Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeanza! Chumvini ni janga kwa wanaumeTuachie starehe yetu banaaa. Ingekuwa hivyo basi kipindupindu ingekuwa ni ugonjwa ulioathiri dunia nzima kwa kiasi kikubwa.
Vijidudu haviwezi ishi kwenye mazingira ya papuchi na pls usitutishe
hata virusi vya ukimwi ni vijidudu piaVijidudu haviwezi ishi kwenye mazingira ya papuchi na pls usitutishe
Kila vijidudu na mazingira yake,huwezi kuta vijidudu vya HIV kwenye kinyesi cha binadam ambacho ndiyo kinatunza vijidudu vya kipindupinduhata virusi vya ukimwi ni vijidudu pia
Utamuelewaje sasa kwa mfanoBado sijakuelewa
Hatari sana.Wajumbe salaam,
Nimekuja kuweka tahadhari kwa mateja wa kuzama chumvini,hata wale wanaochipukia.
Mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu bado unaripotiwa mikoa kadhaa,na jana umeripotiwa tena Tabora.
Mtindo huu wa ufanyaji mapenzi umekuwa maarufu sana miongoni mwetu,na viungo vinavyohusika kimojawapo ni delicate sana na ugonjwa.
Hata kushika maiki bado ni hatari tu.Epuka uzamaji chumvini na ushikaji maiki kipindi hiki cha mlipuko wa kipindupindu.