanadamu ni maigizo!

Chochote afanyacho binadam huwa ni kama scene tu havina ukweli wowote kiuhalisia!

Kwa mfano: Ukiangalia watoto wanavyochezea makopo au wanavyoigiza kibaba baba au kimamamama au chochote ambacho hakina nadharia yoyote zaidi ya kusadikika na kufikirika!

Ndivyo ilivyo hata kwa wakubwa chochote ufanyacho hakina uhalisia wowote bali ni vitu vya kufikirika tu na kusukuma siku ziende.
  • Wengi wanaigiza kuishi kama wanandoa lakini kiuhalisia ni maadui wa baadae (maigizo)
  • Wengi wanaigiza matajiri leo lakini ni masikini wa baadae (maigizo)
  • Wengi wanaigiza maskini leo lakini baadae ni matajiri (maigizo)
  • Wapo walioteuliwa vitengo ili waje kutenguliwa baadae (maigizo)
  • Wapo walioshiba jana lakini wameamka na njaa kali mno (maigizo)
Kila afanyacho binadamu ni maigizo! Inategemea umepangwa kucheza Scene gani katika igizo lako la maisha!

Chochote ufanyacho katika maisha ya binadamu ni Maigizo tu kwahiyo msiwe siliazi sana kwenye hayo maisha yenu maana hata ukikaza haibadili chochote kwenye maigizo yako!
 
Back
Top Bottom