Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kalagabao! kama unaheshimu kuzaliwa unatakiwa uheshimu na matendo baada ya kuzaliwa maana mtu akizaliwa ndo anaweza kuzaa pia!, hakuna muendelezo wa maisha bila kuzaliwa kuwepo kwa maisha mengine hayo unayosema ni maigizo.. maana yakuzaliwa mtu anaipta kwenye kuishi/maisha!. wewe naona ubongo wako kuna sehemu manyuzinyuzi yamedandiana!Unaigiza kunitukana najua siyo kweli
Watu wanaigiza asubuh kwenda kazini halafu jioni wanarud kulalaKila kitu ni ubatili
Matendo ni hayo maigizo; unaweza kuigiza popote hata polini hadi utakapokufakalagabao! kama unaheshimu kuzaliwa unatakiwa uheshimu na matendo baada ya kuzaliwa maana mtu akizaliwa ndo anaweza kuzaa pia!, hakuna muendelezo wa maisha bila kuzaliwa kuwepo kwa maisha mengine hayo unayosema ni maigizo.. maana yakuzaliwa mtu anaipta kwenye kuishi/maisha!. wewe naona ubongo wako kuna sehemu manyuzinyuzi yamedandiana!
Kwamba unaigiza kuzaa ila matokeo ya kuigiza ni halisi. Ok boss.Huyo mtu mzima anakuwa anaigiza, kitu halisi hapo ni yule mtoto aliyekuja kuigiza duniani
kengemaji mkubwa!Matendo ni hayo maigizo; unaweza kuigiza popote hata polini hadi utakapokufa
hadi internet, umeme nayo maigizo mkuu sio 😂Hapa tunaigiza tu, jf nayo siku itapitwa na wakati
Ni kama kutoa haja tumboni ndugu ..ndiyo maana mtu anaweza zaa hata mara 10! Lakini haweza kiumbe hikohiko mara 10, lazima azae tofauti maana hiko kinachozaliwa ndicho halisi! Lakini mzaaji anaigiza tuKwamba unaigiza kuzaa ila matokeo ya kuigiza ni halisi. Ok
Kwahiyo hujui kuna muda internet haipo, au umeme unakatikahadi internet, umeme nayo maigizo mkuu sio 😂
Script writer atakuwa nani? au naye ni igizo pia?Watu wanaigiza asubuh kwenda kazini halafu jioni wanarud kulala
Hata Yesu alikuja duniani kuigiza maisha ya wanadamu ili wasijekusema Hajui machungu ya kuishi duniani!kengemaji mkubwa!
Niambie utafungua wapi duka lako la mawe nije kukuungisha.Inategemea igizo lako liko upande gan: likiwa kwenye utajiri hata ukiuza mawe yananunuliwa;
Zingatia hata Yesu alikuja duniani kuigiza kama mwanadam ili kupitia machungu ya kuishi kama binadam na kushinda majaribu
Vitu pekee ambavyo ni ukweli ni viwili tu kwa mwanadam (kuzaliwa na kufa)
Maisha mengine yote ya mwanadamu ni maigizo!
Chochote afanyacho binadam huwa ni kama scene tu havina ukweli wowote kiuhalisia!
Kwa mfano: Ukiangalia watoto wanavyochezea makopo au wanavyoigiza kibaba baba au kimamamama au chochote ambacho hakina nadharia yoyote zaidi ya kusadikika na kufikirika!
Ndivyo ilivyo hata kwa wakubwa chochote ufanyacho hakina uhalisia wowote bali ni vitu vya kufikirika tu na kusukuma siku ziende.
Kila afanyacho binadamu ni maigizo! Inategemea umepangwa kucheza Scene gani katika igizo lako la maisha!
- Wengi wanaigiza kuishi kama wanandoa lakini kiuhalisia ni maadui wa baadae (maigizo)
- Wengi wanaigiza matajiri leo lakini ni masikini wa baadae (maigizo)
- Wengi wanaigiza maskini leo lakini baadae ni matajiri (maigizo)
- Wapo walioteuliwa vitengo ili waje kutenguliwa baadae (maigizo)
- Wapo walioshiba jana lakini wameamka na njaa kali mno (maigizo)
Chochote ufanyacho katika maisha ya binadamu ni Maigizo tu kwahiyo msiwe siliazi sana kwenye hayo maisha yenu maana hata ukikaza haibadili chochote kwenye maigizo yako!
Niambie utafungua wapi duka lako la mawe nije kukuungisha.
Hata ukiyakubali haibadilishi unachoigiza ni kama ndege tu walivyo kutwa wanazurula jioni wanarudi kwenye viota! Hata wewe binadamu ndivyo ulivyo huna ramani ya kudumu upo unaigiza tu kuishi kadri ya mazingira ulipoHayo ni maoni yako. Ninayaheshimu, licha ya kuwa siyakubali.
Uuze au usiuze lakini ukishakufa huo ndiyo ukweli umeondoka! Unavyoacha wanaigiza wengine kuvimilikiYote uliyo yaandika ni ubinafsi mtupu ... Kuna uwezekano siku ukiumwa utauza mali zako zote kwa ubinafsi tu.
Kasome hata hati ya kiwanja chako siyo ya kudumu, maana mfumo unatambua maisha yako ni ya kuigiza tu siyo ya kudumuHayo ni maoni yako. Ninayaheshimu, licha ya kuwa siyakubali.
Hiyo ya Yesu inaweza kuwa ni maigizo extreme kuliko scenario zote ulizozielezea hapo.Inategemea igizo lako liko upande gan: likiwa kwenye utajiri hata ukiuza mawe yananunuliwa;
Zingatia hata Yesu alikuja duniani kuigiza kama mwanadam ili kupitia machungu ya kuishi kama binadam na kushinda majaribu