Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,991
- 24,211
Wewe, malezi ya mama ni ishu pia
Lakini kama ukilaza ni wa kurithi, utasumbua hadi wajukuu
Ni kuharibu mbegu ya ukoo mzima
Bora mtoto ashindwe kwa malezi ya mama ila wajukuu waweza bahatika.
Lakini kama ukilaza ni wa kurithi, utasumbua hadi wajukuu
Ni kuharibu mbegu ya ukoo mzima
Bora mtoto ashindwe kwa malezi ya mama ila wajukuu waweza bahatika.
Reasoning naikubali ila action ndio natofautiana kidogo. Ni kweli DNA ya baba ndio ya mtoto which includes all hereditary traits ila malezi ya mama mmoja nayo ni risk hata kama factors nyingine zina hold.