Kuzama chumvini kuna madhara kiafya?

Kuzama chumvini kuna madhara kiafya?

aukumwambia amwambie mkewe aache kutumia kon yake.....asi dhamb bwna...

km kweli oral sex ni dhamb na kuna fangas basi ungemwelimisha rafiki ako amkataze mkewe kushika mic au iyo dhamb ni kwa mwanamke tu ....????

We mdada utakua ni mkenya tu,,bisha.
 
mmmhh jamani sex inatakiwa kuwa fair game..


mwenzie kila siku kajipinda,
we umejikalia pembeni ya kitanda ye kapiga magoti mmmhhhh
mara we umesimama ye kapiga magoti....
we umeji lalalia kitandani ye kapiga magoti..

mmmhh vipi waonaje na we ukipiga magoti mara moja tu..
tena borea huyu anasema anachotaka ...
mmmhh haya we usimpe ngoja aje jamaa mwenye 3 pack
halafu aingie uvunguni ....mmhhh hapo umekwisha na silalamike..
nawakilisha wanaume wenzagu...

vere eksipiriensid
 
Jamani jamani uvinza tu! je ungeambiwa chunguni! si ungempa talaka
 
KKiiza umechanganya hapo!!!!!!

Ndugu ndio ujue hapa JF ushabiki wa uongo mwingi sana, watu wanakwambia kafanye tu mbona haina shida hiyo ni kawaida tu, wakati wenyewe hawafanyi hicho wanachokwambia ukafanye, be carefull with JF ushauri
 
Kufanya ufanye akifanya fulani kosa hii dunia tupitaaa
 
Eti kuna mzee mwenzangu anasema kama hujaenda uvinza, mke/demu/kicheche wako hawezi kuamini kama unampenda kweli! Duu! wana JF mnasemaje?
 
Eti kuna mzee mwenzangu anasema kama hujaenda uvinza, mke/demu/kicheche wako hawezi kuamini kama unampenda kweli! Duu! wana JF mnasemaje?

1.una dhalilisha wanawake
2.ongea nae anae kuhusu hiyo kitu atakwambia kama anapenda then muishi kwa style hiyo!
3.kwa option mbili za mwisho inaonesha unaongelea uzinzi,utapata FUNGUS hujawahi ona maishani mwako
 
Eti kuna mzee mwenzangu anasema kama hujaenda uvinza, mke/demu/kicheche wako hawezi kuamini kama unampenda kweli! Duu! wana JF mnasemaje?

Niuongo tu upendo uko katika macho yako!
 
Eti kuna mzee mwenzangu anasema kama hujaenda uvinza, mke/demu/kicheche wako hawezi kuamini kama unampenda kweli! Duu! wana JF mnasemaje?

Angalia mkuu si kila mashine ya kuzama uvinza unaweza babuka mdomo
 
Eti kuna mzee mwenzangu anasema kama hujaenda uvinza, mke/demu/kicheche wako hawezi kuamini kama unampenda kweli! Duu! wana JF mnasemaje?
Kwa mkeo unaweza kwenda chumvini kama yeye anapenda uwe unamfanyia hivyo kwani mtakuwa wasafi,ila kwa demu au kicheche si jambo jema maana huwezi jua anatoka na nani au katoka kufanya nini huko alikotoka kaja kwako unaishia kuzama uvinza eti ndio kumuonesha unampenda,matokeo yake unajikuta unapata magonjwa ya ajabu hasa fungus.
Unaweza kumuonesha mwanamke kuwa unampenda bila ya kwenda chumvini.
 
hhahahahaha,bora umemwambia maana wengine wakiangalia picha za nanii tu wana test kila sehemu

Si unajua mambo ya kuiga sisi wabongo kazi ndo hiyo tu badala ya kufanya na sisi ubunifu wetu
 
Wapendwa naomba kukopi swali langu hapa (japo nime edit kidogo) ambalo niliuliza kwenye post ya Mr Chabo maana topic zinafanana. Am sorry kama nitadistract mjadala.

quote_icon.png
Originally Posted by Mr Chabo

1 Nimeachana na wapenzi wawili. Moja alifahamu uhusiano wangu na huyo ndingi, wapili alikuta
chembe chembe za big haja kwa kufuli yangu



Jamani mie nimekuwa najiuliza siku nyingi lakini sikuwa na ujasiri wa kumwuliza mtu lakini pengine leo ndio naweza kusema naanza kupata majibu unless niambiwe sivyo.

Nimekuwa najiuliza "Wenye kupenda kuzama kwenye tiGo wanatumia kondomu"????
Kama wanatumia how does it work maana kule hakuko na vilainisho kama ilivyo sehemu sahihi ya kufanyia tendo la ndoa na wataalam wanatuambia usiivae (kondomu) ndani/nje wala kuongeza/kuipaka mafuta.
Kama nakosea nielewesheni jamani!!!!!

Sasa kama Mr Chabo kabambwa na chembe kwenye kufuli inamaana huwa anazama bila kinga.
Ninachoogopa hapa si tu tabia yake ya kwenda mlango wa nyuma bali hatari ya maambukizi ya virusi vya ukimwi.
 
Back
Top Bottom