Stephen Ngalya Chelu
JF-Expert Member
- Oct 31, 2017
- 8,252
- 18,335
Ni wakati wako sasa kutembea na mafuta popote uendako maana hujui siku wala saa ya kuja kwa mkereketwa huru.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kifo kinakusubiri mkuu. Achana kabisa na wake za watuWakuu nasikitika kuwaambia kuwa nimekuwa mzama uvinza maarufu.Kuna mke wa mtu amechanganyikiwa baada ya kumzamia uvinza mara mbili,hamtaki tena mume wake muda wote ananionea wivu na kunifuatilia.
Hali si hali.
Wakati wowote ule tegemea kupata fangasi Kali sana ya mdomoni,utaanza kuona Kama mdomoni kunaanza kua na utando mweupe!!Wakuu nasikitika kuwaambia kuwa nimekuwa mzama uvinza maarufu.Kuna mke wa mtu amechanganyikiwa baada ya kumzamia uvinza mara mbili,hamtaki tena mume wake muda wote ananionea wivu na kunifuatilia.
Hali si hali.
Sil vous plaît Nakuhitaji PMMmmh jamani
AbeeeSil vous plaît Nakuhitaji PM
Chief magita we ni bangi Sana [emoji23][emoji23][emoji23]Heee!!!!!!!! Makubwa madogo yana nafuu. Kumbe chumvini hapafai make madeni wengi wasipopelekwa chumvini wanadai hawaenjoy. Lakini hata mimi nilishaanza kuacha baada ya kukutana na tatizo lifuatalo:
Kwamba karibu mademu wote ambao huwa nadhani wanafaa kwenda chumvini huwa nakuta hawana chumvi na wengine nakutana na kauchungu kidogo. Je hivyo ndivyo walivyo mademu wote au ni mademu wa siku hizi tu au kuna kitu wanafanya hadi wanakuwa na hali hiyo. Wana JF naombeni msaada make nimikuwa nikipata shida hadi niliwahi kudhani kuwa labda nimewekewa kalimbwata ndo maana nikakutana na hiyo taste.
Ha ha haa.. Bora tu uwe mkweliKaka to tell you the truth hili suala la chumvini kuacha sio rahisi.
Mimi naomba tu unipe njia za kuweza kulifanya hili jambo bila kupata madhara (Playing safe)!