Kuzaliwa na kuishi Dar ni fursa. Upo tofauti na wazaliwa wa mikoa mingine, usijichukulie poa

Kuzaliwa na kuishi Dar ni fursa. Upo tofauti na wazaliwa wa mikoa mingine, usijichukulie poa

Ni kweli kuwa Dar ni fursa kubwa, nakumbuka kipindi tumeenda kuripoti shule Advance mkoa Fulani kusini mwa Tz kitambo icho, wote tuliotokea Dar tulinyimwa nafasi za uongozi sababu ilikua ni kwamba tungewaburuza sana wenzetu na pia tulikua tuna reason sana walimu na tupo updated kuliko waliotokea mikoa mengine.
Mwisho wa siku uongozi walikua wanapewa watu wa mikoa tofauti ili walimu wafanye kazi yao bila pingamizi.
 
Ni kweli kuwa Dar ni fursa kubwa, nakumbuka kipindi tumeenda kuripoti shule Advance mkoa Fulani kusini mwa Tz kitambo icho, wote tuliotokea Dar tulinyimwa nafasi za uongozi sababu ilikua ni kwamba tungewaburuza sana wenzetu na pia tulikua tuna reason sana walimu na tupo updated kuliko waliotokea mikoa mengine.
Mwisho wa siku uongozi walikua wanapewa watu wa mikoa tofauti ili walimu wafanye kazi yao bila pingamizi.
Lakini Kuna watu Kama Wakina GENTAMYCIME wanaotaka Mar lakini wanaishi dar watabisha
 
we nafikiri una matatizo ya akili, unazungumzia ukubwa wa nini. Km eneo Dra ndio mkoa mdogo kuliko mikoa yote nchi hii. Manyara ni mkoa mkubwa sana bwanamdogo, ni mkubwa kuliko hata Arusha.

Vitoto vya siku hizi ni shida ni watupu kichwani halafu hawataki hata kujishulisha, wanachoweza kulalamika na ubishi. Hata Singida bado ni mkubwa sana. Km hujui jambo si ukae kimya ufanye unayoyaweza.
Wewe ndio mtoto wa siku hizi

"Wenye kunielewa wamenielewa,sizungumzii ukubwa"

Tumia sense organ ya 6 kudadafua mambo
 
Ni kweli kuwa Dar ni fursa kubwa, nakumbuka kipindi tumeenda kuripoti shule Advance mkoa Fulani kusini mwa Tz kitambo icho, wote tuliotokea Dar tulinyimwa nafasi za uongozi sababu ilikua ni kwamba tungewaburuza sana wenzetu na pia tulikua tuna reason sana walimu na tupo updated kuliko waliotokea mikoa mengine.
Mwisho wa siku uongozi walikua wanapewa watu wa mikoa tofauti ili walimu wafanye kazi yao bila pingamizi.
Kuna watu hasa wa Kilimanjaro na Wakina ngosha hawataki kukubali
 
Kuzaliwa na kuishi Dar ni fursa, upo tofauti na wazaliwa wa mikoa mingine, usijichukulie poa

Mfano: Mbagala inafanana kiukubwa na mkoa wa KILIMANJARO, Manyara na Singida, pia imechangamka zaidi

Dar is everything, ukishindwa kuwa tajiri, wewe ndio mwenye tatizo.

NB: NI MTAZAMO TU, TUSIJENGE CHUKI
Wa mikoani ndio wqmatoboa sasa wakifika dar. Wazawa wanabakia kuvaa bi boxer tu mtaani na kulamba lips
 
Dar hii hii ukiwa mkoani,ukimwambia nduguyo aliyepo huko unakwenda huko,ukiwa mkoani anakujibu fresh,ukifika,Dar anakukacha?
 
Back
Top Bottom